Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Tuendelee na mada mzee wangu ambayo inasema ubora wa IDF katika uwanja wa vita.Nyamizi,
Picha hiyo hakika haina maana.
Ilikuwa ni kumzindua ndugu yetu awe mkweli kuhusu haya mambo ya jeshi na ukachero.
Wewe umecheka kama nilivyocheka mimi na wenzangu.
Nitaendelea mzee wangu kuelezea ubora wa IDF kimapambano na kwenye uwanja wa vita.Kua na subiraNdugu zangu,
Mbona ukumbi wa IDF umekuwa kimya?
Vipo Golan Heights?
Prof. Google katurahisishia kazi:
Imetoka sehemu husika ila sio sehemu za kwenye mihadhara ya wanazuoni au vyuoni au kwenye nyumba za ibada au kwenye majukwaa ya itikadi za kisiasa au kidini.Wataalamu wa medani hizi tunakaa na wahusika wa sehemu inayojadiliwa na kuchambua haya mambo kitaalamu.Karibu sana mzee wangu tuendeleeNelson...
Copy cat.
Stori hii imetoka wapi.
Kitabuni, kahadithiwa au alishuhudia?
Kila kitu kinatakiwa kionyeshwe source yake.
Hivyo ndivyo itakiwavyo.
Hubandiki tu maneno.
Kitabu hiki soma maneno katika cover ya kitabu.
Lakini ukitaka kufaidi kalamu ya Mohamed Heikal ikiwa humjui kwanza anza na Google upate kumjua.
Heikal kavieleza vizuri Vita Vya Yom Kippur.
Msomi atamsoma Heikal na ikiwa anataka kutumia aliyosema katika kitabu chake atatumia na ataeleza kuwa huyo ni Heikal.
Kawaida ya msomi yoyote yule hawi na kauli moja wala hawezi kuitumia Wikipedia kama chanzo cha taarifa yote kwani uandishi wa Wikipesia ni tofauti na uandishi wa kitabu.
Did Egypt defeat Israel in 1973?
The Israelis felt defeated by the Egyptian victory of Oct. 6, 1973. It wasn't just a defeat in battle but defeat in the face of the biggest threat to its existence in its 25 years of being. During that time, Israel feared for the fate of its people and its own existence as a state.
(Google Search)
Mzee wangu tuendelee na mada kuhusu ubora wa IDF na Mosad.Leo kidogo tutaacha yom kippur na kuzungumzia kachero code number 448 na sera yake""KUUA KWANZA MAJADILIANO BAADAE"".Karibu sana tuendeleeNyamizi,
Ikiwa unaona hana chuki na Uislam sawa.
Lakini kila akizunguka atarudi kwenye nyumba za ibada.
Atarudi kwa Waarabu.
Mimi si mjinga najua kusoma katikati ya mistari na nayasikia maneno ambayo hayakusemwa.
Hayo mambo ya kujadili mada wala sihitaji kuhimizwa.
Nipo hapa na utanisoma In Shaa Allah.
Karibu mzee wangu tuendelee na huko mbele tutazungumzia jinsi gani majeshi ya Egypt yalivyokua imara kuweza kuwazuia wanajeshi wa IDF kilometa 8 kutoka Ismailia kwa ufanisi mkubwa.Leo tunamjadili kachero wa Mossad 448 na sera zake tano.Nyamizi,
Hakika.
Nimefika Ismailia.
Nimefika Suez Canal.
Suez Canal ilifungwa wakati wa vita.
Nilibahatika kuona filamu ya Suez Canal ilikuwaje wakati wa vita vyote Six Day War na Yom Kippur.
Filamu hii nimeiona hapo Suez.
Nimefika Bar Lev Line.
Nimepita njia ya jangwani Cairo hadi Alexandria kisha njia ya mjini Alexandria kupita Port Said hadi Damieta mpaka Cairo.
Hiyo njia ya jangwani ni kambi za jeshi njia nzima.
Yako mengi siwezi kueleza yote.
Ikutoshe tu kuwa mimi si mgeni katika hili tunalojadili.
Upo sahii mkuu tuendelee na mada kujadili ubora wa IDF na MossadHuyo aliyekupa picha yake ni mtu wa ajabu sana.Kwa hiyo mtu anashindwa kujadili hoja anakimbilia Inbox kukupatia picha ya mtoa mada? Imebidi nicheke sana kwa haya maelezo[emoji3][emoji3].
Mzee wetu hebu tujikite na mada.Habari za picha za watu sidhani kama zina maana sana hapa.
Karibu tuendelee mzee wangu.Nimekuwekea hiyo picha sababu huyo jamaa kuna maelezo yake anaitwa 448.Nelson...
