maranduhussein
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 275
- 140
Tupe picha na ushahidiKiongozi wa magaidi wa Hamas alivyouwawa hospital alikuwa anatafuta nini badala ya kuwepo mstari wa mbele kwenye mapambano dhidi ya "makafir"?
Hata ukitupiwa hiyo picha bado utadai hajafa.Tupe picha na ushahidi
Acha kuwasikiliza magaidi wa Israel.
Utageuzwa ww shuwaini mchungaji wa magaidi wa IsraelSawa ostaz wa gaza, mwaka mtafirwa gaza hadi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pelekea moto haina majotroo wanajifichaje nyuma ya wake zao watoto wao nk wote hao ni magaidi sambaratishaIDF wameshasema lengo lao ni viongozi wa HAMAS kwa hiyo wanawasaka popote walipo na HAMAS wameona sehemu ya kutafuta huruma kwa mataifa mengine ni kujificha kwenye miundombinu ya kutolea huduma za kijamii.
Muhimu amani ipatikane
Hio Shifa Hospital ndio itakuwa kilio cha Israel afu mbona missiles zinaruka tu Israel 😄
Paulo alipo fake kuwa yeye ni Mtume kulikuwa na wajinga hawafahamu, Paulo ni Muisrael sa hawa kufake ndio asili zao, tazama aibu ya Israel wamefake eti bibi kizee Gaza analalamika hawawataki Hamasi, mama anaongea vingine wao wanatranslate vingine.
Walipo ona watu wanawashambulia kwa uwongo wao wakala kona 😄
View: https://youtu.be/A3ezOasgQ7o?si=IekflKB2wnoNMUOv
Naona shimo la nyuma linakuwasha lichomeke gunzi uzungushe mpaka muwasho ukuishe.Tulia mh gaidi ngoma ipigwe, allah amekuandalia vizee 72 au hutaki mbona unajificha shimoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo huyo Abas ndo mwenye uwezo wa kuwalinda?Hao hamas wameshindwa kuwalinda raia wanaowaongoza.?!!
BAsi hawafai kuongoza hapo Gaza, ni muda wa kuwaachia akina Mahmoud Abbas
We huwa hufahami kiswahili nilicho sema wakingiza miguu yao Gaza watamalizwa, siku sema hawatafika Gaza na nilicho sema kinatokea hakitokei?Mumeyasema haya tangu mwanzo, eti Israel ikiingia Gaza ndio mwisho, waliingia, nakuhurumia sana jamaa maana kila unachokiandika humu kinafumuliwa, ukiingia kwenye uzombi wa dini unakua na shida sana.
Kafiri umekasirika kafiriEmbu toka hapa na mistari ya allah wenu yenye ubaguzi
Huwa mnajisikia raha sana eeh mkituita kwa hayo majina!?Kafiri umekasirika kafiri
Kama hutaki kuitwa ingia ktk dini ya kweliHuwa mnajisikia raha sana eeh mkituita kwa hayo majina!?
NDivyo mnavyodanganyana kila mkikaa chini. Eti dini ya kweli SMH!!🤣🤣🤣Kama hutaki kuitwa ingia ktk dini ya kweli
Ndio niliwaona.. wewe umeona IDF vita imewashinda?Ww uliwaona wanajificha nyuma ya hao watoto au ni visingizio baada ya vita kuwashinda?
Ndio imewashinda ndio maana wamegeukia kuuwa raia baada ya kushindwa kupambana na Hamas.Ndio niliwaona.. wewe umeona IDF vita imewashinda?
Mtapigwa mchakae. Hao Hamas wanatumia raia kujificha wasivyokua na akili. Acha wapigwe tuNdio imewashinda ndio maana wamegeukia kuuwa raia baada ya kushindwa kupambana na Hamas.
Anaongoza kule West Bank vizuri tu na pia ana ushawihi kwenye jumuia za kimataifa kuliko Hamas.Kwa hiyo huyo Abas ndo mwenye uwezo wa kuwalinda?
Ugaidi lazima upigwe vita kwa nguvu zote!Mkuu mashabiki wa Ukristu ambao ni ujinga tu unawasumbua ni wengi humu.Wao Israel ni Ukristu!!
Hawajui chochote kuhusu Israel
kama ambavyo hawajui chochote kuhusu Ukristu wanaouamini.
Shame on them all
We STAND WITH HUMANITY
We STAND WITH PALESTINE
Nimekuambia ulete ushahidi ww unaleta ngonjera.Mtapigwa mchakae. Hao Hamas wanatumia raia kujificha wasivyokua na akili. Acha wapigwe tu
Huko west bank anapo paongoza amesha chukua hatua gani kuizuia Israel kuwafukuza wapalestina kwenye nyumba na ardhi zao?Anaongoza kule West Bank vizuri tu na pia ana ushawihi kwenye jumuia za kimataifa kuliko Hamas.