Idris Sultan afikishwa katika Mahakama ya Kisutu. Ashtakiwa kwa kumiliki laini ya simu isiyo na jina lake. Aachiwa kwa dhamana

Idris Sultan afikishwa katika Mahakama ya Kisutu. Ashtakiwa kwa kumiliki laini ya simu isiyo na jina lake. Aachiwa kwa dhamana

Ipo hivi:
Siwezi kumcheka Baba yangu kwa sababu siyo Rais as long as ana privacy right zote, ila akiwa ni Rais kama kuna cha kumcheka kama Rais nitamcheka kama Rais wa nchi na wala siyo kama Baba
Ha ha ha.
 
Mchekeshaji huyu alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay kwa takriban siku 8 akifanyiwa mahojiano.

Haijajulikana ni mashtaka gani atasomewa lakini kwa wa mujibu wa Polisi, walikuwa wakimuhoji kwa tuhuma za kujaribu kuharibu ushahidi na makosa mengine ya Kimtandao.

Endelea kufuatilia....

UPDATES
Mchekeshaji Idris amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu pamoja na mwenzake Innocent Maiga na kusomewa mashtaka yao

Katika shtaka la kwaza, Idris pekee anatuhumiwa kutumia laini yenye namba 0753 617621 ambayo haijasajiliwa kwa jina lake bali kwa jina la Innocent Maiga

Katika shtaka la pili, Innocent pekee anatuhumiwa kushindwa kuripoti ubadili wa umiliki wa laini hiyo baada ya Idris kuanza kuitumia


UPDATE
Idris amepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kutumiza masharti yakuwa na wadhamini wawili na bond ya TZS 15,000,000/-

Kesi itatajwa tena Juni 09, 2020

Kwahiyo kosa limegeukia kwenye laini ya simu tena!, nacheka tu, halafu kuna wehu naona wanaponda sana kama vile jamaa aliua mtu vile,kuna siku tulaelewana tu.
 
Maadili kwenye kutekana na kubambikiana kesi jiweni mshamba
Na hapa ndipo lilipo tatizo!

Kwa nini usiipende haki kama ilivyo yenyewe? Binafsi siyapendi anayoyafanya Magu (siasa zake). Lakini hainihalalishii akitendewa sivyo niunge mkono juhudi!

Kwangu misingi ya haki na nidhamu itabaki palepale pasipo mipaka!
 
Basi wale wana harakati waache kumuharibia.
hyo kesi ikigeuka ya kisiasa itamtesa sana.
Ina bidi aongee na wakubwa wamuombee msamaha.
Huyo ni msanii wa vichekesho alichokosea Ni kuvuka mipaka kwenye uchekeshaji wake kwa kuzani watu watacheza kwa kutengeneza picha ya Magufuli kwenye muonekano wa mwanamziki
 
Afungwe haraka tumechoka kuona vijana badala ya kulima wanashinda Twitter
Mkwanja anaomiliki huyu jamaa hata kwenye rambirambi ya kifo chako huwezi kuufikisha.
Huko mtandaoni kwenyewe anapiga hela wew unapoteza muda.
 
Avune alichopanda. Huwezi kufanya dhihaka kwa Mkuu wa Nchi kiasi kile

Angejaribu kuwadhihaki wazazi wake kwanza
Mpumbavu kweli wewe, hujaelimika, "kutumia laini ya jina la mtu mwengine ndio kumcheka mkuu?"
Kipindi akina Masanja na Joti kwenye ZE COMEDY mbona walikuwa wanacheka kariu kila mwanasiasa?
Ujinga na upumbavu wako maandazi ndio umekufanya mpaka leo unaishi kwa shemeji yako hapo Tarime vijijini.
NIDA ndio wa kulaumiwa kwakuwa walivunja mkataba na kampuni ya ku-print ID na hivyo watanzania wengi hawana kadi, na ndio maana unakuta watu wame-waaanikishia watu wao.Na kwa upimbi wa TCRA basi watatukamata nchi nzima, watu wengi wamesajili kwa SIM cards za watu wengine, watoto wetu huko Mashuleni wote wana laini za wazazi wao, wakamateni mkawaweke LUPANGO siku 8!
Mmemtaftia kosa, mmekosa mkaamua kumpa lolote ku-justify u-dikteta wenu, haya endeleeni tu
 
Naweka ushabiki pembeni, honestly, Sultan hakuwa sahihi. The truth never fall behind. Issue ni kwamba, dhamira yake ni nn? Je, wewe unaweza kufanya hivyo kwa picha ya mzazi wako na kuipost hadharani huku ukicheka?
 
Kijana usinitishe sikumtuma huyo kijana avunje sheria
Mpumbavu kweli wewe, hujaelimika, "kutumia laini ya jina la mtu mwengine ndio kumcheka mkuu?"
Kipindi akina Masanja na Joti kwenye ZE COMEDY mbona walikuwa wanacheka kariu kila mwanasiasa?
Ujinga na upumbavu wako maandazi ndio umekufanya mpaka leo unaishi kwa shemeji yako hapo Tarime vijijini.
NIDA ndio wa kulaumiwa kwakuwa walivunja mkataba na kampuni ya ku-print ID na hivyo watanzania wengi hawana kadi, na ndio maana unakuta watu wame-waaanikishia watu wao.Na kwa upimbi wa TCRA basi watatukamata nchi nzima, watu wengi wamesajili kwa SIM cards za watu wengine, watoto wetu huko Mashuleni wote wana laini za wazazi wao, wakamateni mkawaweke LUPANGO siku 8!
Mmemtaftia kosa, mmekosa mkaamua kumpa lolote ku-justify u-dikteta wenu, haya endeleeni tu
 
Kijana usinitishe sikumtuma huyo kijana avunje sheria
Sheria kandamizi,lile kosa la uhujumu uchumi mlimkosa kosa eeh, na lile la uraia kwanini hamkumhoji?
Mwambieni tu si mtanzania, mbona simple tu?
Mbaki nyie watu wa kanda ya "matiti"
 
Back
Top Bottom