Umesahau waarabu huo mpaka ukiwa tight watakufa njaa wote hawatakubaliMavi yao wavuke kwenda Lebanon.
Mnanikumbusha ile nyimbo ya US na UK kuwashambulia Al Houth oh tume zivunja silaha za Al Houth π sa America na Uingereza wamewaingiza nchi za Europe kwenye matatizo sana wanakosa Gas ya Qatar na Gas ya Mrusi π
Ulitaka iwe kuanzia saa 1 usiku hadi saa 12 alfajiri ndio iwe usiku kucha!? Kiswahili kinatuangusha hadi sisi waswahili wenyewe!Overnight siyo usiku kucha
Nyakati za usiku,ukisema usiku kucha ni kuanzia saa moja usiku Hadi 11 alfajiriUlitaka iwe kuanzia saa 1 usiku hadi saa 12 alfajiri ndio iwe usiku kucha!? Kiswahili kinatuangusha hadi sisi waswahili wenyewe!
Israel si wako Gaza au huko wako hewani hawako ardhini, unataka wawe ardhi gani sasa.hapo Gaza kakitongoji kama kigamboni tu hapo wamekimbia itakuwa huko lebanon?
Israel hawezi kabisa vita ya ardhini anachakazwa mpaka aibu yani. ujanja wao kupiga mabomu kutokea angani basi.. kama wanaume kweli washuke kwenye hizo ndege waende ardhini.. wasikimbie kama Gaza
Punguza jazba mkubwa kuna wajinga pia siku hizi wanatumia jfMimi sio mpuuzi na kiazi kama wewe ninacho kiongea na kijua na kukifuatilia, sina utoto wala ushabiki wenu wa kijinga kama ww.
View: https://m.youtube.com/watch?v=iV0vdqC0LCs&pp=ygUUSXJhbiBjcmVhdGUgbnVjbGVhciA%3D
Mimi sio oya oya kama wewe unayepayuka kama umekata kichwa unafikiria kwa kutumia kiwiliwili.
View: https://m.youtube.com/watch?v=SxF-szcg2mo&pp=ygUUSXJhbiBjcmVhdGUgbnVjbGVhciA%3D
Unataka tuharibiane siku kum* ww.Hao Fox na Hindustan Times nao wanafagia misikiti wa Tandale kwa Tumbo. Behave kuwa mstaarabu husmprovoke mtu husiye mjua,hiyo Habari ya Hindustan ina wiki mbili na hiyo ya Fox ina masaa 15.
Mnakuwa na akili kisoda kila mnacho kijadili manakijadili kwa mlengo wa dini, mpuuzi sana ku*ma wee.
Mavi yao wavuke kwenda Lebanon.
Mnanikumbusha ile nyimbo ya US na UK kuwashambulia Al Houth oh tume zivunja silaha za Al Houth π sa America na Uingereza wamewaingiza nchi za Europe kwenye matatizo sana wanakosa Gas ya Qatar na Gas ya M
Hivi unajua Gaza, Mlima Sinai vyote vilikua vya Misri?? Milima ya Golan ilikua ya Jordan?? yaani kuvuka mipaka hao jamaa ni kama kumsukuma mlevi vile.Mavi yao wavuke kwenda Lebanon.
Mnanikumbusha ile nyimbo ya US na UK kuwashambulia Al Houth oh tume zivunja silaha za Al Houth π sa America na Uingereza wamewaingiza nchi za Europe kwenye matatizo sana wanakosa Gas ya Qatar na Gas ya Mrusi π
Lebanon hawana uwezo wa kuizuia israhell ila Hizbullah wanaoHamna la kushangaza hapa na Israel ana uwezo hata wa kuikalia Lebanon. Miaka ya nyuma walishawahi kuingia kuwasaidia wanamgambo wa kikristo wakipambana na waislam kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe hadi wanamgambo wa kikristo wakashinda vita. Lebanon hawana ubavu wa kuizuia Israel isifanye yake.
NB. mlipuko mkubwa wa shehena uliotokea Beirut miaka ya karibuni ile ilikua kazi ya Mossad.
Lugha anayo itumia sijaipenda.Punguza jazba mkubwa kuna wajinga pia siku hizi wanatumia jf
Kwahio nenda kadri ya ujinga wao ulipoishia
Mpuuze ndio kawaida yao kutoa lugha za hovyoLugha anayo itumia sijaipenda.
Sawa mkuu, basi mi nilikuwa nikijua si lazima kuzingatia mwanzo bali mwisho, kwahiyo hata kama tukio lingeanza saa 5 au 6 usiku likakesha hadi mapambazuko basi ingetosha kusema usiku kucha.Nyakati za usiku,ukisema usiku kucha ni kuanzia saa moja usiku Hadi 11 alfajiri
Siyo usiku kucha,unajua maana ya 'kutwa kucha'Sawa mkuu, basi mi nilikuwa nikijua si lazima kuzingatia mwanzo bali mwisho, kwahiyo hata kama tukio lingeanza saa 5 au 6 usiku likakesha hadi mapambazuko basi ingetosha kusema usiku kucha.
Nimeshakuelewa, nilichoendeleza ni kuelezea vile ambavyo mimi nilikuwa nikijua. Asante.Siyo usiku kucha,unajua maana ya 'kutwa kucha'
kwani Hamas wakoje? Si tuliambiwa wanaviweza vita vya ardhini?Maana Hizbollah sio hamas.
Kwani Hamas hawaviwezi Vita vya ardhini!.?kwani Hamas wakoje? Si tuliambiwa wanaviweza vita vya ardhini?
Wanaviweza, maana wamewashambulia Israel na kuwarudisha nyuma had Tel AvivKwani Hamas hawaviwezi Vita vya ardhini!.?
Ndio maana ya vita vya ardhini kwahio israhell ndio wanaviweza?Wanaviweza, maana wamewashambulia Israel na kuwarudisha nyuma had Tel Aviv
Siyo lengo la Hamas,wao wanasema Gaza ni kaburi' la IDF..na ni dhahiri,hasa ukiona namna battalion za IDF wanavyoshangilia kurudishwa nyumbaniWanaviweza, maana wamewashambulia Israel na kuwarudisha nyuma had Tel Aviv
Israel hawaviwezi, ndio maana wameshindwa kuingia Gaza, wamebaki kurusha tu makombora hewani kutokea kwaoNdio maana ya vita vya ardhini kwahio israhell ndio wanaviweza?