IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Nyamizi,
Nitaanza na hili la uvumilivu.
Hili linajijibu lenyewe ikiwa wewe uko muda mrefu hapa jamvini hivyo unanijua.

Ikiwa ni mgeni nakuomba rejea kwa yote Nelson aliyokuwa akiniandikia kuhusu ushiriki wangu katika Mwembechai, kushinikiza Tanzania iwe nchi ya Kiislam na kuingi OIC.

Soma majibu yangu kwake.
Kejeli.

Sijamkejeli.

Nimempa tahadhari ya maneno yake kuhusu "impersonation," kujifanya usichokuwa.

Hii ni jinai.
Huenda yeye hajui.

Jeshi tulilonalo sote tunalijua na baadhi ya wakuu wake ngazi za juu kabisa wengine tumesoma darasa moja na sasa ni wastaafu.

Halikadhalika katika huko kwengine ni hivyo hivyo.

Yeye anajinasibisha na vyombo hivi na kuandika uongo hadharani.

Aliyeleta picha yake nilimuuliza kaipataje.

Hapo ndipo mimi na wenzangu tulipovunjika mbavu.

Picha yake kaiweka hapa.

Ushauri wangu kwako.

Hii mara ya pili unakuja kwangu kumtetea.

Mwenyewe yuko kimya.
Unajua sababu yake?

Jambo zuri kumtetea.
Sasa zungumzanae.

Nelson kafungua uzi mpya Jukwaa la Siasa mada yake ni CCM.
I rest my case,naona nyinyi kumbe mna mambo yenu binafsi na mnajuana kitambo.Kila la kheri kwenye kutunishiana misuli ya nani zaidi.
 
Hii mada ilikuwa nzuri sana na ingekuwa uzi bora kuwahi kuandikwa ndani ya jf.

Lakini mleta mada ame uharibu kwa sababu kila ukichangia badala ajibu hoja za ulicho kiandika ana anza kukuambia eti sijui hujui chochote kuhusu jeshi kwa sababu ww sio mwana jeshi ila yy ndo anajua kwa sababu ni mwana jeshi.

Na ndio maana unaona watu uzi wameutelekeza.
ITR,
Hakika uzi ungenoga sana.

Nilianza na vituko vya Sadat wakati wa Yom Kippur nikieleza mazungumzo ya Heikal na Commander in Chief.

Yeye hakutaka.

Ilikuwa tukitoka pale nimpeleke kwa majeshi mengine ili afananishe majeshi hayo na IDF.

Nilikusudia kumpeleka Yugoslavia alione jeshi la Partisan Army la Field Marshall Josip Tito anapambana na jeshi la Wajerumani lenye Air Force na kila aina ya silaha hadi mbwa aina ya German Shepherd.

Wayugoslavia wana nini?

Wana moyo na ari ya kuikomboa nchi yao hata kama watauliwa wote.
 
Pengine kweli anaweza kuwa siyo Militally analyst mzuri lakini ndiyo halali sasa mtu kila wakati awe anatishia kuwa ataweka picha yake kisa hapendezwi na michango ya mtoa mada?

Ni busara zaidi kuutelekeza uzi kuliko kutoa vitisho visivyokuwa na maana sana vya kuweka picha ya mtu.Sheria za JF zipo wazi kabisa ni marufuku ku expose Identity ya mtu,ukiona mada haina maana kwako unaachana nayo na maisha yanaendelea.
Nyamizi,
Ndiyo sababu nilimkataza asiweke picha.
 
I rest my case,naona nyinyi kumbe mna mambo yenu binafsi na mnajuana kitambo.Kila la kheri kwenye kutunishiana misuli ya nani zaidi.
Nyamizi,
Sina chochote binafsi na yeyote hapa JF.

Wala sijuani na yeyote hapa JF.
Wala sijatunisha msuli.

Nguvu yangu ipo katika kalamu yangu.
Wewe ndiyo umeniandikia kuhusu Nelson na nimekujibu.
 
