IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

HIZBU magaidi sababu wapo kinyume na Western nandio maana leo hata wagner wanatambulika magaidi sababu wapo kinyume na wester

HIZBU hawakua pale pale soma vyema hio vita kuna maeneo yalikua yanakaliwa na hao magaidi wa israel mashamba ya SHABAA ambayo baada ya vita yalirudi kwa HIZBULLAH

UGAIDI ninini !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibuni tuzungumzie hii mada kwa mtazamo wa kijeshi tuachane ma masuala ya kuchambua kama raia au wanasiasa.Mkisoma chambuzi zangu mleta mada mtanielewa
 
Nelson,
Naamini umenisoma na umenielewa.
Uko kimya.

Umefanya vizuri sana kuwa kimya.
Unanikaribisha leo kusoma hayo?

Unasahau kuwa mwanzo wa mjadala nilikuandikia kuhusu Mohamed Heykal na Sadat Yom Kippur inaanza ukasema mjadala huu si wa vitabu?

Mimi nayajua hayo toka 1973 na nayasomesha hadi hivi sasa na wewe nimekuorodhesha kama mmoja wa wanafunzi wangu.
Ila ujadili kwa mtazamo wa kijeshi na sio kwa mtazamo wa kisiasa na kiitikadi.Tatizo la wachangia mada wengi wanachangia kwa mtazamo wa kiraia na kisiasa na kiitikadi na kiimani.Sasa wachangia mada wa mtazamo wa kijeshi tupo tafauti.Vita vya kijeshi havielezewi kwa miadhara ya ukumbini au sehemu za ibada bali hali halisi ya uwanja wa mapambano wakati husika.Nipo katika kuchambua siku ya tatu ya mapigano pale uwanda wa Golan wakati wanajeshi wa miguu na vifaru toka pande zote mbili wanaonana uso kwa uso asubuhi na mapema.Karibu tuendelee....
 
Ila ujadili kwa mtazamo wa kijeshi na sio kwa mtazamo wa kisiasa na kiitikadi.Tatizo la wachangia mada wengi wanachangia kwa mtazamo wa kiraia na kisiasa na kiitikadi na kiimani.Sasa wachangia mada wa mtazamo wa kijeshi tupo tafauti.Vita vya kijeshi havielezewi kwa miadhara ya ukumbini au sehemu za ibada bali hali halisi ya uwanja wa mapambano wakati husika.Nipo katika kuchambua siku ya tatu ya mapigano pale uwanda wa Golan wakati wanajeshi wa miguu na vifaru toka pande zote mbili wanaonana uso kwa uso asubuhi na mapema.Karibu tuendelee....
Nelson...
Usipuuze nikuambiayo.
Una chuki kali na Uislam lakini huna ujasiri.

Ati sehemu za ibada.

Waislam hatuna sehemu za ibada tuna misikiti.

Usiogope utaje msikiti.
 
Nelson...
Usipuuze nikuambiayo.
Una chuki kali na Uislam lakini huna ujasiri.

Ati sehemu za ibada.

Waislam hatuna sehemu za ibada tuna misikiti.

Usiogope utaje msikiti.
Hapa tu ndiyo Mzee wangu na wewe huwa unapotoka.Unaweza kuweka pembeni kwanza hayo maswala ya "chuki na uislam" na ukachangia mada? Kwani mtu akisema sehemu za Ibada anakuwa ame insult Uislam? Tuendelee na mada iliyopo mezani,tusiipindishe makusudi na kuharibu mtiririko wake.
 
Katika hali ngumu kabisa ile asubuhi vikosi vya IDF,s katika majengeo yao ya mitego ya(RWD) na wakiwa wachache kimahesabu na wana vipigia mizinga na mota 147 na vifaru 290 wanakutana na divisheni thabiti mbili au tatu za jeshi la Syria SSMF zikiwa na vifaru vya T-55 na T-62 zaidi ya 300 na vipigia mzinga na mota zaidi ya 100 wakiwa tayari kufa au kupona kurejesha eneo lao la vilima vya Golan katika oparesheni waliyokua mwanzoni wanaiita Al-Owda kabla majenerali wa kimsiri kuikataa na kuibadilisha na kua operation Badhr kila kitu kilipangwa Cairo.Basi tuendelee na kilichotokea uwanja wa mapambano.Wanajeshi wa IDF wote waliokua kwenye vifaru walichukua cover,s za aina ya pembe tatu(Angle to angle coverage) na mtambao wa chini.Wakati wanajeshi wa Syria SSMF cover zao zilikua head to head na mtambao wa chini pia.Kuna vikosi pale uwanja wa mapambano vilikua na kazi ya kuharibu vifaru vya adui kwa kutumia RPG,s na anti-tanks missels kwa pande zote mbili.Sasa ule mtego wa IDF wa (RWD) ukaanza kufanya kazi sababu karibia wanajeshi wote wa vikosi vya Syria upande ule walikua wameingia ndani kabisa ya uwanda wa vilima pamoja na vifaru sindikizi vyao na walikua wanaonekana kwa urahisi kuweza kuwashambulia na kuwateka au kuwarudisha nyuma.Sasa suala la ubunifu wa IDF likaonekana hapa maana bunduki za askari wa miguu walizokua wanatumia zilikua ni Berreta M1951 na BT/AT52 na UZ 9mm SMG ambazo zilikua tofauti kabisa na wapinzani wao kiubora na hapa ndipo tunapoona ubora wa jeshi la IDF.Kwa upande wa jeshi la Syria SSMF wanajeshi wake walikua wanatumia AK 47 na Hakim rifle,s
 
