IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Mkuu samahani nikuulize.
Kwani drone kudunguliwa ni kitu cha ajabu?
In yom Kippur war jeshi la msiri lilidungua ndege takribani 103 za IDF.
 
Nelson...
Mimi nimesafiri kwa ajili ya elimu vinginevyo ningeishia Kariakoo.

Weka dot 3 ...
Unajilazimisha ujinga.

View attachment 2937949
Prof. Ali Mazrui, Kampala
View attachment 2937950
Prof. Mohamed Bakari, Istanbul
View attachment 2937951
Prof. Michael Lofchie, Iowa City
View attachment 2937952
Prof. Suleiman Nyang, Ibadan​
Nelson...
Sijakuonyesha pasi zangu.
Passport zangu ni nyingi sana.

Hawa ni wasomi wabobezi katika historia ya Afrika na tunafahamiana.
Baadhi wametangulia mbele ya haki.

Mimi nimesafiri kwa ajili ya kusoma au kusomesha.
Sijapata kununua tiketi ya ndege ila mara moja maishani mwangu.

Safari zote ni mialiko.

Mzee wangu.....sema hao ni wasomi wa elimu za wakoloni.......sioni mbantu hata mmoja hapo.
Kuanzia majina hadi utamaduni na imani za kiafrika.
Hao ni mazao ya wakoloni wamagharibi na wakoloni wa mashariki.
NB:NILIKOTOKEA KWENYE HIMAYA ZA WANYORO NI MWIKO KWA MWANAUME KUKUBALI MIALIKO YA KULIPIWA KILA KITU BABU ZETU..HASA MTUKUFU KINTU ALITUKATAZA
 
Mzee wangu to be honest tatizo ni moja ulilonalo......vitabu vyako umeandika mapendekezi yako kiimani,kitamaduni,kihisia na kisiasa.....na mimi naujua mrengo wako......hivyo napata ukakasi kuvisoma....sababu wewe sio mwandishi huru.
Unaegemea upande flani mzee wangu.

Professor Gwajima hawafundishi namna ya kuandika?
 
Nelson...
Nimesomeshwa Chuo Kikuu Das Kapital.
Unamjua mwandishi na mrengo wake?

Ungepita Chuo Kikuu ungefundishwa kitu kinaitwa, ''Values.''
Kwa nini waandishi wanaandika wanayoandika.

Ungefundishwa umuhimu wa wasomi kughitilafiana.

Dots zinatakiwa ziwe 3 kama hivi: ...
Napenda nikueleze kuwa kisa cha Cohen ni cha zamani sana.

Hiki kitabu kina mapya:

View attachment 2937872
View attachment 2937874
Hapo ndipo nilipokinunua
Umejifunza nini?
''Fulani'' siyo ''flani.''
Unahama mada mzee mwezangu
 
Mkuu nikaze mshipa wapi......uzi wangu ni kuhusu ubora wa IDF na MOSSAD......waarabu wa hamas waliingizwa mkenge na makachero wa kituruki October 07.........wakajaa kwenye mitego ya MOSSAD......sasa hv wanakula dozi taratibu.......mpaka inafikia hatua wanavua magwanda ya kijeshi.....na kukimbilia kujificha kwa wanawake na watoto 😂🤣🤣🤣🤣.
SHEREHE YOTE YA OCTOBER 07 IMEKUA KILIO......WANALILIA CEASE FIRE 🤣😂😂
Nimeamini msemo wa wahenga kuhusu kuchutama,hongera kwa kuchutuma kuficha sehemu nyingine za siri zisiwe wazi!Uwe na wakati mwema!
 

Jagina,
Akili yake inakataa kukubali kuwa niko kazini napewa tiketi ya ndege, malazi na nalipwa fedha kwa ujuzi nilionao.

Ujuzi niliopata kwa kusoma na kupasi mitihani yangu.

Chuo kikinialika kinanilipa kwa elimu yangu.

Nisingeweza kuzunguka kote huko laiti nikialikwa inabidi nijilipie nauli, malazi nk.

Haya hayakubali kuingia akilini kwake.

Anaona mimi siko kazini na sistahili kunufaika kwa elimu niliyonayo.

Kwa kuwa yeye hajaweza kufikia kiwango hichi basi mimi nisiwe hivi nilivyo.

Siwezi kulipwa kwa kisomo changu.

Nafadhiliwa.

Namwekea picha hapo chini aangalie niko kazini.

Narekodi kipindi cha historia ya David Livingstone kwa ajili ya BBC Bush House, London.

Huu ni mwaka wa 1991.
Kwa kazi hii BBC wanalipa fedha.

1710759357559.png

BBC Glasgow, Scotland 1991
 
Nimeamini msemo wa wahenga kuhusu kuchutama,hongera kwa kuchutuma kuficha sehemu nyingine za siri zisiwe wazi!Uwe na wakati mwema!
Mkuu mbona unacatch feeling..........uwanja upo huru.....kuchangia.
Ndio maana nikaleta huu uzi since last year
 
Back
Top Bottom