Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Picha ni kumbukumbu ila hiyo inachekesha lkn haikejeri hisia za kuongozi labda sijui ameitoa wapi ujue masoud kipanya cartoon zake huwa zinafurahisha labda kwakua hiyo imepigwa kwa pozi za kipindi hicho hivi Zitto hajui kuwa hata yeye alikuwa mshamba lkn kuna ushamba mwingine hauzeeki aisee ona mm mpaka Leo sijui kuandika kwa mtiririko fasaha lkn idrisi amezidi huwezi kumcheka mkuu wako was nchi Instagram au tweeter ama fb vyema wamuonye kama amekosea
 
Kuna shida gani kama angechekea in private hata na marafiki zake? Kwanini huyu failed, self-appointed "comedian" lazima kila mara atafute attention mtandaoni? Hawezi kujizuia kama watu wengine wenye akili nzuri? He probably thinks he's so funny and likable by all, and he can get away with anything. Ile kushinda Big Brother has gone to his head and inflated his ego so much.
 
Kuna shida gani kama angechekea in private hata na marafiki zake? Kwanini huyu failed, self-appointed "comedian" lazima kila mara atafute attention mtandaoni? Hawezi kujizuia kama watu wengine wenye akili nzuri? He probably thinks he's so funny and likable by all, and he can get away with anything. Ile kushinda Big Brother has gone to his head and inflated his ego so much.
kosa lake ni kucheka hadharani?kumbe ni kweli picha inachekesha ila angechekea pembeni,hiki kizazi hiki
 
Ok we unadhani lengo lake kubwa ilikuwa nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
amecheka picha imemchekesha kama mimi nilivyocheka na wenzangu kwenye magroup na hapa JF.ila yeye kama walivyofanya watu wengine wakashea furaha yao kwenye mitandao. Kama ambavyo tunafurahishwa na picha za zamani za watu wengine maarufu kina Masanja, Joti, Kikwete, Mkapa, Kanumba, Wasira, zipo humu mitandaoni.

Picha ambayo ni yake mwenyewe hajavishwa na mtu,kama inachekesha watu wasicheke. Kwanza kwa wengine hii ni sifa,angekuwa Kikwete hapo hata angeweza kuhojiwa na media akasema enzi zetu hizo mambo yalikuwa bambam
 
amecheka picha imemchekesha kama mimi nilivyocheka na wenzangu kwenye magroup na hapa JF.ila yeye kama walivyofanya watu wengine wakashea furaha yao kwenye mitandao. Kama ambavyo tunafurahishwa na picha za zamani za watu wengine maarufu kina Masanja, Joti, Kikwete, Mkapa, Kanumba, zipo humu mitandaoni
Brother acha kutetea vitu visivyo na msingi, kwamba anachekesha Rais kavaa suti kubwa? au analikuwa anachekesha nn?
Mbali na Rais hiv angekuwa Baba ake angeweza fanya hivo?

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufupi Idris ni mpumbavu! Unafahamu utawala wenyewe jinsi ulivyo, ulipotezewa mara ya kwanza halafu unarudia kilekile unachotafuta ni kipi?

Hatetei haki ya namna yoyote zaidi ya kuchekesha! Kwa nini asiwe mbunifu? Joti, Kingwendu, Mpoki na wengineo mbona sanaa yao wanaipiga fresh tu!

Ngoja akanyooshwe kwanza!
Na wamfanye kile watakachopenda, hata ikiwezekana wamwingizie kabisa kila siku kwa wiki nzima ili akija huku mtaani aje awasimulie wajinga wenzie!
 
amecheka picha imemchekesha kama mimi nilivyocheka na wenzangu kwenye magroup na hapa JF.ila yeye kama walivyofanya watu wengine wakashea furaha yao kwenye mitandao. Kama ambavyo tunafurahishwa na picha za zamani za watu wengine maarufu kina Masanja, Joti, Kikwete, Mkapa, Kanumba, Wasira, zipo humu mitandaoni.

Picha ambayo ni yake mwenyewe hajavishwa na mtu,kama inachekesha watu wasicheke. Kwanza kwa wengine hii ni sifa,angekuwa Kikwete hapo hata angeweza kuhojiwa na media akasema enzi zetu hizo mambo yalikuwa bambam
Hana adabu Idriss. Sio mila zetu waafrika hizo. Je angekua ni baba yake angefanyia hivyo? Yule kinda Hana heshima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana adabu Idriss. Sio mila zetu waafrika hizo. Je angekua ni baba yake angefanyia hivyo? Yule kinda Hana heshima

Sent using Jamii Forums mobile app
nikuulize picha ina matatizo gani mpaka ikichekwa uchukie katika kiwango cha kuweka mtu ndani.

Tuseme kweli kaudhika kutokana na hulka zake, kama kila anaye kuudhi unamuweka ndani utaweka wangapi?
 
Back
Top Bottom