Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

....Kama hizi habar ni za kweli nimeona post ya wema akiwa amemuandikia ujumbe mzito kijana idriss,.wanataniana huyu anasema atakua wa kike mwingine anasema atakua baby boy...maskn wema amepata mtoto ??! Dah huyu bibie jins alivokua anaandamwa hadi sometimes alikua anatia huruma
Ila ujasiri wake wa kuyaapuuzia ya ulimwengu...hadi anaejiita dangote aliweka msg ya kebehi Instagram kua eti zaa na wewe basi" ujue hata kama mtu unaona amekuudhi usimkejeli hali yake ...sasa Leo Mungu amemsikia Dada wa watu tena aliesababisha ni mshikaj na x wake ...kitu kimejibuu ...naskia idriss saiv anaitwa dokta inayotibu uhakika....eti wanawake wangu walikua wanatoa mimba ...Leo mbona imebak ya wema
Ila dah! interview aliyo fanya haikuwa ya kitoto mtoto wa kike ana ubavu kajua kuwa panga na tuseme wote wanao julikana na wasio julikana walikuwa na mushkeri au? maana wengi wali sajiliwa kwa short term lakini HONGERA kama sio movie nyingine.
 
....Kama hizi habar ni za kweli nimeona post ya wema akiwa amemuandikia ujumbe mzito kijana idriss,.wanataniana huyu anasema atakua wa kike mwingine anasema atakua baby boy...maskn wema amepata mtoto ??! Dah huyu bibie jins alivokua anaandamwa hadi sometimes alikua anatia huruma
Ila ujasiri wake wa kuyaapuuzia ya ulimwengu...hadi anaejiita dangote aliweka msg ya kebehi Instagram kua eti zaa na wewe basi" ujue hata kama mtu unaona amekuudhi usimkejeli hali yake ...sasa Leo Mungu amemsikia Dada wa watu tena aliesababisha ni mshikaj na x wake ...kitu kimejibuu ...naskia idriss saiv anaitwa dokta inayotibu uhakika....eti wanawake wangu walikua wanatoa mimba ...Leo mbona imebak ya wema
hawa wasanii wanafanya kila kitu ili asikike kwenye media na magazeti si yeye mwenyewe aliyejitangaza ya kuwa hana kizazi leo kapata mimba mbona wanafanya filamu ya kihindi mi sia miani wasanii wa kitanzania na huwa siwasupport kwa chochote wasanii wetu ni ista facebok tittwer whatssapp media na magazeti hiyo ndo kazi wanazoziweza kwa usanii bado; KAPATA MIMBA KWA UWEZO WA ROHO MTAKATIFU aisee . SINA KIZAZI APPROVED BY FILAMU ZA WEMA NA TIMU YAKE
 
Na yeye atoe ultra sound results si alikua anadai DNA!
 
mcdonaldjr
songea/ruvuma ndiyo utajiri wao!!
.....rush there faster reaches is close to you!!!
I swear!!
Haaa haaa duh nafurahia maisha yangu kama yalivyo mkuu sio mtu wa dini sana ila nachukia ushirikina kinoma.
 
Jibu hili hapa,miguu kama spok ya baiskeli?
fe191ea40a72b89785e629fd991d257f.jpg

Huyo zari miguu yake mbona kama ana matende?..Au ndo guu la bia
 
Matamu mnooo, yani maneno kaandikiwa mwingine, ila navyosmile huku sasa utadhani nimeandikiwa mimi jamani.[emoji182] [emoji182] [emoji85] [emoji85]
Mvua haijanyesha yale maeneo ya shamba? Maana ulivyoelezea ni kama joto la mvua hilo au hujagundua?
 
Zari hata asiringie miguu hiyo sio..hayo ni matende aende akamuone Daktari..guu la bia haliko hivyo
 
Wafuatao alishatoka nao kimapenzi.
1.Kanumba (marehemu ) japo nae hakumkuta bikra.
2.Chalz Baba.
3.Khalid Chokoraa.
4.T.I.D
5.Mr. Blue.
6.DIAMOND.
7...........( kigogo)
8...........(kigogo)
9............( kigogo)
10. Luis Munana.
Why DIAMOND au hao walikuwa wanampiga 071 kwahiyo hatuwezi kuwauliza kwanini hawakum'bebesha hiyo inayoitwa mimba ( kama anayo au hana hiyo ni juu yake hakuna inayomuhusu ila hongera yake kama kweli)
Umemsahau jumbe.
 
Naona nawe unazidi kunyooshwa na mtoto wa Tandale hadi unaishia kufungua uzi wa kipu.pu.
 
Habari, kwa wale mnaopenda celebrity gossip, nimeidaka hii hapa
yule mshindi waa BBA , amethibitisha kuwa Wema Sepetu ana ujauzito wake, baada ya wawili hawa kuhisiwa ni wapenzi kwa muda mrefu.

“Me and You are not the ordinary. I sleep,eat, talk and wake up to only thinking about you,” ameandika Idris kwenye post yake iliyopata comments zaidi ya 5,800 na likes zaidi ya 14,000.

“As much as utadhani kuwa you are blessed to have me no no I am blessed to have you. At 1st it was weird me kuangalia ndani ya kabati langu kuona nguo zako na viatu au ukiwa unaongea na mimi unaniambia vitu kama “Hivi baby unahisi akiwa wa kiume utafanyaje maana naona umekazana na wa kike” au ukiingia jikoni kwangu and take over my house with good food,” ameongeza.

“The way you look at other women wakinisogelea, how you always know when i need a kiss or a tight hug. The way you force me kuangalia Disney channel, how you wake up early these days to make me breakfast. I might bring you the most beautiful rose flower in the world and it will never look even half as beautiful as you are. When you’re jealous unasonya sonya, when am jealous i smile.”

“I would move mountains and planets just to make you happy. I will protect you, love you, spoil you, fight with you, cook with you, watch movies together, drive at night for no reason, sit with you and just stare at the stars. You’re more than i ever asked for, you’re my everything “My Wife.”


Chanzo: Idris (Instagram)
kwa mbwembwe hizi na maneno mazuri masikioni mwa watoto wa kike kama haya, harafu ije igundulike kuwa ilikuwa promo tu.. Itabidi wanaume malijali tupeleke posa kwa ajili ya kumuoa Idris kwa kuwa hatakua na Tofauti na wema sepetu
 
Matamu mnooo, yani maneno kaandikiwa mwingine, ila navyosmile huku sasa utadhani nimeandikiwa mimi jamani.[emoji182] [emoji182] [emoji85] [emoji85]

jamaa ana maneno matamu
Huwa tunawashikaga masikio na vitu vidogo tu, sema basi tu kuhonga vikubwa imeshakuwa fashion inabidi tuendelee tu.
 
Back
Top Bottom