IDF inaripotiwa kuingia Lebanon

IDF inaripotiwa kuingia Lebanon

kwani Hamas wakoje? Si tuliambiwa wanaviweza vita vya ardhini?
Hamas hana kambi wala vifaa vya kisasa ila Hizbollah ana kambi na vifaa vya kisasa.
Hamas hujificha ficha na kuvizia ila hizbollah huwa hawajifichi na wala hawavizii.
Hizbollah wana jeshi kubwa kiidadi linaloweza fikia IDF ila hamas wana wanamgambo wasiozidi 20k.
Umeona utofauti hapo?
 
Kwani yameingia? Si yanaogopa vita vya ardhini?
Jana Aljazeera wametangaza ni kweli IDF wamevuka mpaka na kuingia Lebanon ila wapo vijiji vya mwanzo vya mpakani.
Tusubiri tuone kama watapata walichokifuata.
 
Iran hawezi kuwa na nyuklia Marekani, Uingereza, Ufaransa, Israel wote wasifahamu eti wewe mfagia msikiti wa Tandale kwa Tumbo ndio uwe na taarifa. It's very strange if not funny 🤣🤣🤣🤣
Hivi una habari kuwa Iran nuclear plant imevuka kiwango cha urutubishaji?
Ni only few percent imebaki kugeuza kuwa silaha.
Vyombo vyote vilitangaza.
 
Hamna la kushangaza hapa na Israel ana uwezo hata wa kuikalia Lebanon. Miaka ya nyuma walishawahi kuingia kuwasaidia wanamgambo wa kikristo wakipambana na waislam kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe hadi wanamgambo wa kikristo wakashinda vita. Lebanon hawana ubavu wa kuizuia Israel isifanye yake.
NB. mlipuko mkubwa wa shehena uliotokea Beirut miaka ya karibuni ile ilikua kazi ya Mossad.
Mbona umeongea utumbo??
Hao wakristo ndio walioungana na Hizbollah kumuondoa Israel Bint jubeir 2006.
Na IDF iliacha vifaru pale na kukimbia kwa mguu,usilisahau hilo.
Bwana yao USA ndio akawaita mezani wasuluhishwe.
 
Hivi una habari kuwa Iran nuclear plant imevuka kiwango cha urutubishaji?
Ni only few percent imebaki kugeuza kuwa silaha.
Vyombo vyote vilitangaza.
Naweza kusema ni mjinga tu anaedhania kwamba iran hana atomic bomb

Yaani mpaka Pakistan [emoji1191] wawe na nyuklia ila iran yenye maadui kila kona hapo mido ist wakose sitaki kuamini hili jambo

Iran wamekua wakisema mara kadhaa kwamba hawataki kua na silaha za nyuklia sababu dini inakataza kumiliki silaha hizo wakati huo huo wanasisitiza kwamba wanauwezo wakumiliki kama wakitaka sababu hakuna mtu ama taifa lakuweza kuwazuia kufanya hivyo

Na wakati huo huo ukija kwenye sera ya uislam unataka kua sawa sawa kinguvu na adui yako ama kumzidi kabisa ili asikuonee ila usimuoneee

Iran sio ananyuklia tu yaani ana manyuklia yamejaa mule iran kosa nyuklia angekua kama iraq na Syria zamani sababu zakufanywa hivyo zipo na nia zakufanywa hivyo toka magharibi zipo ila uwezo sasa

George W Bush alipotangaza kwamba watazipika kina iraq syria na korea na iran haikua bahati mbaya ilikua mipango kabisa ila sasa korea unaipigaje halaf wewe uwe salama[emoji3] ndio kama iran yaani iran utaipiga ila uhakikishe ikifa basi wewe utakae pona utaekwa ICU kama sio na wewe kufa kabisaaa

(niaminivyo mimi na akili zangu kubwa)
 
Back
Top Bottom