Sasa mambo ya misikiti na udini yameingia vipi hapa!!!Huwezi kuvijua vita kupitia miadhara ya nyumba za ibada au madarasani au kwenye mialiko.Wachambuzi wa medani za kivita hawana itikadi,imani au siasa.Wanachambua wanakosoa wanasifia kwa mtazamo wa kijeshi.Karibu tuendelee kuchangia kwa mtazamo wa kijeshi ili tusitoke nje ya mada.Karibu tuendelee mzee wangu Said Mohammed
Mkuu hongera sana kwa mada hii Mimi ni miongoni naipenda kufuatilia mada za kijasusi na kijeshi
Isipokuwa nakushauri

kuwa mvumilivu wa kupokea mawazo ya wachangiaji ,naona unataka kuonyesha kwamba una uzoefu kwenye vita na kwamba kila unachoelezea umeshiriki,
Lakini ukweli ni kwamba vitu vingi umechukua kwenye maandiko mbalimbali kama sio vitabu,
Nimekufatilia muda mrefu unalazimisha mawazo unayotaka wewe
Acha watu wafunguke wasomaji watapima wenyewe

Pia ukishaweka mada kwenye hii forum inakuwa Mali ya Jf sio yako Tena so Kila member wa Jf ana uhuru wa kuchangia openly
Ahsante mkuu
 

Naomba tuendelee kuchangia Kwa uhuru kabisa bila chuki kwa lengo la kuelimishana na kuburudishana

Lakini tukumbuke michango yetu halifanyi Idf au mossad kuwa Bora kama sio Bora
Pia michango yetu haiwezi kulidhoofisha Jeshi la Israel au Mosssd ikiwa ni bora
ukweli tutaendelea kushuhudia kwenye battlefield
 
Mkuu hongera sana kwa mada hii Mimi ni miongoni naipenda kufuatilia mada za kijasusi na kijeshi
Isipokuwa nakushauri

kuwa mvumilivu wa kupokea mawazo ya wachangiaji ,naona unataka kuonyesha kwamba una uzoefu kwenye vita na kwamba kila unachoelezea umeshiriki,
Lakini ukweli ni kwamba vitu vingi umechukua kwenye maandiko mbalimbali kama sio vitabu,
Nimekufatilia muda mrefu unalazimisha mawazo unayotaka wewe
Acha watu wafunguke wasomaji watapima wenyewe

Pia ukishaweka mada kwenye hii forum inakuwa Mali ya Jf sio yako Tena so Kila member wa Jf ana uhuru wa kuchangia openly
Ahsante mkuu
Gift...
Ukishaitaja Israel umetaja dini.
Ukishaitaja Israel umeitaja nchi ambayo ni taifa na dini kwa pamoja.

Unahitaji kwanza mleta mada alijue hili.

Unapoitaja Hizbullah jua umewataja Shia.

Unapoitaja Misri jua umewataja Ikhwan Muslimin (Muslim Brotherhood).

Inawezekana mleta mada haya hakuyajua toka awali.

Sasa anajikuta katika hali ambayo hakutegemea.

Anauliza Uislam unaingiaje katika Waarabu kukabiliana na Wayahudi?

Haya mambo yanahitaji mtu kusoma au kufanya utafiti angalau kidogo kujua nini ni nini.

Vinginevyo utajitaabisha mwenyewe bure na wakati mwingine utawataabisha wengine.

Kuhusu ubora wa IDF mleta uzi yeye alishaamua kuwa IDF inashinda majeshi yote duniani yaliyopo na yaliyopita.

Ndipo kuna mahali hapa nikauliza kama anajua historia ya Partisan Army ya Yugoslavia chini ya Field Marshall Josip Tito Vita VyaPili VyaDunia (1939 - 1945).

Au kama amepata kusoma historia ya Ho Chi Minh Trail wakati wa Wavietnam walipokuwa wanapigana na Wamarekani.

1676148658393.jpeg
Nimesimama nje ya Chuo Cha Azhar, Cairo mwaka wa 1991 chuo kikubwa sana duniani cha Waislam
 
Israel watu wamekaa kanisani weeh wakachukua mahaba ya kiimani sasa wanaiabudu nchi.Hata uhalifu wanaoufanya hawauoni wanaipaisha tu nchi.Miaka mingi ijayo utakuja ambiwa afrika kusini ni ya watu weupe.Kama palestina ilivyofanywa.Jinga kabisa watu.
 
Gift...
Ukishaitaja Israel umetaja dini.
Ukishaitaja Israel umeitaja nchi ambayo ni taifa na dini kwa pamoja.

