Mbona anafanana na wanaume zetu wengi wa kibongo/ Africa kwa ujumla.... tofauti labda ni personality na u super star tu.
kwahiyo mvuto wake wanavutiwa na muonekano au ustar?
Umeongea kitu cha maana sana , uzingatiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona anafanana na wanaume zetu wengi wa kibongo/ Africa kwa ujumla.... tofauti labda ni personality na u super star tu.
kwahiyo mvuto wake wanavutiwa na muonekano au ustar?
Toka lini wanawake mna kitu kibaya au mwanaume m-bayaIdriss mzuri jamani
Wewe mama J? mimi namtaka first in command amri jesmamaJ sijafunga nae ndoa[emoji28]
Tatizo mkewe ana sura personal......Nawashangaa wanaume wa humu,
Hamna anaewaza kuivunja ndoa ya mkurugenz wa EWURA[emoji1787][emoji1787]
Wanapasuana spika na jamaa[emoji16]Kwamba Diara kaenda kupiga kona [emoji16][emoji16][emoji16]
Ushalowana tayati?😂Idriss mzuri jamani
Ushamuelewa eeKuna tofauti yakuwa Idris na Idrisa.
Huyu Falla hapendwi na wengi Canada, siku ya watu wa mishale, aliwapongeza alitukanwa sana na raia wa CanadaWengine wanadai waziri mkuu kipa katoka anaruka na Macron wa France!!
Au kuivunja ndoa ya huyu anaetaka kusaini mkataba wa bandariNawashangaa wanaume wa humu,
Hamna anaewaza kuivunja ndoa ya mkurugenz wa EWURA[emoji1787][emoji1787]
Nimemuelewa nani Sasa kati ya Idris au Idrisa 😅😅😅Ushamuelewa ee
Kina pierre liquid😂😂😂😂
That story kwamba Idris alimla Sophie Grégoire was just Internet story bana. Tiktokers ndiyo walianza kuizusha pale Soohie alipo test COVID19 Positive halafu Elba na mke wake nao waka test positive halafu Elba akasema aliipata kwa mtu aliyekua naye ambapo watu waka recall walipoonekana wakiingia pamoja kwenye tuzo za Oscar ambapo picha yake ndiyo hiyo ume share.Mzuka wanajamvi!
Kuna fununu na umbea internet aliyekuwa mke wa zamani wa waziri mkuu wa Canada Gregoire Trudeau kuchepuka na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na actor muingereza mwenye asili ya Sierra Leone Idris Elba.
View attachment 2707935
Hii ndio sababu kubwa iliyopelekea wanandoa hao Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau na mke wake wa miaka 18 kutangazia umma kutalakiana.
Wambea wanadai walishatengana toka 2020 baada ya Idris Elba kutembea nae wakati wa Covid.
View attachment 2707938
Idris Elba alifunga ndoa na Sabrina Dhowre Canadian Somali 2019 Morocco na kula honeymoon Tanzania.
HapanaaaUshalowana tayati?😂
Ndoa nyingine ina enda kuvunjika hii😅😅😅Idriss mzuri jamani
Sawasawa….Kwanza U-star ndio unkufanya uonekane ndio Muonekano.
Kwani tukisema Uwoya mzuri hua ni U-star ndio umefanya tumuone ndio huja uzuri hata ukiwa wa kawaida.
Sahihi kabisa 😂😂T
Tatizo maokoto 🤣 dollars, pounds
MpeIdriss mzuri jamani