Hapa tu ndiyo Mzee wangu na wewe huwa unapotoka.Unaweza kuweka pembeni kwanza hayo maswala ya "chuki na uislam" na ukachangia mada? Kwani mtu akisema sehemu za Ibada anakuwa ame insult Uislam? Tuendelee na mada iliyopo mezani,tusiipindishe makusudi na kuharibu mtiririko wake.
Anadai kosa langu ni kusema huwezi kuzungumzia vita na hali ya uwanja wa mapambano ukiwa kwenye ukumbi au kwenye mihadhara au nyumba za ibada nimemshauri tujadili mada hii kama wanajeshi
 
Nelson...
Usipuuze nikuambiayo.
Una chuki kali na Uislam lakini huna ujasiri.

Ati sehemu za ibada.

Waislam hatuna sehemu za ibada tuna misikiti.

Usiogope utaje msikiti.
Mzee wangu hii ni mada ya kijeshi kua serious kidogo kama unataka kuchangia!!Usichangie kama mwanasiasa au kiitikadi au kiimani utatoka nje ya mada
 
Mzee wangu hii ni mada ya kijeshi kua serious kidogo kama unataka kuchangia!!Usichangie kama mwanasiasa au kiitikadi au kiimani utatoka nje ya mada
Nelson...
Katika wachangiaji wa mada hii hakuna mwanajeshi yoyote si wewe wala yeyote yule.

Unanizungumzia mimi umakini (niwe serious) wewe unachangia kitu gani hapa ila hadithi za wagagagigikoko.

Vita gani uliopigana wewe.

Vita Vya Kagera au vya ukombozi wa Msumbiji?

Kuna mtu kaniletea picha yako nimekuona.

Nimemkatalia kuiweka hapa na maelezo yako na nimemsihi na yeye awe muungwana ukusitiri.

Mwisho.
Ikiwa hutaki kuona nachingia hapa.

Nieleze hapa watu wote wasome.
Nakuhakikishia nitaacha.
 
Nelson...
Katika wachangiaji wa mada hii hakuna mwanajeshi yoyote si wewe wala yeyote yule.

Unanizungumzia mimi umakini (niwe serious) wewe unachangia kitu gani hapa ila hadithi za wagagagigikoko.

Vita gani uliopigana wewe.

Vita Vya Kagera au vya ukombozi wa Msumbiji?

Kuna mtu kaniletea picha yako nimekuona.

Nimemkatalia kuiweka hapa na maelezo yako na nimemsihi na yeye awe muungwana ukusitiri.

Mwisho.
Ikiwa hutaki kuona nachingia hapa.

Nieleze hapa watu wote wasome.
Nakuhakikishia nitaacha.
Sasa mambo ya misikiti na udini yameingia vipi hapa!!!Huwezi kuvijua vita kupitia miadhara ya nyumba za ibada au madarasani au kwenye mialiko.Wachambuzi wa medani za kivita hawana itikadi,imani au siasa.Wanachambua wanakosoa wanasifia kwa mtazamo wa kijeshi.Karibu tuendelee kuchangia kwa mtazamo wa kijeshi ili tusitoke nje ya mada.Karibu tuendelee mzee wangu Said Mohammed
 
Nelson...
Katika wachangiaji wa mada hii hakuna mwanajeshi yoyote si wewe wala yeyote yule.

Unanizungumzia mimi umakini (niwe serious) wewe unachangia kitu gani hapa ila hadithi za wagagagigikoko.

Vita gani uliopigana wewe.

Vita Vya Kagera au vya ukombozi wa Msumbiji?