Unahitaji kwanza mleta mada alijue hili.

Unapoitaja Hizbullah jua umewataja Shia.

Unapoitaja Misri jua umewataja Ikhwan Muslimin (Muslim Brotherhood).

Inawezekana mleta mada haya hakuyajua toka awali.

Sasa anajikuta katika hali ambayo hakutegemea.

Anauliza Uislam unaingiaje katika Waarabu kukabiliana na Wayahudi?

Haya mambo yanahitaji mtu kusoma au kufanya utafiti angalau kidogo kujua nini ni nini.

Vinginevyo utajitaabisha mwenyewe bure na wakati mwingine utawataabisha wengine.

Kuhusu ubora wa IDF mleta uzi yeye alishaamua kuwa IDF inashinda majeshi yote duniani yaliyopo na yaliyopita.

Ndipo kuna mahali hapa nikauliza kama anajua historia ya Partisan Army ya Yugoslavia chini ya Field Marshall Josip Tito Vita VyaPili VyaDunia (1939 - 1945).

Au kama amepata kusoma historia ya Ho Chi Minh Trail wakati wa Wavietnam walipokuwa wanapigana na Wamarekani.

Nimesimama nje ya Azhar, Cairo mwaka wa 1991 chuo kikubwa sana duniani cha Waislam

Kiukweli chanzo kikuu Cha vita ya mashariki ya Kati imebase zaidi kwenye dini ,
Na ikumbuke kwamba taifa la Israel ndo ambalo Lina maeneo matakatifu ya dini kuu zote tatu ukristo uislam na uyahudi


Tukirejea kwenye mada tunajadili ubora wa Idf na Massod baada ya kuundwa kwa upya taifa la Israel 1948,
Tukianza kutaja na operesheni za nyuma tunakuwa hutuetendei haki Uzi huu ingawa hili jukwaa ni huru pia
 
Kiukweli chanzo kikuu Cha vita ya mashariki ya Kati imebase zaidi kwenye dini ,
Na ikumbuke kwamba taifa la Israel ndo ambalo Lina maeneo matakatifu ya dini kuu zote tatu ukristo uislam na uyahudi


Tukirejea kwenye mada tunajadili ubora wa Idf na Massod baada ya kuundwa kwa upya taifa la Israel 1948,
Tukianza kutaja na operesheni za nyuma tunakuwa hutuetendei haki Uzi huu ingawa hili jukwaa ni huru pia
Gift...
Hakuna ubaya kueleza historia za vita vilivyopita yote haya ni katika kueneza elimu.

Halikadhalika kufanya mjadala upendeze zaidi.

Mathalan ukieleza mauaji ya Shatila ipo haja na kugusia pia mauaji ya My Lai Vietnam.

Huwezi kusema mauaji ya My Lai hayakuwa Mashariki ya Kati.
 
Katika hali ngumu kabisa ile asubuhi vikosi vya IDF,s katika majengeo yao ya mitego ya(RWD) na wakiwa wachache kimahesabu na wana vipigia mizinga na mota 147 na vifaru 290 wanakutana na divisheni thabiti mbili au tatu za jeshi la Syria SSMF zikiwa na vifaru vya T-55 na T-62 zaidi ya 300 na vipigia mzinga na mota zaidi ya 100 wakiwa tayari kufa au kupona kurejesha eneo lao la vilima vya Golan katika oparesheni waliyokua mwanzoni wanaiita Al-Owda kabla majenerali wa kimsiri kuikataa na kuibadilisha na kua operation Badhr kila kitu kilipangwa Cairo.Basi tuendelee na kilichotokea uwanja wa mapambano.Wanajeshi wa IDF wote waliokua kwenye vifaru walichukua cover,s za aina ya pembe tatu(Angle to angle coverage) na mtambao wa chini.Wakati wanajeshi wa Syria SSMF cover zao zilikua head to head na mtambao wa chini pia.Kuna vikosi pale uwanja wa mapambano vilikua na kazi ya kuharibu vifaru vya adui kwa kutumia RPG,s na anti-tanks missels kwa pande zote mbili.Sasa ule mtego wa IDF wa (RWD) ukaanza kufanya kazi sababu karibia wanajeshi wote wa vikosi vya Syria upande ule walikua wameingia ndani kabisa ya uwanda wa vilima pamoja na vifaru sindikizi vyao na walikua wanaonekana kwa urahisi kuweza kuwashambulia na kuwateka au kuwarudisha nyuma.Sasa suala la ubunifu wa IDF likaonekana hapa maana bunduki za askari wa miguu walizokua wanatumia zilikua ni Berreta M1951 na BT/AT52 na UZ 9mm SMG ambazo zilikua tofauti kabisa na wapinzani wao kiubora na hapa ndipo tunapoona ubora wa jeshi la IDF.Kwa upande wa jeshi la Syria SSMF wanajeshi wake walikua wanatumia AK 47 na Hakim rifle,s
 
