Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kosa la kuchekaanajisahau kivipi,kafanya nini
iko wapi point hapo kutetea ujinga. unadhani kila baba ni mnoko. madingi wengine kwao hili ni jambo la kufurahi pamoja na jamii au familia. picha ndo uhalisia wako,nikuulize picha ina matatizo gani kiasi kwamba mtu akiicheka uchukie?
wanaweza kumgeuzia kibao kama walivyomfanyia yule kada wa Chadema Mchome,kutoka kupiga picha gari mpaka kuwa na picha za XNdivyo inavyosemekana... chanzo hi hiyo picha...
Ila ngoja tuone polisi na mahakama watasema nini haswa tatizo...
Cc: mahondaw
nashauri tusitumie madaraka vibaya,sisi ni binaadamu ni ndugu tuvumiliane,polisi wana mambo mengi ya kudhibiti ujambazi matapeli waachane na mambo ya kitoto kama haya
Ndio upuuzi wenyewe kulipa watu washughulikie upuuzi kama huu, hizo fedha kwanini wasinunue barakoa wakawapa wananchi maskiniKuna watu wanalipwa mishahara wa serikali kushughulika na hayawani kama hawa so usiogope!
nashauri tusitumie madaraka vibaya,sisi ni binaadamu ni ndugu tuvumiliane,polisi wana mambo mengi ya kudhibiti ujambazi matapeli waachane na mambo ya kitoto kama haya
nitakushtaki kwa kuicheka point yangu,haaahaaa
Ningekuwa nimevaa balakonya ningesema kituView attachment 1455154
Moderator naombeni sana msiunge huu uzi.
Yule msaani amepelekwa selo kwa sababu ya ile clip yake akionekana kuicheka hii picha? au kuna kingine?
Kama ni kuicheka hii picha,kosa lake ni lipi? amedhalilisha waliopo kwenye picha?kivipi? waliochekwa wameshtaki?wamepata damage gani?
Ukiacha yote hayo,labda pengine kwa sababu kwenye picha kuna rais,lakini ni kweli hicho kicheko kinakuwa big deal mpaka dola kuacha mambo ya msingi na kudeal na jambo kama hili?
Mambo haya tulizoea kuyasikia nchi za madikteta kama Robert Mgabe lakini leo hii tunayahuhudia hapa kwetu Tanzania
Hivi umeyaelewa maswali aliyouliza mtoa maada?
Uwezo wa kuelewa fikra ya uwasilishaji wa mawazo kusudio ya mtu mwengine ni matokeo ya baada ya mazingira.Wewe nani alikwambia kua alimcheka magufuli wakati kwenye picha wako watu watatu?.Na isitoshe unaweza vip kutafsiri kicheko cha mtu nakusema kafanya dhihaka wakati ata ukifurahi pia unaweza kucheka.inawezekana wewe ndo umetafsiri hicho kicheko vibaya kwa mtazamo wako lakini maana ya mchekaji isiwe hiyo uliyowaza wewe.
Muhusika kasema kadhihakiwa?Kwahiyo kumdhihaki mtu kwa sababu wewe Ni msanii ni haki kisheria na ndio demokrasia?
Hiyo nayo mada. Watz tuache utani. Hata mie picha imenifurahisha. Sasa wewe mtu kaitwa polisi unateseka na kuanzisha UMBEYA. Nia yako kutaja neno Dikteta. JPM kahusikaje Hapo. Wanasema wapiga majungu Pua zinawasha na mdomo akiwa na Siri. Sasa wewe hata Siri yenyewe huna Unawashwa na Nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wonderful!Kuna yule dada alikua ana host kipindi cha Fema talk show au Haki Elimu(nimesahau) anaitwa Rebeka Mujuni kama sikosei ni mfano halisi wa hik ulichoshauri,dda kajiongeza na sasa hiv ana organization yake anafanya vyema sana
DuhJumanne Sharifu Bakari.
Nitafute
Nikufilimbe
Yah Ni kosa Kama ulikuwa hujui, na Sheria ipo kumbuka kutokujua Sheria hakukufanyi kuvunja uvunje sheriaHaha kudhihaki ni kosa? Basi funga nchi nzima, ni kitu kila binadamu anafanya, tofauti moja ni online nyingine ni offline. I'm done dealing with you stupid people, block list yangu karibia ijae.
Watafungwa wavunja Sheria tu watanzania wote sio wavunja Sheria pili option ya ignore list ipo jf una haki ya kuitumiaHaha kudhihaki ni kosa? Basi funga nchi nzima, ni kitu kila binadamu anafanya, tofauti moja ni online nyingine ni offline. I'm done dealing with you stupid people, block list yangu karibia ijae.
Kwa akili zako unataka mh asimame aseme au? Hiyo ni kazi ya vyombo vya dolaMuhusika kasema kadhihakiwa?
Au ni mihemko yenu?
Nye wandugu punguzeni kujibishana kwa jaziba.Wewe ndio punguani uliyeleta picha kwa kujificha kwenye ID fake kama mbuni ukiamini umejificha!
Mbona huleti picha ya makengeza......au Halima na Ester wakiwa pamoja!