IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Kama hawajaandika wao Bible why Allah kwenye Quran anasema kipindi cha Muhammad kuwa anaconfirm kuwa ni vitabu vyake vyote Torat na Injili vinavyounda books of Books Bible.. swali Allah ni mjinga mpumbavu au muongo chagua jibu moja ukubaliane na Biblia kaandika Allah au Alllah ni stupid.

وَقَفَّيْنَا عَلَىٰٓ ءَاثَـٰرِهِم بِعِيسَى ٱبْنِ مَرْيَمَ مُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ ٱلتَّوْرَىٰةِ ۖ وَءَاتَيْنَـٰهُ ٱلْإِنجِيلَ فِيهِ هُدًۭى وَنُورٌۭ وَمُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ ٱلتَّوْرَىٰةِ وَهُدًۭى وَمَوْعِظَةًۭ لِّلْمُتَّقِينَ ٤٦

Then in the footsteps of the prophets, We sent Jesus, son of Mary, confirming the Torah revealed before him. And We gave him the Gospel containing guidance and light and confirming what was revealed in the Torah—a guide and a lesson to the God-fearing.

Kisha tukafuata nyayo za Manabii, tukamtuma Isa bin Maryamu, akiisadikisha Taurati iliyoteremshwa kabla yake. Na tukampa Injili yenye uwongofu, na nuru, na inayosadikisha yaliyoteremshwa katika Taurati, ni mwongozo na mazingatio kwa wachamngu.


View: https://youtu.be/KXdDcwhRDNs?si=wWot-pMdRW2WpI0_
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
sio kweli,hamas iliwatandika bila kujua
 
KITENDO KILICHOFANYWA NA KIKOSI CHA MAKOMANDO WA IDF MCHANA KWEUPE CHA KUOKOA MATEKA WANNE KINADHIBITISHA UBORA WA IDF.
HAMAS WAMEUA RAIA ZAIDI YA MIA MOJA NA WANASINGIZIA JESHI LA IDF BAADA YA KUSHINDWA KUPAMBANA.
MBINU YA KUFICHA MATEKA KWENYE RAIA WENGI HAINA TIJA KWA HAMAS......HESABU ZAO ZILIFELI KWA KUDHANI IDF ITAHOFIA USALAMA WA RAIA NA WANAOUMIA NI RAIA WA KAWAIDA....!!!
 
KWA SISI WATAALAMU WAKIJESHI HII MISSION INATIWA NO BACK UP STRAIGHT FORWARD OPENLY......NA OPERATION ZA NAMNA HII ZINAZOFANYWA MCHANA ZINAHITAJI MAKOMANDO WAZOEFU SABABU RISK NI KUBWA MNO.
RAIA 200 WAMEKUFA NA KOMANDO MMOJA WA IDF ......NA WANAMGAMBO WA HAMAS 79.......FINAL RESULTS
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Muunfo wa mossad upo complicated
Wao wanarecruit the most HIGH IQ halafu wanawafanya wafanye kazi pamoja
 
HAMAS CASUALTY ALMOST 6000 MILITARY MAN.......
ORDINARY PEOPLE ALMOST 46000 ARAB&JEWS.
IDF SOLDER'S 420 INCLUDING THOSE OF OCTOBER 07 EVENT.
NAONA CEASE FIRE ITAWAFAVOUR ZAIDI UPANDE ULIOPOTEZA SANA NGUVU KAZI....I MEAN SOLDER'S AND MILITARY MAN.
 
Kwamba walikufa IDF 1000........cheki orodha yako vizuri....how many solder walikufa OCTOBER 07.....na uweke pembeni lisiti ya polisi 340.....then utaona kama walifika 1000.....source isiwe upande wa waarabu au jews.....tafuta source huru ya habari mkuu
 
Kwamba walikufa IDF 1000........cheki orodha yako vizuri....how many solder walikufa OCTOBER 07.....na uweke pembeni lisiti ya polisi 340.....then utaona kama walifika 1000.....source isiwe upande wa waarabu au jews.....tafuta source huru ya habari mkuu
jumla ya waliokufa ni 1032 jumla 71 foreigner, civilian 600 IDF 300 na police 200 no haziko exactly
 
jumla ya waliokufa ni 1032 jumla 71 foreigner, civilian 600 IDF 300 na police 200 no haziko exactly
Nazungumzia IDF losses October 7 haikufikia 1000....and most of those IDF solder's walikua tranee and few experince,s solders taken by suprise...!!!
Lakini mosad walijua na waliacha kimakusudi walipunguza idadi ya askari mpakani kimakusudi na waliwaachia wapiganaji hamas waingie ndani kabisa ya israel ili wapate sababu ya kuishambulia gaza.
Hamas intelegence unit walipewa wrong information ndio wakavamia October 07 na hawakujua matokeo ya vita yangewafikisha hapa leo......raia wote wa gaza wanawalaumu.
 
Nazungumzia IDF losses October 7 haikufikia 1000....and most of those IDF solder's walikua tranee and few experince,s solders taken by suprise...!!!
Lakini mosad walijua na waliacha kimakusudi walipunguza idadi ya askari mpakani kimakusudi na waliwaachia wapiganaji hamas waingie ndani kabisa ya israel ili wapate sababu ya kuishambulia gaza.
Hamas intelegence unit walipewa wrong information ndio wakavamia October 07 na hawakujua matokeo ya vita yangewafikisha hapa leo......raia wote wa gaza wanawalaumu.
Ila wanasiasa bana kwa iyo waliwatoa sadaka wenzao
 
Back
Top Bottom