Kiukweli chanzo kikuu Cha vita ya mashariki ya Kati imebase zaidi kwenye dini ,
Na ikumbuke kwamba taifa la Israel ndo ambalo Lina maeneo matakatifu ya dini kuu zote tatu ukristo uislam na uyahudi


Tukirejea kwenye mada tunajadili ubora wa Idf na Massod baada ya kuundwa kwa upya taifa la Israel 1948,
Tukianza kutaja na operesheni za nyuma tunakuwa hutuetendei haki Uzi huu ingawa hili jukwaa ni huru pia
 
Gift...
Ukishaitaja Israel umetaja dini.
Ukishaitaja Israel umeitaja nchi ambayo ni taifa na dini kwa pamoja.

Unahitaji kwanza mleta mada alijue hili.

Unapoitaja Hizbullah jua umewataja Shia.

Unapoitaja Misri jua umewataja Ikhwan Muslimin (Muslim Brotherhood).

Inawezekana mleta mada haya hakuyajua toka awali.

Sasa anajikuta katika hali ambayo hakutegemea.

Anauliza Uislam unaingiaje katika Waarabu kukabiliana na Wayahudi?

Haya mambo yanahitaji mtu kusoma au kufanya utafiti angalau kidogo kujua nini ni nini.

Vinginevyo utajitaabisha mwenyewe bure na wakati mwingine utawataabisha wengine.

Kuhusu ubora wa IDF mleta uzi yeye alishaamua kuwa IDF inashinda majeshi yote duniani yaliyopo na yaliyopita.

Ndipo kuna mahali hapa nikauliza kama anajua historia ya Partisan Army ya Yugoslavia chini ya Field Marshall Josip Tito Vita VyaPili VyaDunia (1939 - 1945).

Au kama amepata kusoma historia ya Ho Chi Minh Trail wakati wa Wavietnam walipokuwa wanapigana na Wamarekani.

Nimesimama nje ya Chuo Cha Azhar, Cairo mwaka wa 1991 chuo kikubwa sana duniani cha Waislam
Mzee wetu bwana,huwa kila ukipata ki upenyo lazima uchomekee na picha zako kuonyesha umetembea kila pembe ya hii Dunia hata kama haihusiani na mada.

Unaonaje ukianzisha mada maalumu kwa ajili ya kutuonyesha sehemu zote ulizotembelea na huko ukatuwekea picha zote ili tuweze kukusoma vizuri?
 
Mzee wetu bwana,huwa kila ukipata ki upenyo lazima uchomekee na picha zako kuonyesha umetembea kila pembe ya hii Dunia hata kama haihusiani na mada.

Unaonaje ukianzisha mada maalumu kwa ajili ya kutuonyesha sehemu zote ulizotembelea na huko ukatuwekea picha zote ili tuweze kukusoma vizuri?
Nyamizi,
Kuwa naweka picha kujionyesha na hazihusiani na niliyoandika si kweli.
Nijionyeshe nini?

Utafikiri hivyo ikiwa hizo picha zinakuudhi.
Ikiwa picha hizo zinakuudhi tatizo litakuwa kwenye moyo wako.

Picha zote ninazoweka hapa ni kudhihirisha ukweli wa kauli yangu ili moyo wako usije ukakuchezea kukuambia kuwa niliyoandika si kweli.

Nimepata kuandika katika blog yangu mohamedsaidsalum.blogspot.com makala: "From Kipata to Cape Town" mwaka wa 2006.

Kipata ndiyo mtaa niliozaliwa.

