unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,045
Haaa washangaaa leo si alianza zarina??noumer kwelii... kumbe hata majini yana zaaa.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaa washangaaa leo si alianza zarina??noumer kwelii... kumbe hata majini yana zaaa.......
Teh TehTime will tell jamani,tusubiri.
Usijeumbuka na viapo vyako unavyoapia.
Zote mwampachika nyie humu ndaniHivi huyo Wema mimba huwa zinaendaga wapi maana kila mwaka nasikia.ana mimba mara ya Dimond mara ya kigogo mbunge mara sijui kumzalia nani,hivi huyu mama yeye mimba kwake ni story eeeh!
Watz ni noma ha ha haHana dili huyo na panki lake.....
Halafu watz jamani wamerukiaje page ya Luis full kujidhalilisha
Weka ahadi watu tuandike kwenye diary mkuu,acha kumung'unya maneno.Teh Teh
Kama Wema atakuwa na Mimba nina ahidi .....................................
Such a haterHuyo Wema ataishia hivyo hivyo kamwe awezi kupata mimba kutafuta kuzungumziwa tu na wenye akili fupi. Huyo Idris nae amekuwa kama msichana kutafuta attention za kike.
Wema usifikiri kutengeneza makalio ndio kutengeneza mtoto mtoto utamsikia tu kwa wenzio.
Akikaa vibaya ajiandae kuoga matusiWatz ni noma ha ha ha
Naahidi kama Wema atakuwa na mimba................................................Wema juzi kati alimjibu alomtukana...kwa kumuuliza lini alisema ana mimba???
Kumbuka hajawahi tangaza
Twende PM nikakutungie mashairi.... wallah lazima utanizalia kabinti karemboMatamu mnooo, yani maneno kaandikiwa mwingine, ila navyosmile huku sasa utadhani nimeandikiwa mimi jamani.[emoji182] [emoji182] [emoji85] [emoji85]
Hifadhi ahadi yako ndugu.....Naahidi kama Wema atakuwa na mimba................................................
Labda walipimawalikua hawatumii kinga hawa watu daah hatari sana.
Sema matende na spokuJibu hili hapa,miguu kama spok ya baiskeli?![]()
Tuko wangapi hiyo, naamini hakuna aliyeukwaa hapo.Bado mbona, Lina Sanga alipiga ukunga wa kuporwa mchumba
Kijana wa Namibia naye aka lambishwa asali kwa ncha ya kisu aka toweka.
Teh Teh....Teh mods wanani hujuma kila niki ahidi donge nonoWeka ahadi watu tuandike kwenye diary mkuu,acha kumung'unya maneno.
Hahahahaaa
Haaaaaaahaaaaaaaa akaamua azae na bibi? Kweli muda ulifika haaaaaahaaaaDiamond alikuwa anatumia condom...na wewe alikuwa hajafikia malengo yake ndo azae!
Haaaaahaaaa mguu hauna sehemu ya kiungioZari hata asiringie miguu hiyo sio..hayo ni matende aende akamuone Daktari..guu la bia haliko hivyo
Joking! Teh Teh...Hifadhi ahadi yako ndugu.....
Mungu sio Ruttashobolwa...shaurilo
Hahaha sitakiiiJoking! Teh Teh...
Kama Wema atakuwa na Mimba ninakuahidi nita hakikisha unapata picha ya pamoja na Baba Swalaehe(Lemutuz)
Kama dangote bana dah wanaudhi eeeeeekick za kitoto hizi... Idris amekuwa kama houseboy