Idris Sultan awa mtangazaji Choice FM

Shule yenyewe huwa wanasoma lipi laa maana? mitaala yenyewe ya mkoloni asilimia kubwa haina uhalisia wa kutosha kumuwezesha mtu kuwa full package, matokeo yake akifika kazini ni sawa na anaanza upya.. Kama umetoa ujinga kwa vidato kidogo inatosha, kila cha muhimu unajifunza kazini...
 
Ile alipewa zawadi na jamaa mwenye asili ya uarabuni ofa ya kukaa mwaka mzima bure wakati ameshinda big brother
Uwiiiiii I thought Ile nyumba alinunua alivopiga hela ya big brother, mweh wasanii wa bongo kweli ni wanasanaa khaaaa
 
Hahahaha madame ni big brand bidhaa zinaisha kwa kasi sasahivi anazipeleka mashariki ya mbali uko pakistan, iran na irac baada ya kuliteka soko la marekani na ulaya
Ha ha ha huyo miss Tanzania naona kachanyikiwa
 
Huyu zile million 500 plus zimeisha...Wema sio mtu mzuri
 
Huyu zile million 500 plus zimeisha...Wema sio mtu mzuri
Jaman mbona kama sielewi hivi Wema hizi pesa anazopata kwa wanaume anafanyia nini? Maana ninaona anazeeka afu hakuna jipya analofanya
 
Ha ha ha mbona ujanja ujanja, Idriss alisema ana kampuni yake kaajiri watu 20 hadi mwisho wa mwaka anategemea kuajiri watu 50 kama sikosei
Kampuni vepe hailipi? Utangazaji unalipa zaidi....
Haha kampuni za kupiga watu picha studio nazo ni kampuni basi haha"
angebaki tu kwa Raque kule alikokua anapiga kazii b4 Bba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…