Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hawajaandika wao Bible why Allah kwenye Quran anasema kipindi cha Muhammad kuwa anaconfirm kuwa ni vitabu vyake vyote Torat na Injili vinavyounda books of Books Bible.. swali Allah ni mjinga mpumbavu au muongo chagua jibu moja ukubaliane na Biblia kaandika Allah au Alllah ni stupid.
وَقَفَّيْنَا عَلَىٰٓ ءَاثَـٰرِهِم بِعِيسَى ٱبْنِ مَرْيَمَ مُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ ٱلتَّوْرَىٰةِ ۖ وَءَاتَيْنَـٰهُ ٱلْإِنجِيلَ فِيهِ هُدًۭى وَنُورٌۭ وَمُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ ٱلتَّوْرَىٰةِ وَهُدًۭى وَمَوْعِظَةًۭ لِّلْمُتَّقِينَ ٤٦
Then in the footsteps of the prophets, We sent Jesus, son of Mary, confirming the Torah revealed before him. And We gave him the Gospel containing guidance and light and confirming what was revealed in the Torah—a guide and a lesson to the God-fearing.
Kisha tukafuata nyayo za Manabii, tukamtuma Isa bin Maryamu, akiisadikisha Taurati iliyoteremshwa kabla yake. Na tukampa Injili yenye uwongofu, na nuru, na inayosadikisha yaliyoteremshwa katika Taurati, ni mwongozo na mazingatio kwa wachamngu.
sio kweli,hamas iliwatandika bila kujuaKatika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Walikua wanajua kinachofanyika.....nw waliacha kitokee kwa makusudi...ili watimize mission yaosio kweli,hamas iliwatandika bila kujua
Muunfo wa mossad upo complicatedKatika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Ndio maana nikasema IDF WAPO MBELE YA MUDA.....TUKUBALI TUKATAE.Muunfo wa mossad upo complicated
Wao wanarecruit the most HIGH IQ halafu wanawafanya wafanye kazi pamoja
ya october walifika 1000HAMAS CASUALTY ALMOST 6000 MILITARY MAN.......
ORDINARY PEOPLE ALMOST 46000 ARAB&JEWS.
IDF SOLDER'S 420 INCLUDING THOSE OF OCTOBER 07 EVENT.
NAONA CEASE FIRE ITAWAFAVOUR ZAIDI UPANDE ULIOPOTEZA SANA NGUVU KAZI....I MEAN SOLDER'S AND MILITARY MAN.
Upande upi walifika 1000 mkuu???ya october walifika 1000
Mm hii nazungumzia ya miezi hii miwili...wamekufa wapiganaji wa hamas 6000...viongozi wa hamas wanafichaya october walifika 1000
israelUpande upi walifika 1000 mkuu???
Kwamba walikufa IDF 1000........cheki orodha yako vizuri....how many solder walikufa OCTOBER 07.....na uweke pembeni lisiti ya polisi 340.....then utaona kama walifika 1000.....source isiwe upande wa waarabu au jews.....tafuta source huru ya habari mkuuisrael
jumla ya waliokufa ni 1032 jumla 71 foreigner, civilian 600 IDF 300 na police 200 no haziko exactlyKwamba walikufa IDF 1000........cheki orodha yako vizuri....how many solder walikufa OCTOBER 07.....na uweke pembeni lisiti ya polisi 340.....then utaona kama walifika 1000.....source isiwe upande wa waarabu au jews.....tafuta source huru ya habari mkuu
Nazungumzia IDF losses October 7 haikufikia 1000....and most of those IDF solder's walikua tranee and few experince,s solders taken by suprise...!!!jumla ya waliokufa ni 1032 jumla 71 foreigner, civilian 600 IDF 300 na police 200 no haziko exactly
Ila wanasiasa bana kwa iyo waliwatoa sadaka wenzaoNazungumzia IDF losses October 7 haikufikia 1000....and most of those IDF solder's walikua tranee and few experince,s solders taken by suprise...!!!
Lakini mosad walijua na waliacha kimakusudi walipunguza idadi ya askari mpakani kimakusudi na waliwaachia wapiganaji hamas waingie ndani kabisa ya israel ili wapate sababu ya kuishambulia gaza.
Hamas intelegence unit walipewa wrong information ndio wakavamia October 07 na hawakujua matokeo ya vita yangewafikisha hapa leo......raia wote wa gaza wanawalaumu.
Sio wanasiasa no.....hii ni kazi ya MOSSAD......wakishirikiana na HAMAS intelligence unit..!!!!Ila wanasiasa bana kwa iyo waliwatoa sadaka wenzao
Usimsahau Benjamin Ntenyahu na marehemu Sharoni!!! Idd Amin anamkumbuka vizuri zaidi
Ni Johnathan Netanyahu mdogo kaka yake ndio Benyamini Netanyahu wengine wanamuita Benjamini Netanyahu au BibiUsimsahau Benjamin Ntenyahu na marehemu Sharoni!!! Idd Amin anamkumbuka vizuri zaidi