Bikira ndo nan mkuu?mpoki, swebe, dauda, idris, zembwela, bikira...
Hata mzungu mwenyewe hawez chomoa udocta,,,,jamaa alikuwa na dili za kuunga unga town,,hakuna cha kampunKwenye mkasi alisema alifaulu pcb akapangiwa udocta muhimbili ila akachomoa avute kidogo upepo
Bikira ndo nan mkuu?
mtangazaji flani efmBikira ndo nan mkuu?
Huyu jamaa ni kati ya watu maarufu walio kosa malengo kabisa ..hivi huwa ana wachekesha? Maana hata kwa kingereza hachekeshi! Now ni mtangazaji hivi ata tangaza nini huyu? Dunia ina vituko sana huyu jamaa angefanya hata biashara angefanikiwa zaidi!
Alisema ana kampuni sasa sijui imefutwa na Brela? Huyu jamaa ni muongo sana.
UmenenaBora kapata kazi.... apate la kufanya
C lazima sana radio za ujanjaujanjaAna taaluma ya utangazaji.?
Toka mwanzo nilishangaa sana nilipo sikia jamaa ni mchekeshaji maana nilimuona sehemu anahojiwa ana akili za kitoto kabisa na mambo ya kitoto hakuna anachojua kabisa!Anachekesha wapi nasikia alienda Kenya kwenye show recently aliboa watu tu... zile hela za BBA ukipewa unaona nyingi ila kama mtu wa spending zinaishije fasta sasa....
Kasoma lakini sio utangazajiDauda shafih? Kama ni huyo jamaa kaenda shule
Hahahaahahh!! Lipstick zimefika kila kona ya duniaHuo ndo ujanja ujanja wenyewe yaani saundi nyingi hata madame si ni ceo wa endless fame lakini anasuply lipstick dunia nzima sasahivi
Alihitaji yote hayo au alitaka kujua kama anataaluma ya utangazaji?Kaishia form 4,Kasoma hotel Management pale magomeni sema tu ana shono flani si unajua huyu dogo ni mmanga?Mama ake alikuwa house girl ubalozi flani nchi za kiarabu hapa Dar,akazalishwa huyu dogo,ila waliofuata ni weusi wenzetu wanakaa Matejoo huku Arusha!
chezea mama ubaya!!!!!! dogo chaliiiiiikuishiwa kubaya, unaingia kichwa kichwa kwa madam
HahahahaaaaaMipunga imeshakata...huwezi kuishi na gumegume Wema Sepetu ukabaki salama..mwenzie CK kaishia kuuza mishikaki ya cherewa
Bora Madam anakuacha maskini ila sio yule andunje anatoa hadi uhai..Hahahahaaaaa
kwani matumizi ya hela kwa wanawake wa ki-mjini ninini??Jaman mbona kama sielewi hivi Wema hizi pesa anazopata kwa wanaume anafanyia nini? Maana ninaona anazeeka afu hakuna jipya analofanya
Yeuwuiiiiiii, auwiiiiiiiii, mbavu zangu jamanAlihitaji yote hayo au alitaka kujua kama anataaluma ya utangazaji?
Kamaliza form six mnyonge mnyongeni haki yake mpeniMbona mkasini alisema alienda JkT ile kws mujibu wa sheria.
Na huwa wanaenda baada ya kumaliza six?
Ns