Kuna mtu kaniletea picha yako nimekuona.

Nimemkatalia kuiweka hapa na maelezo yako na nimemsihi na yeye awe muungwana ukusitiri.

Mwisho.
Ikiwa hutaki kuona nachingia hapa.

Nieleze hapa watu wote wasome.
Nakuhakikishia nitaacha.
Karibu tuendelee
 
Huyu ni mmoja kati ya wale makomando wa IDF niliowazungumzia mwanzoni nikasema walimsaidia Ariel Sharon kwa kumletea supply materials kama askari wa miamvuli wakati wamefanikiwa kuvuka Suez canal na kuikaribia Ismailia ila hawakusonga mbele baada ya kukutana na upinzani mkubwa na mkali wa majeshi ya Egypt nje kidogo ya mji wa Ismailia.Askari wa vikosi maalumu vya IDF walifanikiwa kujenga resistance line ndani ya territory ya Egypt na kuilinda (Holding in) mpaka mazungumzo ya amani yalipoanza na mazungumzo ya kubadilishana mateka wa kivita kwa pande zote mbili chini ya usimamizi wa USA yalipoanza
 

Attachments

  • Screenshot_20230210-125853.png
    Screenshot_20230210-125853.png
    147 KB · Views: 5
Huyu ni mmoja kati ya wale makomando wa IDF niliowazungumzia mwanzoni nikasema walimsaidia Ariel Sharon kwa kumletea supply materials kama askari wa miamvuli wakati wamefanikiwa kuvuka Suez canal na kuikaribia Ismailia ila hawakusonga mbele baada ya kukutana na upinzani mkubwa na mkali wa majeshi ya Egypt nje kidogo ya mji wa Ismailia.Askari wa vikosi maalumu vya IDF walifanikiwa kujenga resistance line ndani ya territory ya Egypt na kuilinda (Holding in) mpaka mazungumzo ya amani yalipoanza na mazungumzo ya kubadilishana mateka wa kivita kwa pande zote mbili chini ya usimamizi wa USA yalipoanza
Nelson...
Haya unyoeleza hapa wewe umenakili kutoka Wikipedia.
Hapana tabu lakini sheria inakutaka ufanye acknowledgement.

Atakae kusoma haya aingie Google afanye search: Yom Kippur War.
Hapo ndipo aliponakili.

Huhitaji mtu anakili aje kukuwekea hapa.

Anwar Sadat kaeleza vizuri Vita Vya Yom Kippur katika kitabu cha maisha yake "In Search of Identity."
 
Kuna mtu kaniletea picha yako nimekuona.

Nimemkatalia kuiweka hapa na maelezo yako na nimemsihi na yeye awe muungwana ukusitiri..

Huyo aliyekupa picha yake ni mtu wa ajabu sana.Kwa hiyo mtu anashindwa kujadili hoja anakimbilia Inbox kukupatia picha ya mtoa mada? Imebidi nicheke sana kwa haya maelezo[emoji3][emoji3].

Mzee wetu hebu tujikite na mada.Habari za picha za watu sidhani kama zina maana sana hapa.
 
Huyo aliyekupa picha yake ni mtu wa ajabu sana.Kwa hiyo mtu anashindwa kujadili hoja anakimbilia Inbox kukupatia picha ya mtoa mada? Imebidi nicheke sana kwa haya maelezo[emoji3][emoji3].

Mzee wetu hebu tujikite na mada.Habari za picha za watu sidhani kama zina maana sana hapa.
Nyamizi,
Picha hiyo hakika haina maana.
Ilikuwa ni kumzindua ndugu yetu awe mkweli kuhusu haya mambo ya jeshi na ukachero.

Wewe umecheka kama nilivyocheka mimi na wenzangu.
 
Nyamizi,
Picha hiyo hakika haina maana.
Ilikuwa ni kumzindua ndugu yetu awe mkweli kuhusu haya mambo ya jeshi na ukachero.

Wewe umecheka kama nilivyocheka mimi na wenzangu.

Tuendelee sasa kujikita kwenye mjadala wenye afya na kutusaidia wengine kupata chakula cha ubongo.
 
Tuendelee sasa kujikita kwenye mjadala wenye afya na kutusaidia wengine kupata chakula cha ubongo.
Nyamizi,
Hakika.

Nimefika Ismailia.
Nimefika Suez Canal.

Suez Canal ilifungwa wakati wa vita.

Nilibahatika kuona filamu ya Suez Canal ilikuwaje wakati wa vita vyote Six Day War na Yom Kippur.

Filamu hii nimeiona hapo Suez.
Nimefika Bar Lev Line.

