IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Mzee wangu to be honest tatizo ni moja ulilonalo......vitabu vyako umeandika mapendekezi yako kiimani,kitamaduni,kihisia na kisiasa.....na mimi naujua mrengo wako......hivyo napata ukakasi kuvisoma....sababu wewe sio mwandishi huru.
Unaegemea upande flani mzee wangu.
Nelson...
Nimesomeshwa Chuo Kikuu Das Kapital.
Unamjua mwandishi na mrengo wake?

Ungepita Chuo Kikuu ungefundishwa kitu kinaitwa, ''Values.''
Kwa nini waandishi wanaandika wanayoandika.

Ungefundishwa umuhimu wa wasomi kughitilafiana.

Dots zinatakiwa ziwe 3 kama hivi: ...
Napenda nikueleze kuwa kisa cha Cohen ni cha zamani sana.

Hiki kitabu kina mapya:

1710735577437.jpeg

1710735645218.jpeg

Hapo ndipo nilipokinunua
Umejifunza nini?
''Fulani'' siyo ''flani.''
 
Ukweli huu warusi walijitahidi sana kuuficha na kipindi hicho hakuna social media's.......watu wengi hawakujua
Screenshot_20240318-071630.png
 
Nelson...
Huwezi kuwa kazi yako ni kunakili kisha huweki hata source.

Ungepitia elimu ya chuo kikuu wangekufundisha haya na ni wakati gani unaweza kuleta kile ulichosoma kwengine.
Mzee wangu kwahiyo chuo kikuu umesoma peke yako......au unamaanisha nn???
 
Nelson...
Nimesomeshwa Chuo Kikuu Das Kapital.
Unamjua mwandishi na mrengo wake?

Ungepita Chuo Kikuu ungefundishwa kitu kinaitwa, ''Values.''
Kwa nini waandishi wanaandika wanayoandika.

Ungefundishwa umuhimu wa wasomi kughitilafiana.

Dots zinatakiwa ziwe 3 kama hivi: ...
Napenda nikueleze kuwa kisa cha Cohen ni cha zamani sana.

Hiki kitabu kina mapya:

View attachment 2937872
View attachment 2937874
Hapo ndipo nilipokinunua
Umejifunza nini?
''Fulani'' siyo ''flani.''
Tatizo mzee wangu......unataka na mimi nianze kuonyesha passport yangu......na kila niliposafiri.......mm sipo hivyo mzee wangu.
Mm waga nahoji wahusika kwanza kabla ya kusoma.
Na hilo linanisaidia kupata ukweli
 
Nobody predict movements and counter offensive of IDF in Egyptian army except Gen Abdel Ghan el Gamasy..........na alimtaadharisha Sadat aache propaganda akubali cease fire.
Sababu mji wa Cairo ulikua tayari kwenye range ya mizinga ya IDF.
Screenshot_20240317-000544.png
 
1710739630095.png


Tatizo mzee wangu......unataka na mimi nianze kuonyesha passport yangu......na kila niliposafiri.......mm sipo hivyo mzee wangu.
Mm waga nahoji wahusika kwanza kabla ya kusoma.
Na hilo linanisaidia kupata ukweli
Nelson...
Mimi nimesafiri kwa ajili ya elimu vinginevyo ningeishia Kariakoo.

Weka dot 3 ...
Unajilazimisha ujinga.

1710739360100.png

Prof. Ali Mazrui, Kampala
1710739432115.png

Prof. Mohamed Bakari, Istanbul
1710739536664.png

Prof. Michael Lofchie, Iowa City
1710739625138.png

Prof. Suleiman Nyang, Ibadan​
Nelson...
Sijakuonyesha pasi zangu.
Passport zangu ni nyingi sana.

Hawa ni wasomi wabobezi katika historia ya Afrika na tunafahamiana.
Baadhi wametangulia mbele ya haki.

Mimi nimesafiri kwa ajili ya kusoma au kusomesha.
Sijapata kununua tiketi ya ndege ila mara moja maishani mwangu.

Safari zote ni mialiko.

 
Tatizo mzee wangu......unataka na mimi nianze kuonyesha passport yangu......na kila niliposafiri.......mm sipo hivyo mzee wangu.
Mm waga nahoji wahusika kwanza kabla ya kusoma.
Na hilo linanisaidia kupata ukweli
Nelson...
Sahihisha weka dot 3
Usionyeshe pasi tuonyeshe elimu yako.
 
IDF hii hii inayopambana na Hamas na Mossad hawa ambao mpaka leo mateka wao hawajui walipo au wengine ?

Hawa kwa ground hawawezi kupigana hata na TPDF asubuhi mapema tunawatoa kamasi.
 
IDF hii hii inayopambana na Hamas na Mossad hawa ambao mpaka leo mateka wao hawajui walipo au wengine ?

Hawa kwa ground hawawezi kupigana hata na TPDF asubuhi mapema tunawatoa kamasi.
South...
Mfano wa TPDF haufai.
Jeshi letu linaweza kupambana na adui yoyote.

Tafadhali futa sentensi hiyo.
 
South...
Mfano wa TPDF haufai.
Jeshi letu linaweza kupambana na adui yoyote.

Tafadhali futa sentensi hiyo.
Jeshi lolote duniani linaweza kupambana na mpinzani yoyote yule.
NB: KUMBUKA KWENYE UWANJA WA VITA MPINZANI HUITWA ADUI.
 
Jasho lipi mkuu?????
Mm kilichopo ni kwamba waarabu wa hamas......wanakula kichapo taratiiibu hatua kwa hatua.....mpaka imefika hatua ya kuvua magwanda ya kijeshi na kukimbilia kujificha nyuma ya wanawake na watoto wakililia waarabu wa Qatar wawasaidie kubroke cease fire.
Maana mosad waliwaingiza mkenge kwa intelejinsia feki kupitia waturuki.
 
Back
Top Bottom