Ujue ukifa ukiwa bado ni mkristo utakuwa kuni za moto huko Akhera wala Mayahudi hawatakusaidia kuepuka motoNetanyahu kiboko magaidi wote wameufiata wanaomba huruma ya dunia🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue ukifa ukiwa bado ni mkristo utakuwa kuni za moto huko Akhera wala Mayahudi hawatakusaidia kuepuka motoNetanyahu kiboko magaidi wote wameufiata wanaomba huruma ya dunia🤣🤣🤣🤣
Wala sina hamu allah wenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ujue ukifa ukiwa bado ni mkristo utakuwa kuni za moto huko Akhera
Mimi nakuonea huruma sana. Ukiwa wewe ni mkristo basi uje utakuwa ktk moto maisha yako yote. Kikubwa uingie ktk uislam bado ukiwa na pumzi zakoWala sina hamu allah wenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuongelee msako wa magaidi unaoendelea gaza, mbona unakwepa kiaina
Sio muone tiyari wamesha shindwa na ndio maana wamegeukia raia na kuuwa hovyo baada ya kushindwa kupigana na Hamas.
Mimi nakuonea huruma sana. Ukiwa wewe ni mkristo basi uje utakuwa ktk moto maisha yako yote. Kikubwa uingie ktk uislam bado ukiwa na pumzi zako
Kafiri bana. Toka ktk ukafiri uingie ktk uislam kabla hujafaWewe ulivyojaza chuki moyoni unaweza kumuonea nani huruma?!
Acha unafiki
Kwanza waulize wanao fahamu kiarabu huyu si Mpalestine sikia accent yake ni Muemirates (UAE) hizo propoganda watawadanganyeni nyie msio fahamu kiarabu na accent za
Ataachaje vituko wakati tayar' alishaonjeshwa nyama ya trako na Mudi mgawa trakoKafiri bana huachi vituko
Amani ipo au itapatikana ila kwanza lazma Palestina iwe huruIDF wameshasema lengo lao ni viongozi wa HAMAS kwa hiyo wanawasaka popote walipo na HAMAS wameona sehemu ya kutafuta huruma kwa mataifa mengine ni kujificha kwenye miundombinu ya kutolea huduma za kijamii.
Muhimu amani ipatikane
Kina Mahmoud abbas Kule ukingo wa magharibi wanamlinda nani mnataka akae kibaraka wenu poleniHao hamas wameshindwa kuwalinda raia wanaowaongoza.?!!
BAsi hawafai kuongoza hapo Gaza, ni muda wa kuwaachia akina Mahmoud Abbas
Kwanza waulize wanao fahamu kiarabu huyu si Mpalestine sikia accent yake ni Muemirates (UAE) hizo propoganda watawadanganyeni nyie msio fahamu kiarabu na accent za
Hivi yuda alikuwa mtt wa Leah au Rahelacha hamas wachinjwe kama swala na wakome kutafuta huruma ya kijinga eti watu waandamane kuwaunga mkono. alhamisi wiki ijayo tunafanya maandamano makubwa hapo DC kuwaunga watoto wa rebecca. tunawalilia mateka wote waachiwe halafu uturuki ivimnishe nyongo zaidi.
Hio Shifa Hospital ndio itakuwa kilio cha Israel afu mbona missiles zinaruka tu Israel 😄Wala hao waarabu hawajasema jipya tusilolifahamu, hao mabwana zenu mliwashabikia walipoanizisha ugomvi, sasa wamejificha kwenye hospitali mnalialia Hospitali ya Al Shifa ndio eneo la mwisho la mapigano
Kafiri vipi j2 ushatoka kukufuru?Kwahiyo yale magaidi yaliyotunguliwa yapo Ahera kwa sasa anawala mabikra 72?
Hizi dini zingine ni ushetani mtupu
Unaweza kutueleza ushahidi wa wapiganaji shupavu wa Hamas waliokutwa au kuuwawa wakiwa ktk miundombinu unayoizungumzia?IDF wameshasema lengo lao ni viongozi wa HAMAS kwa hiyo wanawasaka popote walipo na HAMAS wameona sehemu ya kutafuta huruma kwa mataifa mengine ni kujificha kwenye miundombinu ya kutolea huduma za kijamii.
Muhimu amani ipatikane
Kupigania nchi yako ni ugaidiAmani haipatikani hadi magaidi waondoshwe.
Akili baki nazo wewe uzitumie kula tende.Kupigania nchi yako ni ugaidi
Wakati Nelson Mandela akipigania uhuru wa Afrika Kusin aliitwa gaidi.Jee Mandela alikua gaidi.?
Huna hata akili kdg ya kutambua mambo ndugu yangu????
Mkuu mashabiki wa Ukristu ambao ni ujinga tu unawasumbua ni wengi humu.Wao Israel ni Ukristu!!Unapo ona jeshi linaanza kuuwa raia hovyo ujue limesha shindwa vita.