bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Wako ataliwa naeWe endelea kusema mke wa mtu sumu . Wenzako tunakunywa maziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako ataliwa naeWe endelea kusema mke wa mtu sumu . Wenzako tunakunywa maziwa
Mvuto wake unaongezwa na ustar hakuna Cha zaidi.Mbona anafanana na wanaume zetu wengi wa kibongo/ Africa kwa ujumla.... tofauti labda ni personality na u super star tu.
kwahiyo mvuto wake wanavutiwa na muonekano au ustar?
Wangu ni mama ako so mama ako akiliwa powa tu as long as umebarikiWako ataliwa nae
Kwakweli acha tu avunje ndoa ya watu, ana mvuto wa pekee.Idriss mzuri jamani
Kuna tofauti yakuwa Idris na Idrisa.
Unabariki kupitia laana ya kufungua mlango kwa kula wake za watu wako nae lazima aliweWangu ni mama ako so mama ako akiliwa powa tu as long as umebariki
Kwakweli acha tu avunje ndoa ya watu, ana mvuto wa pekee.
Nipo nyuma yako mkuuUnabariki kupitia laana ya kufungua mlango kwa kula wake za watu wako nae lazima aliwe
Ukila mabinti za watu wako nae ataliwa
Vema!umejibu sahihi👍Idris ni wa mbele halafu akina Idirisa ndio hawa tupo nao kitaa
I love you binti kiziwi. 🥰Mbona anafanana na wanaume zetu wengi wa kibongo/ Africa kwa ujumla.... tofauti labda ni personality na u super star tu.
kwahiyo mvuto wake wanavutiwa na muonekano au ustar?
Haaaa napokea, asante sana. I love you too.
Ustar na hela tu... Mbona waafrika wote tuko hivyo ila mda mwingine inaendan na bahati mana mm mke wa Countrywide mama zuri aliniomba namba pale changanyikenMbona anafanana na wanaume zetu wengi wa kibongo/ Africa kwa ujumla.... tofauti labda ni personality na u super star tu.
kwahiyo mvuto wake wanavutiwa na muonekano au ustar?
Ni first born wangu huyo. Yupo pia humu jukwaani. Anatambulika kama Andrew Tate Mkuu!! 😇Haaaa napokea, asante sana. I love you too.
Na yule Andrew Tate ni nduguyo? Mbona mtata vile?
Kama ww ni mwanaume poleHuyu mwamba ana mvuto kwa wanawake wengi. Hata hapa tz kuna mifano hai
Pacha wangu yule..Idriss mzuri jamani
Atakupiga uchakae ngoja aje 😂😂Ustar na hela tu... Mbona waafrika wote tuko hivyo ila mda mwingine inaendan na bahati mana mm mke wa Countrywide mama zuri aliniomba namba pale changanyiken
Shemu yetu mamaj hana jipya,? Tumemiss heka hekaNawashangaa wanaume wa humu,
Hamna anaewaza kuivunja ndoa ya mkurugenz wa EWURA[emoji1787][emoji1787]