K Kamongo JF-Expert Member Joined Mar 20, 2009 Posts 2,190 Reaction score 2,485 Aug 6, 2023 #61 LIKUD said: We endelea kusema mke wa mtu sumu . Wenzako tunakunywa maziwa Click to expand... Siku wakikufumania ukapigwa mtungo ndio aliki atakukaa sawa
LIKUD said: We endelea kusema mke wa mtu sumu . Wenzako tunakunywa maziwa Click to expand... Siku wakikufumania ukapigwa mtungo ndio aliki atakukaa sawa
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 8,257 Reaction score 11,499 Aug 7, 2023 #62 DeepPond said: Nawashangaa wanaume wa humu, Hamna anaewaza kuivunja ndoa ya mkurugenz wa EWURA[emoji1787][emoji1787] Click to expand... Ndiyo maana mafuta hayashuki bei,wakisoma huku wanatukomesha kwenye vituo vya mafuta.
DeepPond said: Nawashangaa wanaume wa humu, Hamna anaewaza kuivunja ndoa ya mkurugenz wa EWURA[emoji1787][emoji1787] Click to expand... Ndiyo maana mafuta hayashuki bei,wakisoma huku wanatukomesha kwenye vituo vya mafuta.
The only JF-Expert Member Joined May 19, 2011 Posts 10,805 Reaction score 14,181 Aug 8, 2023 #63 Glenn said: Shemu yetu mamaj hana jipya,? Tumemiss heka heka Click to expand... Ukweli picha iliyokichwan mwangu ya mama j ni pisi hatari
Glenn said: Shemu yetu mamaj hana jipya,? Tumemiss heka heka Click to expand... Ukweli picha iliyokichwan mwangu ya mama j ni pisi hatari
Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 Aug 8, 2023 #64 Pesa haikupi furaha muda wote. Hata Princess Diana alichepuka na mwana wa Mfalme.
O one republic Member Joined Jul 1, 2021 Posts 79 Reaction score 135 Aug 12, 2023 #65 Gru said: Wengine wanadai waziri mkuu kipa katoka anaruka na Macron wa France!! Click to expand... nani anamla mwenzake
Gru said: Wengine wanadai waziri mkuu kipa katoka anaruka na Macron wa France!! Click to expand... nani anamla mwenzake
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,113 Reaction score 65,124 Aug 12, 2023 #66 mcTobby said: Huyu mwamba ana mvuto kwa wanawake wengi. Hata hapa tz kuna mifano hai Click to expand... Unachokitafuta utakipata nakwambia...
mcTobby said: Huyu mwamba ana mvuto kwa wanawake wengi. Hata hapa tz kuna mifano hai Click to expand... Unachokitafuta utakipata nakwambia...