Nilikuwa Cape Town siku moja na kaka yangu pamoja na wake zetu restaurant tunakula chakula cha usiku.

Huyu kaka yangu yeye ni Prof. wa Genetics akifanya kazi huko miaka hiyo.
Mama yetu amekufa sisi wadogo sana kwa hiyo hakutuona tukikua.

Nilipomtazama kaka yangu na pale tulipokuwa nikamkumbuka mama yetu moyoni lakini sikusema kitu.

Ilinijia simanzi.
Nikawa nawaza rehma zake Allah kwangu mimi na kwa kaka yangu.

Kila nchi alikokuwapo kaka yangu akifanyakazi mimi nimefika kuanzia Uingereza, Uholanzi hadi Afrika Kusini.

Paliponishinda kufika ni Papua New Guinea.
Hii nchi iko mbali sana.

Kuweka picha zote zilizomo katika makala hiyo ni nyingi mno.
In Shaa Allah nitaweka link ustafidi na nafsi yako.

Picha niliyoweka hapa jana nipo Azhar, Cairo ilikiwa ni makala IDF.
Naamini hii ndiyo iliyokushtua.

Niliandika kuhusu Ikhwan Muslimin, Hizbullah na Wayahudi.

Elimu yote kuhusu Uislam na dini nyingine inasomeshwa Azhar na hapo nimefika na Cairo yenyewe nimekwenda mara mbili.

Sehemu nyingine yenye elimu kubwa kuhusu dini ya Kiislam na nyinginezo na historia ni Yemen na nimefika pia.

Ukipenda naweza nikakuwekea picha ikiwa hutotabika na picha.

Naweza pia nikakuwekea picha ya Msikiti Mkuu wa Paris ambamo Imam wa msikiti huu aliwaficha Wayahudi wasiuliwe na Hitler Vita Kuu Vya Pili Vya Dunia (1939-1945).

Hii ni historia maarufu.
Paris pia nimefika mara mbili.

Uzi huu wa IDF umenikumbusha mengi.

Nimefika Berlin ipo kumbukumbu kubwa ya Wayahudi na hapo ulinzi wake mkali sana.

Nimefika.
Ikiwa si dhiki kwako naweza nikakuwekea picha.

Sielezi haya kwa kujidai bali kwa kuthibitisha yale niandikayo kuwa nayajua kwa kutafiti na kufika nchi na maeneo husika.

Sikutegemea kuwa uthibitisho wa hizi picha itakuwa kero kwako.
Nakutaka radhi.

 
Nyamizi,
Kuwa naweka picha kujionyesha na hazihusiani na niliyoandika si kweli.
Nijionyeshe nini?

Utafikiri hivyo ikiwa hizo picha zinakuudhi.
Ikiwa picha hizo zinakuudhi tatizo litakuwa kwenye moyo wako.

Picha zote ninazoweka hapa ni kudhihirisha ukweli wa kauli yangu ili moyo wako usije ukakuchezea kukuambia kuwa niliyoandika si kweli.

Nimepata kuandika katika blog yangu mohamedsaidsalum.blogspot.com makala: "From Kipata to Cape Town" mwaka wa 2006.

Kipata ndiyo mtaa niliozaliwa.

Nilikuwa Cape Town siku moja na kaka yangu pamoja na wake zetu restaurant tunakula chakula cha usiku.

Huyu kaka yangu yeye ni Prof. wa Genetics akifanya kazi huko miaka hiyo.
Mama yetu amekufa sisi wadogo sana kwa hiyo hakutuona tukikua.

Nilipomtazama kaka yangu na pale tulipokuwa nikamkumbuka mama yetu moyoni lakini sikusema kitu.

Ilinijia simanzi.
Nikawa nawaza rehma zake Allah kwangu mimi na kwa kaka yangu.

Kila nchi alikokuwapo kaka yangu akifanyakazi mimi nimefika kuanzia Uingereza, Uholanzi hadi Afrika Kusini.

Paliponishinda kufika ni Papua New Guinea.
Hii nchi iko mbali sana.

Kuweka picha zote zilizomo katika makala hiyo ni nyingi mno.
In Shaa Allah nitaweka link ustafidi na nafsi yako.

Picha niliyoweka hapa jana nipo Azhar, Cairo ilikiwa ni makala IDF.
Naamini hii ndiyo iliyokushtua.

