IDF wanatumia vifaa vya kivita kulinda raia wao while HAMAS wanatumia hospitali na mashule kujilinda wao

IDF wanatumia vifaa vya kivita kulinda raia wao while HAMAS wanatumia hospitali na mashule kujilinda wao

IDF wameshasema lengo lao ni viongozi wa HAMAS kwa hiyo wanawasaka popote walipo na HAMAS wameona sehemu ya kutafuta huruma kwa mataifa mengine ni kujificha kwenye miundombinu ya kutolea huduma za kijamii.

Muhimu amani ipatikane
acha hamas wachinjwe kama swala na wakome kutafuta huruma ya kijinga eti watu waandamane kuwaunga mkono. alhamisi wiki ijayo tunafanya maandamano makubwa hapo DC kuwaunga watoto wa rebecca. tunawalilia mateka wote waachiwe halafu uturuki ivimnishe nyongo zaidi.
 
wanawalilia hamas wanapigwa! wanadai watoto ndo wafao! wanadai kina mama ndo wafao! je si hao hao wafao ndo waliocheza ngoma kushangilia vifo vya wana wa yakobo 1400 walivo uwawa mwezi ulopita. sasa leo kwao mkuki mchungu kwa binadamu ila kwa nguruwe mtamu! acha wabondwe
 
acha hamas wachinjwe kama swala na wakome kutafuta huruma ya kijinga eti watu waandamane kuwaunga mkono. alhamisi wiki ijayo tunafanya maandamano makubwa hapo DC kuwaunga watoto wa rebecca. tunawalilia mateka wote waachiwe halafu uturuki ivimnishe nyongo zaidi.
Unapo ona jeshi linaanza kuuwa raia hovyo ujue limesha shindwa vita.
 
Sasa atawa ondoshwaje hao magaidi hali ya kuwa walio tumwa kuwaondosha hao magaidi wapo bise na watoto badala ya kupambana na hao magaidi?
Gaidi hana umri.Kwa akili yako unadhani gaidi wa mwaka 1985 aliyekuwa na miaka 20 ndiyo mpaka leo ana miaka 21?
 
Back
Top Bottom