IDF yaandika historia tena, ndege zake 100 zasambaratisha kambi za Hezbollah, walikuwa wanajiandaa kuishambulia Israel

IDF yaandika historia tena, ndege zake 100 zasambaratisha kambi za Hezbollah, walikuwa wanajiandaa kuishambulia Israel

Adui Jordan aligundua kwa maumivu makubwa kuwa Wapalestina hawadhaminiki. Bado Jordan ikagundua Waarabu wengine ni wanafiki wanataka kutoa msaada wa vyakula na dawa alafu wanaopigana wawe Jordan waumie. Anayetaka kuipiga Israel apeleke jeshi mwenyewe na humuoni. Sasa cha kufia nini.

Adui Misri yeye ana hasara akiiwekea vikwazo vya usafiri Israel. Kwani hujui kuweka naval blockade ni act of war. Sasa Misri ina ubavu wa kuingia vitani na Israel?
Au hujui kama Israel iliishambulia Misri tarehe 5 June baada ya Misri kuifungia access ya maji Israel tarehe 22 May.
Misri izuie meli kuingia Israel alafu Israel ipitishe meli makusudi, ili Misri itimize kufungia lazima izishambulie kama isiposhambulia basi katazo lake ni batiri. Sasa unataka Misri ichokoze nyuki? Au unalinganisha Misri na Houthi wavuta shisha, wale Houthi utaitetea Yemen useme ni wahuni kwahiyo Wayemeni wasamehewe kwa makosa ya wachache. Sasa jeshi la Misri lenye serikali rasmi na utulivu lifabye hivyo utaiteteaje Misri.

Na kwa bidhaa nyingine, bado Misri ina hasara kuinunia Israel. Wote wanafaidika si ni majirani.

Umekuwa msemaji wa Jordan?
 
Huko kote mie wala sina shida naye.
Shida yangu hapa kutaka kuaminisha watu kuwa Israel amerusha ndege 100 kwa wakati mmoja na kushambulia.
😂😂😂😂Aisee sisi sio watoto.
Israhell kama kawaida yake na fans zake humu ndani wanadhania tupo mwaka 70 au 80s huko

Mambo yapo hadharani walete ushahidi kama waloleta hizbullah leo walipofanya yao

Yaani israhell wafanye jambo halaf wakae kimya thubutuuu
 
Zote hizi ni direct hit targets za hizbo tuu sijajumuisha hamas, westbank na kambi ya Iraq ili mujue waislam sio magaidi wazayuni ndio magaidi yenyewe waislam wanapiga kambi za jeshi tu na maeneo ya jeshi kwakua wanajua wataulizwa na mwenyewe muumba
wale mateka ndo sababu ya yote haya na bado mnawang'ang'ania , ule sio ugaid ?
 
Adui Jordan aligundua kwa maumivu makubwa kuwa Wapalestina hawadhaminiki. Bado Jordan ikagundua Waarabu wengine ni wanafiki wanataka kutoa msaada wa vyakula na dawa alafu wanaopigana wawe Jordan waumie. Anayetaka kuipiga Israel apeleke jeshi mwenyewe na humuoni. Sasa cha kufia nini.

Adui Misri yeye ana hasara akiiwekea vikwazo vya usafiri Israel. Kwani hujui kuweka naval blockade ni act of war. Sasa Misri ina ubavu wa kuingia vitani na Israel?
Au hujui kama Israel iliishambulia Misri tarehe 5 June baada ya Misri kuifungia access ya maji Israel tarehe 22 May.
Misri izuie meli kuingia Israel alafu Israel ipitishe meli makusudi, ili Misri itimize kufungia lazima izishambulie kama isiposhambulia basi katazo lake ni batiri. Sasa unataka Misri ichokoze nyuki? Au unalinganisha Misri na Houthi wavuta shisha, wale Houthi utaitetea Yemen useme ni wahuni kwahiyo Wayemeni wasamehewe kwa makosa ya wachache. Sasa jeshi la Misri lenye serikali rasmi na utulivu lifabye hivyo utaiteteaje Misri.

Na kwa bidhaa nyingine, bado Misri ina hasara kuinunia Israel. Wote wanafaidika si ni majirani.
Yaani umezunguka weee mwisho umerudi kuitetea points yangu kuliko yakl uloisema awali

Mie nilikupinga uliposema kwamba israhell ina majirani maadui wengi nikakwambia sio kweli nandio ulichokuja kukisema hapa kwakutetea hoja yangu kua israhell haina maadui wengi kama zamani
 
Yaani umezunguka weee mwisho umerudi kuitetea points yangu kuliko yakl uloisema awali

Mie nilikupinga uliposema kwamba israhell ina majirani maadui wengi nikakwambia sio kweli nandio ulichokuja kukisema hapa kwakutetea hoja yangu kua israhell haina maadui wengi kama zamani
Hata Iran itafika tu. Wewe kila siku unafia Wapalestina na unaaibishwa, na wao wanafanya makosa unashindwa kuwatetea wakipigwa, unawekewa vikwazo kisa wao. Former Foreign Minister kaanza ila mwishowe serikali ya Iran itakubali.

Israel ina nchi maadui, ila hawafanyi lolote wanajua uwezo wake. Wanamchukia ila wanamuogopa.
 
Hata Iran itafika tu. Wewe kila siku unafia Wapalestina na unaaibishwa, na wao wanafanya makosa unashindwa kuwatetea wakipigwa, unawekewa vikwazo kisa wao. Former Foreign Minister kaanza ila mwishowe serikali ya Iran itakubali.

Israel ina nchi maadui, ila hawafanyi lolote wanajua uwezo wake. Wanamchukia ila wanamuogopa.
Kwenye siasa mambo hubadilika hili lipo wazi sana mbona

Kwani kabla ya mwaka 79 hujui kama iran ilikua pro israhell ila baada ya hapo kilitokea kipi?

Mambo hubadilika ila kwasasa hilo lisahau

Kuwafia wapalestina iran haijanza leo na wala haitaacha punde
 
Wadau hamjamboni nyote?

Israel yafanya kufuru Leo asubuhi

Iko hivi

Hezbollah walishajiandaa kuisambaratisha Israel hasa maeneo ya kati na kaskazini

Hata hivyo idarayaza ujasusi za Israel zilipata taarifa kamili ya mipango hiyo ya magaidi

Sasa walichofanya IDF ni kuwawahi Kwa kuishambulia kambi zao zilizokuwa na sehemu maalumu za kurushia makombora na kuisambaratisha

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:


IDF hits Hezbollah launch sites in Lebanon to thwart major attack on central, north Israel


Thousands of rocket launchers struck simultaneously by 100 jets; targeted launchers were primed to fire at Tel Aviv at 5 a.m.; terror group fires hundreds of rockets at Israel


By Emanuel Fabian Follow
and Lazar Berman Follow
Today, 8:29 am Updated at 10:44 am

Israeli fighter jets simultaneously struck thousands of Hezbollah targets across southern Lebanon early Sunday morning in what the military said was a preemptive operation against weaponry that would have been used in a major attack on central and northern Israel.

Thousands of Hezbollah rocket launchers were struck simultaneously by some 100 IAF fighter jets in the preemptive attacks, the military said.

While central Israel was in the terror group’s crosshairs, the majority of the Hezbollah rocket launchers struck by the Israeli Air Force this morning were aimed at the north, according to the IDF.

President Isaac Herzog lauds Israel’s “decisive action” against Hezbollah this morning, saying it is in line with the country’s “duty to defend itself and its citizens against the threat of terrorism.”

“This is once again an opportunity to express our gratitude and support for our daughters and sons in the Israel Defense Forces, as well as in the security, emergency, and rescue services, for their relentless efforts across all battlefronts,” Herzog writes on X.

“Their immense sacrifices and personal costs in thwarting the malicious acts of our enemies and in defending the State of Israel and its citizens deserve our deepest thanks. I embrace all of them with deep gratitude,” he adds.
Hezbollah wamesema hiyo ni wajinga ndiyo waliwao. ukweli ni huu:


View: https://youtube.com/shorts/npBGZ2bHTKg?si=c5Gx7xSYfEtkaOCs

Nasrallah anaeleza kama ilivyo, hakuna longo longo wala kucheza na maneno.
 
Sasa kuna ajabu gani kwenye kurusha ndege 100. Jeshi la anga la Israel halikaagi na unserviceable aircrafts kama ni upgrades au matengenezo yanafanyika haraka. Availability ratio yake ni kubwa sana na marubani wake wanaishi karibukaribu kasoro wachache wanaopishana likizo na wagonjwa. Ni suala la maandalizi ya masaa kadhaa ndege ziko angani.

Israel pale ina majirani wote maadui then unashangaa preparadness yao na fast reaction. Wewe unawalinganisha na nchi za wacheza ngoma hawana adui ndege imeharibika miaka 10 haitengenezwi maana miaka 20 iliyokuwepo ilikuwa imepaki.
Uongo uongo uongo. Lete clip footage tuzihesabu hapa hizo ndege 100
 
Sasa kuna ajabu gani kwenye kurusha ndege 100. Jeshi la anga la Israel halikaagi na unserviceable aircrafts kama ni upgrades au matengenezo yanafanyika haraka. Availability ratio yake ni kubwa sana na marubani wake wanaishi karibukaribu kasoro wachache wanaopishana likizo na wagonjwa. Ni suala la maandalizi ya masaa kadhaa ndege ziko angani.

Israel pale ina majirani wote maadui then unashangaa preparadness yao na fast reaction. Wewe unawalinganisha na nchi za wacheza ngoma hawana adui ndege imeharibika miaka 10 haitengenezwi maana miaka 20 iliyokuwepo ilikuwa imepaki.
Acha uongo wewe,,, hizo ndege Mia kama kweli wamerusha kwenye eneo dogo kama lile si pangegeuka majivu,,, hata kama unawapenda mazayuni ila punguza uongo na ujuaji,, sisi hatujasema kwamba huyo Israel hana ndege Mia, isipokuwa kufanya shambulizi la ndege Mia kwa wakati mmoja..
 
Ila kwenye hayo mazungumzo wazayuni warejelee kwao huko poland nk

Laa sivyo watakua wanapigwa tu kila baada ya muda kadhaa mpaka wahame
Wayahudi wanapigwa?
🤣🙌
Mara nyingi naona wanapigwa na kuchukua na kuyakalia maeneo kadha wa kadha
 
Back
Top Bottom