Tetesi: Idris Elba adhaniwa ndio Chanzo cha kuvunjwa kwa ndoa ya Justin Trudeau (Waziri Mkuu wa Canada)

Tetesi: Idris Elba adhaniwa ndio Chanzo cha kuvunjwa kwa ndoa ya Justin Trudeau (Waziri Mkuu wa Canada)

Nawashangaa wanaume wa humu,
Hamna anaewaza kuivunja ndoa ya mkurugenz wa EWURA[emoji1787][emoji1787]
Ndiyo maana mafuta hayashuki bei,wakisoma huku wanatukomesha kwenye vituo vya mafuta.
 
Pesa haikupi furaha muda wote.

Hata Princess Diana alichepuka na mwana wa Mfalme.
 
Back
Top Bottom