Mzuka wanajamvi!
Kuna fununu na umbea internet aliyekuwa mke wa zamani wa waziri mkuu wa Canada Gregoire Trudeau kuchepuka na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na actor muingereza mwenye asili ya Sierra Leone Idris Elba.
Hii ndio sababu kubwa iliyopelekea wanandoa hao Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau na mke wake wa miaka 18 kutangazia umma kutalakiana.
Wambea wanadai walishatengana toka 2020 baada ya Idris Elba kutembea nae wakati wa COVID.
Idris Elba alifunga ndoa na Sabrina Dhowre Canadian Somali 2019 Morocco na kula honeymoon Tanzania.
Kuna fununu na umbea internet aliyekuwa mke wa zamani wa waziri mkuu wa Canada Gregoire Trudeau kuchepuka na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na actor muingereza mwenye asili ya Sierra Leone Idris Elba.
Hii ndio sababu kubwa iliyopelekea wanandoa hao Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau na mke wake wa miaka 18 kutangazia umma kutalakiana.
Wambea wanadai walishatengana toka 2020 baada ya Idris Elba kutembea nae wakati wa COVID.
Idris Elba alifunga ndoa na Sabrina Dhowre Canadian Somali 2019 Morocco na kula honeymoon Tanzania.