IDF wanatumia vifaa vya kivita kulinda raia wao while HAMAS wanatumia hospitali na mashule kujilinda wao

IDF wanatumia vifaa vya kivita kulinda raia wao while HAMAS wanatumia hospitali na mashule kujilinda wao

IDF wameshasema lengo lao ni viongozi wa HAMAS kwa hiyo wanawasaka popote walipo na HAMAS wameona sehemu ya kutafuta huruma kwa mataifa mengine ni kujificha kwenye miundombinu ya kutolea huduma za kijamii.

Muhimu amani ipatikane
Pelekea moto haina majotroo wanajifichaje nyuma ya wake zao watoto wao nk wote hao ni magaidi sambaratisha
 
Hio Shifa Hospital ndio itakuwa kilio cha Israel afu mbona missiles zinaruka tu Israel 😄
Paulo alipo fake kuwa yeye ni Mtume kulikuwa na wajinga hawafahamu, Paulo ni Muisrael sa hawa kufake ndio asili zao, tazama aibu ya Israel wamefake eti bibi kizee Gaza analalamika hawawataki Hamasi, mama anaongea vingine wao wanatranslate vingine.

Walipo ona watu wanawashambulia kwa uwongo wao wakala kona 😄


View: https://youtu.be/A3ezOasgQ7o?si=IekflKB2wnoNMUOv


Mumeyasema haya tangu mwanzo, eti Israel ikiingia Gaza ndio mwisho, waliingia, nakuhurumia sana jamaa maana kila unachokiandika humu kinafumuliwa, ukiingia kwenye uzombi wa dini unakua na shida sana.
 
Tulia mh gaidi ngoma ipigwe, allah amekuandalia vizee 72 au hutaki mbona unajificha shimoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona shimo la nyuma linakuwasha lichomeke gunzi uzungushe mpaka muwasho ukuishe.
 
Mumeyasema haya tangu mwanzo, eti Israel ikiingia Gaza ndio mwisho, waliingia, nakuhurumia sana jamaa maana kila unachokiandika humu kinafumuliwa, ukiingia kwenye uzombi wa dini unakua na shida sana.
We huwa hufahami kiswahili nilicho sema wakingiza miguu yao Gaza watamalizwa, siku sema hawatafika Gaza na nilicho sema kinatokea hakitokei?

Kwanza mmeingia kwa target ya kuimaliza Hamasi mbona Hamasi anarusha missiles, anaripua vifaru, anawauwa wanajeshi sa wapi mmeshinda au mmekomboa Matekwa au mmeyamaliza mahandaki? Hakuna hata kimoja mmefanikiwa afu kuingiza vifaru ndio mmeshinda, wenzako kila kukicha wanaomba Air force iwasaidie mwisho yatakuwa kama yale ya 7th October Helicopters zao zilikuwa zinawaua raia afu wakasema Hamasi 😄

Nyie tuonyesheni Raia mmewakomboa? Mmewamaliza Hamasi? Mmeyamaliza mahandaki? Sa ushindi upi mnaouongelea 😄

Labda wa kuwauwa watoto, wanawake, wagonjwa, kupiga hospital, kuvunja shule, kuvunja miskiti, makanisa na majumba ya rai wa Gaza



View: https://youtu.be/8472Rr6QdWs?si=a5qbB7sCTrpcGV1F

Angalia lana silaha za America zikielekea Israel zimerupuka huko california lana hio kutoka kwa Mungu.

We usijifu Ukristo si dini ni ujinga wa Paulo kupoteza dini ya kweli aliye kuja nayo Yesu
 
Ndio imewashinda ndio maana wamegeukia kuuwa raia baada ya kushindwa kupambana na Hamas.
Mtapigwa mchakae. Hao Hamas wanatumia raia kujificha wasivyokua na akili. Acha wapigwe tu
 
Mkuu mashabiki wa Ukristu ambao ni ujinga tu unawasumbua ni wengi humu.Wao Israel ni Ukristu!!
Hawajui chochote kuhusu Israel
kama ambavyo hawajui chochote kuhusu Ukristu wanaouamini.
Shame on them all
We STAND WITH HUMANITY
We STAND WITH PALESTINE
Ugaidi lazima upigwe vita kwa nguvu zote!
Israeli kama nchi huru ana haki ya kujilinda pale anapovamiwa
 
IMG_4507.jpg
 
Mtapigwa mchakae. Hao Hamas wanatumia raia kujificha wasivyokua na akili. Acha wapigwe tu
Nimekuambia ulete ushahidi ww unaleta ngonjera.

Hiyo hamas hawezi kuchakaa kwa sababu yeye apigwi bali wanao pigwa ni wanawake na watoto.
 
Anaongoza kule West Bank vizuri tu na pia ana ushawihi kwenye jumuia za kimataifa kuliko Hamas.
Huko west bank anapo paongoza amesha chukua hatua gani kuizuia Israel kuwafukuza wapalestina kwenye nyumba na ardhi zao?
 
Back
Top Bottom