Kama ni kweli ni jambo jema.Jeshi la israel linaripotiwa kuvuka mpaka na kuingia katika ardhi ya lebanoni usiku kucha.
Iwapo itathibitishwa hii itakuwa mara ya kwanza kwa jeshi la Israel kuingia lebanon tangu 2006 na inaweza kufungua njia ya mashambulizi ya ardhini.
Source: Al jazeera.
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747171512971358268?t=mwB4TYCe4qwAZWPHEHnEXQ&s=19
Jeshi la israel linaripotiwa kuvuka mpaka na kuingia katika ardhi ya lebanoni usiku kucha.
Iwapo itathibitishwa hii itakuwa mara ya kwanza kwa jeshi la Israel kuingia lebanon tangu 2006 na inaweza kufungua njia ya mashambulizi ya ardhini.
Source: Al jazeera.
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747171512971358268?t=mwB4TYCe4qwAZWPHEHnEXQ&s=19
Kama ni kweli wameyatimba.Jeshi la israel linaripotiwa kuvuka mpaka na kuingia katika ardhi ya lebanoni usiku kucha.
Iwapo itathibitishwa hii itakuwa mara ya kwanza kwa jeshi la Israel kuingia lebanon tangu 2006 na inaweza kufungua njia ya mashambulizi ya ardhini.
Source: Al jazeera.
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747171512971358268?t=mwB4TYCe4qwAZWPHEHnEXQ&s=19
Hizbo hawajifichi.Kila la kheri huko lebanon wapate ushindi mkubwa kwa kuwafagia hezbollah waliojificha huko
Overnight siyo usiku kuchaJeshi la israel linaripotiwa kuvuka mpaka na kuingia katika ardhi ya lebanoni usiku kucha.
Iwapo itathibitishwa hii itakuwa mara ya kwanza kwa jeshi la Israel kuingia lebanon tangu 2006 na inaweza kufungua njia ya mashambulizi ya ardhini.
Source: Al jazeera.
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747171512971358268?t=mwB4TYCe4qwAZWPHEHnEXQ&s=19
us aingize tu jeshi lake kusambaratisha kikundi hicho cha kigaidi na baba yao iran anyukwe tuWiki kama tatu Hizbolah walikusanya makomandoo wao zaidi ya 2000 na kuwaambia wakae tayari. Vita nyingine inaenda kutokea mda wowote kinanuka na hii US ataingilia hatopigana kwa mlango wa uwani wa kugawa silaha, bali ataingiza na yy jeshi lake zima.
kwa mara nyongine tena IDF R.I.PJeshi la israel linaripotiwa kuvuka mpaka na kuingia katika ardhi ya lebanoni usiku kucha.
Iwapo itathibitishwa hii itakuwa mara ya kwanza kwa jeshi la Israel kuingia lebanon tangu 2006 na inaweza kufungua njia ya mashambulizi ya ardhini.
Source: Al jazeera.
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747171512971358268?t=mwB4TYCe4qwAZWPHEHnEXQ&s=19
Iran kumgusa sio kitu kidogo, nyuma ya Iran kuna Urusi na Urusi ndio atapata sababu ya kulipiza kisasi chake baada US kumsuport Ukraine.us aingize tu jeshi lake kusambaratisha kikundi hicho cha kigaidi na baba yao iran anyukwe tu
Iran hawezi kuwa na nyuklia Marekani, Uingereza, Ufaransa, Israel wote wasifahamu eti wewe mfagia msikiti wa Tandale kwa Tumbo ndio uwe na taarifa. It's very strange if not funny 🤣🤣🤣🤣Iran kumgusa sio kitu kidogo, nyuma ya Iran kuna Urusi na Urusi ndio atapata sababu ya kulipiza kisasi chake baada US kumsuport Ukraine.
Syria ile bila Urusi kwa fitina za US na mapandikizi ya IS,Asad alikuwa alikuwa anatoka madarakani.
Na kama hujui kuna habari za chini chini kuna uwezekano mwaka huu Iran ikawa tayari ana bomu la nuclear, wakati US akiwa busy na mgogoro huko Gaza,Yemen na Hizbolah, Iran huku anafanya mambo yake. US kumpiga Iran sio kitu rahisi kabisa.
mda utaongea tuwe wapoleIran kumgusa sio kitu kidogo, nyuma ya Iran kuna Urusi na Urusi ndio atapata sababu ya kulipiza kisasi chake baada US kumsuport Ukraine.
Syria ile bila Urusi kwa fitina za US na mapandikizi ya IS,Asad alikuwa alikuwa anatoka madarakani.
Na kama hujui kuna habari za chini chini kuna uwezekano mwaka huu Iran ikawa tayari ana bomu la nuclear, wakati US akiwa busy na mgogoro huko Gaza,Yemen na Hizbolah, Iran huku anafanya mambo yake. US kumpiga Iran sio kitu rahisi kabisa.
Mlisema hivi hivi kwa Sadam, baadaye kwa Gaddafi..US kumpiga Iran sio kitu rahisi kabisa.
Ha ha ha ha 🤣🤣🤣🤣Iran hawezi kuwa na nyuklia Marekani, Uingereza, Ufaransa, Israel wote wasifahamu eti wewe mfagia msikiti wa Tandale kwa Tumbo ndio uwe na taarifa. It's very strange if not funny 🤣🤣🤣🤣
Sadam alikuwa na technologies gani kuizidi Iran?Mlisema hivi hivi kwa Sadam, baadaye kwa Gaddafi
Mimi sio mpuuzi na kiazi kama wewe ninacho kiongea na kijua na kukifuatilia, sina utoto wala ushabiki wenu wa kijinga kama ww.Iran hawezi kuwa na nyuklia Marekani, Uingereza, Ufaransa, Israel wote wasifahamu eti wewe mfagia msikiti wa Tandale kwa Tumbo ndio uwe na taarifa. It's very strange if not funny 🤣🤣🤣🤣