Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Amani haipatikani hadi magaidi waondoshwe.IDF wameshasema lengo lao ni viongozi wa HAMAS kwa hiyo wanawasaka popote walipo na HAMAS wameona sehemu ya kutafuta huruma kwa mataifa mengine ni kujificha kwenye miundombinu ya kutolea huduma za kijamii.
Muhimu amani ipatikane
acha hamas wachinjwe kama swala na wakome kutafuta huruma ya kijinga eti watu waandamane kuwaunga mkono. alhamisi wiki ijayo tunafanya maandamano makubwa hapo DC kuwaunga watoto wa rebecca. tunawalilia mateka wote waachiwe halafu uturuki ivimnishe nyongo zaidi.IDF wameshasema lengo lao ni viongozi wa HAMAS kwa hiyo wanawasaka popote walipo na HAMAS wameona sehemu ya kutafuta huruma kwa mataifa mengine ni kujificha kwenye miundombinu ya kutolea huduma za kijamii.
Muhimu amani ipatikane
Sasa atawa ondoshwaje hao magaidi hali ya kuwa walio tumwa kuwaondosha hao magaidi wapo bise na watoto badala ya kupambana na hao magaidi?Amani haipatikani hadi magaidi waondoshwe.
Unapo ona jeshi linaanza kuuwa raia hovyo ujue limesha shindwa vita.acha hamas wachinjwe kama swala na wakome kutafuta huruma ya kijinga eti watu waandamane kuwaunga mkono. alhamisi wiki ijayo tunafanya maandamano makubwa hapo DC kuwaunga watoto wa rebecca. tunawalilia mateka wote waachiwe halafu uturuki ivimnishe nyongo zaidi.
Ukileta tuhuma ulete na ushahidi.IDF wameshasema lengo lao ni viongozi wa HAMAS kwa hiyo wanawasaka popote walipo na HAMAS wameona sehemu ya kutafuta huruma kwa mataifa mengine ni kujificha kwenye miundombinu ya kutolea huduma za kijamii.
Muhimu amani ipatikane
Gaidi hana umri.Kwa akili yako unadhani gaidi wa mwaka 1985 aliyekuwa na miaka 20 ndiyo mpaka leo ana miaka 21?Sasa atawa ondoshwaje hao magaidi hali ya kuwa walio tumwa kuwaondosha hao magaidi wapo bise na watoto badala ya kupambana na hao magaidi?
Ngoja tuone wanavyoshindwa.Unapo ona jeshi linaanza kuuwa raia hovyo ujue limesha shindwa vita.
Kiongozi wa magaidi wa Hamas alivyouwawa hospital alikuwa anatafuta nini badala ya kuwepo mstari wa mbele kwenye mapambano dhidi ya "makafir"?Ukileta tuhuma ulete na ushahidi.
Sio muone tiyari wamesha shindwa na ndio maana wamegeukia raia na kuuwa hovyo baada ya kushindwa kupigana na Hamas.Ngoja tuone wanavyoshindwa.
Yupi huyo? hebu leta jina na picha yake alafu utuletee na ushahidi kuwa aliuawa akiwa hospitalini.Kiongozi wa magaidi wa Hamas alivyouwawa hospital alikuwa anatafuta nini badala ya kuwepo mstari wa mbele kwenye mapambano dhidi ya "makafir"?
Kwa nini ujifiche kwa watoto? Toka mbele usifanye watoto km kinga yakoSasa atawa ondoshwaje hao magaidi hali ya kuwa walio tumwa kuwaondosha hao magaidi wapo bise na watoto badala ya kupambana na hao magaidi?
Ww uliwaona wanajificha nyuma ya hao watoto au ni visingizio baada ya vita kuwashinda?Kwa nini ujifiche kwa watoto? Toka mbele usifanye watoto km kinga yako
Tulia mh gaidi ngoma ipigwe, allah amekuandalia vizee 72 au hutaki mbona unajificha shimoni🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ww uliwaona wanajificha nyuma ya hao watoto au ni visingizio baada ya vita kuwashinda?
Kafiri bana huachi vitukoSawa ostaz wa gaza, mwaka mtafirwa gaza hadi🤣🤣🤣🤣🤣
Vituko viko kwenu magaidi, najiuliza hospitali mnakimbilia kufanya nini si mpigane🤣🤣🤣🤣🤣Kafiri bana huachi vituko
Kafiri usharudi kukufuru J2 hii? Au bado humu?Vituko viko kwenu magaidi, najiuliza hospitali mnakimbilia kufanya nini si mpigane🤣🤣🤣🤣🤣
Netanyahu kiboko magaidi wote wameufiata wanaomba huruma ya dunia🤣🤣🤣🤣Kafiri usharudi kukufuru J2 hii? Au bado humu?