Nimepita njia ya jangwani Cairo hadi Alexandria kisha njia ya mjini Alexandria kupita Port Said hadi Damieta mpaka Cairo.

Hiyo njia ya jangwani ni kambi za jeshi njia nzima.
Yako mengi siwezi kueleza yote.

Ikutoshe tu kuwa mimi si mgeni katika hili tunalojadili.
 
Hapa tu ndiyo Mzee wangu na wewe huwa unapotoka.Unaweza kuweka pembeni kwanza hayo maswala ya "chuki na uislam" na ukachangia mada? Kwani mtu akisema sehemu za Ibada anakuwa ame insult Uislam? Tuendelee na mada iliyopo mezani,tusiipindishe makusudi na kuharibu mtiririko wake.
Nyamizi,
Ikiwa unaona hana chuki na Uislam sawa.
Lakini kila akizunguka atarudi kwenye nyumba za ibada.

Atarudi kwa Waarabu.

Mimi si mjinga najua kusoma katikati ya mistari na nayasikia maneno ambayo hayakusemwa.

Hayo mambo ya kujadili mada wala sihitaji kuhimizwa.

Nipo hapa na utanisoma In Shaa Allah.
 
Katika hali ngumu kabisa ile asubuhi vikosi vya IDF,s katika majengeo yao ya mitego ya(RWD) na wakiwa wachache kimahesabu na wana vipigia mizinga na mota 147 na vifaru 290 wanakutana na divisheni thabiti mbili au tatu za jeshi la Syria SSMF zikiwa na vifaru vya T-55 na T-62 zaidi ya 300 na vipigia mzinga na mota zaidi ya 100 wakiwa tayari kufa au kupona kurejesha eneo lao la vilima vya Golan katika oparesheni waliyokua mwanzoni wanaiita Al-Owda kabla majenerali wa kimsiri kuikataa na kuibadilisha na kua operation Badhr kila kitu kilipangwa Cairo.Basi tuendelee na kilichotokea uwanja wa mapambano.Wanajeshi wa IDF wote waliokua kwenye vifaru walichukua cover,s za aina ya pembe tatu(Angle to angle coverage) na mtambao wa chini.Wakati wanajeshi wa Syria SSMF cover zao zilikua head to head na mtambao wa chini pia.Kuna vikosi pale uwanja wa mapambano vilikua na kazi ya kuharibu vifaru vya adui kwa kutumia RPG,s na anti-tanks missels kwa pande zote mbili.Sasa ule mtego wa IDF wa (RWD) ukaanza kufanya kazi sababu karibia wanajeshi wote wa vikosi vya Syria upande ule walikua wameingia ndani kabisa ya uwanda wa vilima pamoja na vifaru sindikizi vyao na walikua wanaonekana kwa urahisi kuweza kuwashambulia na kuwateka au kuwarudisha nyuma.Sasa suala la ubunifu wa IDF likaonekana hapa maana bunduki za askari wa miguu walizokua wanatumia zilikua ni Berreta M1951 na BT/AT52 na UZ 9mm SMG ambazo zilikua tofauti kabisa na wapinzani wao kiubora na hapa ndipo tunapoona ubora wa jeshi la IDF.Kwa upande wa jeshi la Syria SSMF wanajeshi wake walikua wanatumia AK 47 na Hakim rifle,s
Nelson...
Copy cat.

Stori hii imetoka wapi.
Kitabuni, kahadithiwa au alishuhudia?

Kila kitu kinatakiwa kionyeshwe source yake.

Hivyo ndivyo itakiwavyo.
Hubandiki tu maneno.

Kitabu hiki soma maneno katika cover ya kitabu.

Lakini ukitaka kufaidi kalamu ya Mohamed Heikal ikiwa humjui kwanza anza na Google upate kumjua.

Heikal kavieleza vizuri Vita Vya Yom Kippur.

Msomi atamsoma Heikal na ikiwa anataka kutumia aliyosema katika kitabu chake atatumia na ataeleza kuwa huyo ni Heikal.

Kawaida ya msomi yoyote yule hawi na kauli moja wala hawezi kuitumia Wikipedia kama chanzo cha taarifa yote kwani uandishi wa Wikipesia ni tofauti na uandishi wa kitabu.

Did Egypt defeat Israel in 1973?



Image result


The Israelis felt defeated by the Egyptian victory of Oct. 6, 1973. It wasn't just a defeat in battle but defeat in the face of the biggest threat to its existence in its 25 years of being. During that time, Israel feared for the fate of its people and its own existence as a state.

(Google Search)

1504.jpg
 
Back
Top Bottom