Idris Sultan afikishwa katika Mahakama ya Kisutu. Ashtakiwa kwa kumiliki laini ya simu isiyo na jina lake. Aachiwa kwa dhamana

Idris Sultan afikishwa katika Mahakama ya Kisutu. Ashtakiwa kwa kumiliki laini ya simu isiyo na jina lake. Aachiwa kwa dhamana

kundi la wanaojielewa..
Hyo kesi mkiipeleka kwa sura YA UANAHARAKATI MNAMPOTEZA HUYO.
bora wasanii wenzie wamtete sio hao wanaojiita wana harakati kesi yake itakuwa ngumu.
Nyie mnaojiita wana harakati ndo mnamzamisha idris.
Kikawaida kabisa mtu kama hajui kitu huwa anaangukia kwenye kundi la kuwa mjinga au mpumbavu, wewe upo katika kundi gani hapo?
 
Sultani Alifanya Dhihaka.
Kwanza tambueni Raisi JP Magufuli, ni Raisi halari wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hivyo anastahili kuheshimiwa na kila raia wa nchi hii, bila kujali ulimpigia kura au la.

Idrisa kama Msanii anayetazamwa na watu wengi Aliidhihaki Picha ya Raisi na Watanzania wengi waliiona video clip yake.
Je kama msanii ile video ililenga kufanya nini ktk jamii yetu.

Idrisa anastahili adhabu kali ili iwe fundisho kwake na kwa wengine.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alichokifanya idris ni kucheka tu, upande wa pili palikuwa na picha ya kizamani ya mh. Raisi"

Haya ya kudhalilisha picha ya rais yametokea wapi!?

Akifungwa, kwa mujibu wa sheria kucheka itakuwa kosa la jinai na zamu yako itafuata"
 
kundi la wanaojielewa..
Hyo kesi mkiipeleka kwa sura YA UANAHARAKATI MNAMPOTEZA HUYO.
bora wasanii wenzie wamtete sio hao wanaojiita wana harakati kesi yake itakuwa ngumu.
Nyie mnaojiita wana harakati ndo mnamzamisha idris.
Hujajibu swali langu! Unajua kusoma? Umeona nilichokuuliza?
 
Mchekeshaji huyu alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay kwa takriban siku 8 akifanyiwa mahojiano.

Haijajulikana ni mashtaka gani atasomewa lakini kwa wa mujibu wa Polisi, walikuwa wakimuhoji kwa tuhuma za kujaribu kuharibu ushahidi na makosa mengine ya Kimtandao.

Endelea kufuatilia....
Huyu dogo asipokula kitu cha MONEY LAUNDERING Amshukuru sana Allah na aache huo ujinga, Maisha yake anayo yeye kama yeye. Halafu elimu yemyewe hana.
 
Alichokifanya idris ni kucheka tu, upande wa pili palikuwa na picha ya kizamani ya mh. Raisi"

Haya ya kudhalilisha picha ya rais yametokea wapi!?

Akifungwa, kwa mujibu wa sheria kucheka itakuwa kosa la jinai na zamu yako itafuata"
Ni Vizuri ukaenda Kumtetea Mahakamani kama una uhakika kwamba hakutenda kosa.
Mimi sina Zamu na mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wazo la kwanza litakuwa lipi sasa?Ila umenikumbusha kitu kuna jamaa alibahatika kupata kazi nzuri basi akawa akipata mshahara au akichukua mkopo benki kama milioni 10 anatembea nazo mfukoni zote halafu anakuwa na msafara,anakodi suti kali na anakodi Rangerover kisha anaenda kutega mingo kwenye viwanja wanavyopenda kuingia mastaa kama akina wema,uwoya ili aonekane naye ni pedeshee.
Ndivyo ilivyo. Unashikwa na kiwewe kwanza kabla akili ikae vizuri unakuta hela imeisha
 
Ni Vizuri ukaenda Kumtetea Mahakamani kama una uhakika kwamba hakutenda kosa.
Mimi sina Zamu na mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sizungumzii kama ana kosa au hana kosa.

Nimesema kuhusu video aliopost idris.

Ilikuwa anacheka na pembeni kuna picha ya raisi.

Mbona mi naona hili la kudhalilisha picha ya mh. Ni jambo lililopo tu akilini kwa watazamaji?

Yaani kucheka imekua ni kosa baada tu ya kuwepo kwa picha ya mhishimiwa!?

Kwani wewe ulijuaje kama alikuwa anaicheka picha!?
 
Ndio maana ni muhimu sana kuzizoea pesa kabla hujazikamata kisawasawa ili siku ukija kuzipata hautachanganyikiwa.
Kuna jamaa mmoja alikuwa amepanga jirani na nyumbani kwetu ambaye shughuli zake alikuwa ni mchimbaji migodini ni kama wale wanawaita wana apollo kwa miaka mingi sana lakini alikuwa anapata senti ndogondogo za kujikimu tu.
Sasa ikafika siku Mungu akamuona akabahatika kupata dhahabu kubwa akatafuta mteja akaliuza kwa thamani ya milioni 450.
Alivyopata hizo hela akili ikabadilika jamaa akawa hataki kuongea na majirani wa uswahilini ambao ndio walikuwa rafiki zake hapo awali.
Akawa vikao vyake ni kwenye baa kubwa kubwa na matajiri,wakaanza kumpa mipango feki ya biashara na kwa vile jamaa sio mzoefu wa mambo ya kibiashara akawa anawakubalia anawekeza pesa zake.
Mwisho wa siku jamaa katapeliwa hela karibu zote.
Alichoambulia ni kununua nyumba uswahilini kama ya milioni 30 na kigari cha milioni 10 ambacho sasa hivi amechoka hata kugharamia mafuta hawezi,elfu 10 anaitafuta kwa tochi.
Ndivyo ilivyo. Unashikwa na kiwewe kwanza kabla akili ikae vizuri unakuta hela imeisha
 
Uyu kijana kwisha habari yake na hili litakuwa funzo kwa wengine
 
Hivi polisi wakivunja sheria wakati wako kwenye utaratibu wa kumshtaki mtu, hiyo kesi si inakuwa batili?

Au filamu za Hollywood zinatudanganya?
 
Sikupingi ....hila ...Tabia zakuwapa watu kesi za uhujumi uchumi au utakatishaji pesa sio nzuri...kumcheka Rais wa JMT nijamb lakawaida sana.
Suala la kumcheka rais ni kawaida Sana? Yuli alidhihaki ile picha ya rais. Kweli ile suti ya kizamani ila siyo uende mitandaoni kumdhihaki
Sijui wewe una umri gani ila hata Kama ni Mimi siwezi kukubali mwanangu achukue picha yangu ya zamani aende kunidhihaki mtandaoni. Atakula bakora walah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom