Idris Sultan awa mtangazaji Choice FM

Idris Sultan awa mtangazaji Choice FM

Ha ha ha mbona ujanja ujanja, Idriss alisema ana kampuni yake kaajiri watu 20 hadi mwisho wa mwaka anategemea kuajiri watu 50 kama sikosei
Kampuni vepe hailipi? Utangazaji unalipa zaidi....
Huo ndo ujanja ujanja wenyewe yaani saundi nyingi hata madame si ni ceo wa endless fame lakini anasuply lipstick dunia nzima sasahivi
 
Kaishia form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
Kwenye mkasi alisema alifaulu pcb akapangiwa udocta muhimbili ila akachomoa avute kidogo upepo
 
Huo ndo ujanja ujanja wenyewe yaani saundi nyingi hata madame si ni ceo wa endless fame lakini anasuply lipstick dunia nzima sasahivi
Ha ha ha huo uongo uliotukuka, hivi serious kabisa ulaya waagize lipstick huku lol
Screenshot_2016-04-13-07-14-01.png
 
KaishiaN form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
Mbona mkasini alisema alienda JKT ile kws mujibu wa sheria.
Na huwa wanaenda baada ya kumaliza six?
Ns
 
Fani ya utangazaji yaonekana ni rahisi sana hata Gadner hajasomea
 
Kaishia form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!

Nashukuru kwa update Mkuu...sema Tanzania ukijua kutema yai unaonekana bonge la msomi.
 
Kaishia form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
acha kupotosha uyu dogo kamaliza advance pale Hill crest Mwanza na alikua anasoma PCB.
 
Kaishia form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
Duh.... ata kama Jamaa ana mambo ya kifala na amelewa ustaa ila kumzushia mtu Uongo tena katika hadhira kama hii sio poa kabisa!!!
 
l
Ha ha ha mbona ujanja ujanja, Idriss alisema ana kampuni yake kaajiri watu 20 hadi mwisho wa mwaka anategemea kuajiri watu 50 kama sikosei
Kampuni vepe hailipi? Utangazaji unalipa zaidi....
labda atakua anapiga kotekote, maana utangazaji hauchukui muda sana, kama hapo anapiga saa 12 hadi 3 asubuhi tu
 
Ana taaluma ya utangazaji.?

we hujui qualification za kuwa mwanahabar especial mtangazaj bongo ni uwe maarufu tu basi yaan aidha uwe mwanamzik. msaani wa filamu, mshind wa bahat nasibu na mengineyo basi wewe utapata kaz ya utangazaj hakuna habar za kusomea .. wakat kuna magraduate dsj na kwingineko wanakula vumbi mjin hata interview hawapat siku hz namsikia jose mara clouds ...

rejea watu kama
kina zembwela, na wengineo
 
Back
Top Bottom