Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kuajiri mchezo....
Kaishia kuwa CEO wa kampuni hewa
Huo ndo ujanja ujanja wenyewe yaani saundi nyingi hata madame si ni ceo wa endless fame lakini anasuply lipstick dunia nzima sasahiviHa ha ha mbona ujanja ujanja, Idriss alisema ana kampuni yake kaajiri watu 20 hadi mwisho wa mwaka anategemea kuajiri watu 50 kama sikosei
Kampuni vepe hailipi? Utangazaji unalipa zaidi....
Umesahau kitu.... Baada ya miez Mitano alidai anaweza nunua private jet.......Ha ha ha mbona ujanja ujanja, Idriss alisema ana kampuni yake kaajiri watu 20 hadi mwisho wa mwaka anategemea kuajiri watu 50 kama sikosei
Kampuni vepe hailipi? Utangazaji unalipa zaidi....
Kumbe ilikua fix??? Mi nlijua ukweli....Kuajiri mchezo....
Kaishia kuwa CEO wa kampuni hewa
Kwenye mkasi alisema alifaulu pcb akapangiwa udocta muhimbili ila akachomoa avute kidogo upepoKaishia form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
Ha ha ha huo uongo uliotukuka, hivi serious kabisa ulaya waagize lipstick huku lolHuo ndo ujanja ujanja wenyewe yaani saundi nyingi hata madame si ni ceo wa endless fame lakini anasuply lipstick dunia nzima sasahivi
Mbona mkasini alisema alienda JKT ile kws mujibu wa sheria.KaishiaN form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
mpoki, swebe, dauda, idris...
Kaishia form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
Hahahaha madame ni big brand bidhaa zinaisha kwa kasi sasahivi anazipeleka Mashariki ya mbali uko Pakistan, Iran na Irac baada ya kuliteka soko la Marekani na UlayaHa ha ha huo uongo uliotukuka, hivi serious kabisa ulaya waagize lipstick huku lol
View attachment 338138
acha kupotosha uyu dogo kamaliza advance pale Hill crest Mwanza na alikua anasoma PCB.Kaishia form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
Duh.... ata kama Jamaa ana mambo ya kifala na amelewa ustaa ila kumzushia mtu Uongo tena katika hadhira kama hii sio poa kabisa!!!Kaishia form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
labda atakua anapiga kotekote, maana utangazaji hauchukui muda sana, kama hapo anapiga saa 12 hadi 3 asubuhi tuHa ha ha mbona ujanja ujanja, Idriss alisema ana kampuni yake kaajiri watu 20 hadi mwisho wa mwaka anategemea kuajiri watu 50 kama sikosei
Kampuni vepe hailipi? Utangazaji unalipa zaidi....
hongera zake asije kuwa kama Mwisho mwampamba kaishiwa mpaka anagombana na nduguze muda mfupi baada ya kuondokewa na baba yake
kanyonyolewa mpaka mabawa yamemwishia kabisa, chezea Madam weye.kuishiwa kubaya, unaingia kichwa kichwa kwa madam
Kumbe ilikua fix??? Mi nlijua ukweli....
Jana nimeona mtu anasema Idd hana nyumba, kile kigorofa chake vepe
Haaa eti madam alivyosikia Dai yuko USA nae huyo akasema KISS imetua kwa ObamaHa ha ha huo uongo uliotukuka, hivi serious kabisa ulaya waagize lipstick huku lol
View attachment 338138
Ana taaluma ya utangazaji.?
Ha ha ha mara kiss ndani ya Denmark ha ha ha uwiii nicheke kama mazuriHaaa eti madam alivyosikia Dai yuko USA nae huyo akasema KISS imetua kwa Obama
Don tel ile nyumba ya kigorofa sio yakeIddy msanii kama Madame Wema Sepetu