Siku wakikufumania ukapigwa mtungo ndio aliki atakukaa sawaWe endelea kusema mke wa mtu sumu . Wenzako tunakunywa maziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku wakikufumania ukapigwa mtungo ndio aliki atakukaa sawaWe endelea kusema mke wa mtu sumu . Wenzako tunakunywa maziwa
Ndiyo maana mafuta hayashuki bei,wakisoma huku wanatukomesha kwenye vituo vya mafuta.Nawashangaa wanaume wa humu,
Hamna anaewaza kuivunja ndoa ya mkurugenz wa EWURA[emoji1787][emoji1787]
Ukweli picha iliyokichwan mwangu ya mama j ni pisi hatariShemu yetu mamaj hana jipya,? Tumemiss heka heka
nani anamla mwenzakeWengine wanadai waziri mkuu kipa katoka anaruka na Macron wa France!!
Unachokitafuta utakipata nakwambia...Huyu mwamba ana mvuto kwa wanawake wengi. Hata hapa tz kuna mifano hai