Niliandika kuhusu Ikhwan Muslimin, Hizbullah na Wayahudi.

Elimu yote kuhusu Uislam na dini nyingine inasomeshwa Azhar na hapo nimefika na Cairo yenyewe nimekwenda mara mbili.

Sehemu nyingine yenye elimu kubwa kuhusu dini ya Kiislam na nyinginezo na historia ni Yemen na nimefika pia.

Ukipenda naweza nikakuwekea picha ikiwa hutotabika na picha.

Naweza pia nikakuwekea picha ya Msikiti Mkuu wa Paris ambamo Imam wa msikiti huu aliwaficha Wayahudi wasiuliwe na Hitler Vita Kuu Vya Pili Vya Dunia (1939-1945).

Hii ni historia maarufu.
Paris pia nimefika mara mbili.

Uzi huu wa IDF umenikumbusha mengi.

Nimefika Berlin ipo kumbukumbu kubwa ya Wayahudi na hapo ulinzi wake mkali sana.

Nimefika.
Ikiwa si dhiki kwako naweza nikakuwekea picha.

Sielezi haya kwa kujidai bali kwa kuthibitisha yale niandikayo kuwa nayajua kwa kutafiti na kufika nchi na maeneo husika.

Sikutegemea kuwa uthibitisho wa hizi picha itakuwa kero kwako.
Nakutaka radhi.

Mzee said mohamed samahani kusema haya ndugu yangu ila una tatizo linaloitwa "Mjibwanu"kwa kiswahili kisicho rasim cha kitabibu.Unataka kuonekana kama kila kitu unajua na ukiongozwa njia sahii unapata tatizo linaloitwa kwa kiswahili cha kitabibu "Sonona".Nakuelewa mzee wangu na itikadi zako katika kuyasimamia yale unayoyaamini.Ni sawa wa sio kosa na ndio maana ya upana tambuzi katika uwanja wa majadiliano.Karibu tuendelee
 
Mzee wetu bwana,huwa kila ukipata ki upenyo lazima uchomekee na picha zako kuonyesha umetembea kila pembe ya hii Dunia hata kama haihusiani na mada.

Unaonaje ukianzisha mada maalumu kwa ajili ya kutuonyesha sehemu zote ulizotembelea na huko ukatuwekea picha zote ili tuweze kukusoma vizuri?
Samahani kwa kusema haya ndugu yangu ila mzee wangu na jitani yangu kaka Said mohamed ana tatizo linaoitwa kwa kiswahili kisicho rasmi cha kitabibu"Mjibwanu".Namuelewa mzee wangu sio kosa ni sawa kabisa na ndio maana ya upana tambuzi katika uwanja wa majadiliano
 
Israel watu wamekaa kanisani weeh wakachukua mahaba ya kiimani sasa wanaiabudu nchi.Hata uhalifu wanaoufanya hawauoni wanaipaisha tu nchi.Miaka mingi ijayo utakuja ambiwa afrika kusini ni ya watu weupe.Kama palestina ilivyofanywa.Jinga kabisa watu.
Upo sahii kaka ila upo nje ya mada.Karibu tuendelee
 
Mkuu hongera sana kwa mada hii Mimi ni miongoni naipenda kufuatilia mada za kijasusi na kijeshi
Isipokuwa nakushauri

kuwa mvumilivu wa kupokea mawazo ya wachangiaji ,naona unataka kuonyesha kwamba una uzoefu kwenye vita na kwamba kila unachoelezea umeshiriki,
Lakini ukweli ni kwamba vitu vingi umechukua kwenye maandiko mbalimbali kama sio vitabu,
Nimekufatilia muda mrefu unalazimisha mawazo unayotaka wewe
Acha watu wafunguke wasomaji watapima wenyewe

Pia ukishaweka mada kwenye hii forum inakuwa Mali ya Jf sio yako Tena so Kila member wa Jf ana uhuru wa kuchangia openly
Ahsante mkuu
Mada nimeleta mimi mkuu.Lakini wadau wanatoka nje ya mada kwa kuingiza siasa na itikadi na mahaba ya kinasaba kwenye uchambuzi wa kitaaluma wa maswala ya ujasusi
 
Back
Top Bottom