IDF inaripotiwa kuingia Lebanon

IDF inaripotiwa kuingia Lebanon

Mavi yao wavuke kwenda Lebanon.

Mnanikumbusha ile nyimbo ya US na UK kuwashambulia Al Houth oh tume zivunja silaha za Al Houth 😄 sa America na Uingereza wamewaingiza nchi za Europe kwenye matatizo sana wanakosa Gas ya Qatar na Gas ya Mrusi 😄
Umesahau waarabu huo mpaka ukiwa tight watakufa njaa wote hawatakubali
 
hapo Gaza kakitongoji kama kigamboni tu hapo wamekimbia itakuwa huko lebanon?

Israel hawezi kabisa vita ya ardhini anachakazwa mpaka aibu yani. ujanja wao kupiga mabomu kutokea angani basi.. kama wanaume kweli washuke kwenye hizo ndege waende ardhini.. wasikimbie kama Gaza
 
hapo Gaza kakitongoji kama kigamboni tu hapo wamekimbia itakuwa huko lebanon?

Israel hawezi kabisa vita ya ardhini anachakazwa mpaka aibu yani. ujanja wao kupiga mabomu kutokea angani basi.. kama wanaume kweli washuke kwenye hizo ndege waende ardhini.. wasikimbie kama Gaza
Israel si wako Gaza au huko wako hewani hawako ardhini, unataka wawe ardhi gani sasa.
 
Mimi sio mpuuzi na kiazi kama wewe ninacho kiongea na kijua na kukifuatilia, sina utoto wala ushabiki wenu wa kijinga kama ww.


View: https://m.youtube.com/watch?v=iV0vdqC0LCs&pp=ygUUSXJhbiBjcmVhdGUgbnVjbGVhciA%3D


Mimi sio oya oya kama wewe unayepayuka kama umekata kichwa unafikiria kwa kutumia kiwiliwili.


View: https://m.youtube.com/watch?v=SxF-szcg2mo&pp=ygUUSXJhbiBjcmVhdGUgbnVjbGVhciA%3D

Unataka tuharibiane siku kum* ww.Hao Fox na Hindustan Times nao wanafagia misikiti wa Tandale kwa Tumbo. Behave kuwa mstaarabu husmprovoke mtu husiye mjua,hiyo Habari ya Hindustan ina wiki mbili na hiyo ya Fox ina masaa 15.

Mnakuwa na akili kisoda kila mnacho kijadili manakijadili kwa mlengo wa dini, mpuuzi sana ku*ma wee.

Punguza jazba mkubwa kuna wajinga pia siku hizi wanatumia jf

Kwahio nenda kadri ya ujinga wao ulipoishia
 
Mavi yao wavuke kwenda Lebanon.

Mnanikumbusha ile nyimbo ya US na UK kuwashambulia Al Houth oh tume zivunja silaha za Al Houth 😄 sa America na Uingereza wamewaingiza nchi za Europe kwenye matatizo sana wanakosa Gas ya Qatar na Gas ya M

Mavi yao wavuke kwenda Lebanon.

Mnanikumbusha ile nyimbo ya US na UK kuwashambulia Al Houth oh tume zivunja silaha za Al Houth 😄 sa America na Uingereza wamewaingiza nchi za Europe kwenye matatizo sana wanakosa Gas ya Qatar na Gas ya Mrusi 😄
Hivi unajua Gaza, Mlima Sinai vyote vilikua vya Misri?? Milima ya Golan ilikua ya Jordan?? yaani kuvuka mipaka hao jamaa ni kama kumsukuma mlevi vile.
 
Hamna la kushangaza hapa na Israel ana uwezo hata wa kuikalia Lebanon. Miaka ya nyuma walishawahi kuingia kuwasaidia wanamgambo wa kikristo wakipambana na waislam kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe hadi wanamgambo wa kikristo wakashinda vita. Lebanon hawana ubavu wa kuizuia Israel isifanye yake.
NB. mlipuko mkubwa wa shehena uliotokea Beirut miaka ya karibuni ile ilikua kazi ya Mossad.
Lebanon hawana uwezo wa kuizuia israhell ila Hizbullah wanao
 
Nyakati za usiku,ukisema usiku kucha ni kuanzia saa moja usiku Hadi 11 alfajiri
Sawa mkuu, basi mi nilikuwa nikijua si lazima kuzingatia mwanzo bali mwisho, kwahiyo hata kama tukio lingeanza saa 5 au 6 usiku likakesha hadi mapambazuko basi ingetosha kusema usiku kucha.
 
Wanaviweza, maana wamewashambulia Israel na kuwarudisha nyuma had Tel Aviv
Siyo lengo la Hamas,wao wanasema Gaza ni kaburi' la IDF..na ni dhahiri,hasa ukiona namna battalion za IDF wanavyoshangilia kurudishwa nyumbani
 
Back
Top Bottom