Haya unyoeleza hapa wewe umenakili kutoka Wikipedia.
Hapana tabu lakini sheria inakutaka ufanye acknowledgement.
Atakae kusoma haya aingie Google afanye search: Yom Kippur War.
Hapo ndipo aliponakili.
Huhitaji mtu anakili aje kukuwekea hapa.
Anwar Sadat kaeleza vizuri Vita Vya Yom Kippur katika kitabu cha maisha yake "In Search of Identity."
Nelson...Majasusi na makachero waga wanaficha sura na majina na kila aina ya utambulisho wao ila 448 picha yake moja ilipatikana na ningependa tumzungumzie huyu
Nelson...Karibu mzee wangu tuendelee na huko mbele tutazungumzia jinsi gani majeshi ya Egypt yalivyokua imara kuweza kuwazuia wanajeshi wa IDF kilometa 8 kutoka Ismailia kwa ufanisi mkubwa.Leo tunamjadili kachero wa Mossad 448 na sera zake tano.
Nelson...Imetoka sehemu husika ila sio sehemu za kwenye mihadhara ya wanazuoni au vyuoni au kwenye nyumba za ibada au kwenye majukwaa ya itikadi za kisiasa au kidini.Wataalamu wa medani hizi tunakaa na wahusika wa sehemu inayojadiliwa na kuchambua haya mambo kitaalamu.Karibu sana mzee wangu tuendelee
Nelson...Upo sahii mkuu tuendelee na mada kujadili ubora wa IDF na Mossad
Nelson...
Hii si habari mpya yote hayo yanajulikana.
Vipi wewe unataka kueleza haya kama kitu kipya?
Mzee kwa umri wako nilitegemea kabisa ungekuwa na uwezo mkubwa wa kuhimili mijadala bila kutoa kejeli za aina hii.Nelson...
Unauchinja uzi huu kwa mkono wako mwenyewe.
Wanajeshi gani watakuja JF kuleta stori hizi?
Wewe "mtaalamu wa medani hizi."
Hebu punguza vituko.
Unasababisha tucheke.
Idara yako unayofanyia kazi ndiyo imekutuma JF?
Kama shida yako ni kutambulikana umechagua njia mbovu kufikia lengo lako.
Yule jamaa anasema dawa yako ni kukuondolea pazia aweke hapa picha yako na tangazo.
Hii mada ilikuwa nzuri sana na ingekuwa uzi bora kuwahi kuandikwa ndani ya jf.Mzee kwa umri wako nilitegemea kabisa ungekuwa na uwezo mkubwa wa kuhimili mijadala bila kutoa kejeli za aina hii.
Naona umeamua kuitumia hiyo picha kama silaha ya kumtishia mleta mada. Kwamba uvumilivu wa kujibishana kwa hoja umekuishia umeamua kutishia kuweka picha? Ningekuwa mimi ni Jacob ningekuruhusu wewe na huyo jamaa muweke hiyo picha.
Moderator Paw hii siku hizi inaruhusiwa hapa JF?
Nyamizi,Mzee kwa umri wako nilitegemea kabisa ungekuwa na uwezo mkubwa wa kuhimili mijadala bila kutoa kejeli za aina hii.
Naona umeamua kuitumia hiyo picha kama silaha ya kumtishia mleta mada. Kwamba uvumilivu wa kujibishana kwa hoja umekuishia umeamua kutishia kuweka picha? Ningekuwa mimi ni Jacob ningekuruhusu wewe na huyo jamaa muweke hiyo picha.
Moderator Paw hii siku hizi inaruhusiwa hapa JF?
Kwa nini Israel walimuua Ariel Sharon?? Kwa nini walimpa sumu??Ariel Sharon kuna war structure ya IDF aliibuni mwaka 1982 na waliitumia IDF in urban war in beirut ilikua inahitaji akili nyingi kuweza kuelewa aliwaza nini kubuni vile!!!Heshima yake sababu ni mwanajeshi asiyeogopa kukabiliana na adui mazingira yoyote yale!!!
Pengine kweli anaweza kuwa siyo Militally analyst mzuri lakini ndiyo halali sasa mtu kila wakati awe anatishia kuwa ataweka picha yake kisa hapendezwi na michango ya mtoa mada?Hii mada ilikuwa nzuri sana na ingekuwa uzi bora kuwahi kuandikwa ndani ya jf.
Lakini mleta mada ame uharibu kwa sababu kila ukichangia badala ajibu hoja za ulicho kiandika ana anza kukuambia eti sijui hujui chochote kuhusu jeshi kwa sababu ww sio mwana jeshi ila yy ndo anajua kwa sababu ni mwana jeshi.
Na ndio maana unaona watu uzi wameutelekeza.