wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Kuna post jana katupia twiter nadhani imechangiaHuyu jamaa asipo kuwa makini itakuwa historia ni suala tu la mda....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna post jana katupia twiter nadhani imechangiaHuyu jamaa asipo kuwa makini itakuwa historia ni suala tu la mda....
Ohooooo!!!
Idris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hutokaa niona nimemjibu vibaya muungwana, daima natukana watukanaji wenyewe wanajua, huwezi mtukana au kumdhihaki MKUU wa nchi afu nikakuentertain hata kidogo.Unapenda Sana kutukana watu, hivi inakusaidia Nini?
Je huwezi ku comment kiungwana?
Watanzania mmeshafanywa makondoo, basi nyote ni kusujudia tuuu! Eti kama hapendi!! Shame!Aache tu kama utawala huu haupendi kuchekeshewa Boss wao awe mpole tu asubiri utawala ujao amcheke huyo Boss.
Dogo wa tisini na tatu anakuwa tunamwonaIdris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisikia ana Undungu na Le Mutuz?Matatizo ya kujitakia
Wakati wa utawala wa Jk mwanzoni kuna Jamaa alikuwa anajiita Ze Utamu, akadhalilisha watu wengi sana mwishowe akajikuta anamdhalilisha Mkuu wa Nchi...
Uwaziri mtamu asikuambie mtuNaona this time Kigwangala hajaingilia.