Huyu dogo nae anatafuta kiki tu sasa. Unafanyaje kosa lile lile mara 2 hata kama ndani ya nafsi yako unaamini uko sawa.
Baada ya kuachiwa mara ya kwanza kwa kufanya uchekeshaji wa maudhui yale alitakiwa aachane nayo.
Mbona kuna maudhuhi mengi tu ya kuchekesha. Bila kujali kuwa ni sawa au haki au si sawa hatakiwi kulazimisha baadhi ya makosa.
Aache tu kama utawala huu haupendi kuchekeshewa Boss wao awe mpole tu asubiri utawala ujao amcheke huyo Boss.