Idris Sultani ndiye mshiriki wa BBA kutoka Tanzania

Idris Sultani ndiye mshiriki wa BBA kutoka Tanzania

Kwa nia njema kabisa, post husomwa na wengi, wapo wanaojifunza Kiswahili pia, ni vema kuandika vizuri.

Kwa mfano: Unakuta mtu anaandika "sukali ina radha nzuli njoo apa sasa ivi huonje ufulahi na loho yako..." nk.

Hivi mtu ukijaribu kurekebisha utakuwa umefanya 'dhambi' kiasi cha kutukanwa!?

Typing error siyo tatizo, zinaeleweka, kufupisha maneno pia haina shida, mfano, Katika = ktk, nk.

Ila pia inakera sana mtu anapoandika "xana" badala ya "sana" na mifano yake.

Ukiandika kwa utani kwa mfano '... inategemea ntu na ntu..' pia hainikeri.

Kimombo sijui vizuri.

Naomba radhi kwa Warumi na wote nilio wakwaza.

Ooh pole, nilijua una lengo lingine, haina noma bro, we endelea tu kunikosoa, maana mi nipo busy na umbea mambo ya kuangalia sijui nimekosea wala sijali maadam umbea umefika, karibu
 
Jamaa nmesoma nae advanced level, ni mtu mmoja charming na intelligent sana, he was a man of people. Kila mtu school alikuwa anamjua. Alisoma pcb na alifaulu akachaguliwa university but ni kama akina bil gate, alighairi for his passion, i.e kuwa a big celebrity through mass media. Huo ni mwanzo tu, wakati mie naenda kuanza md tuliweka covenant na jamaa , kuwa after ten years who eill be rich than the other

Acha kumtafutia kiki. Relax umaarufu unakuja automatically
 
Binamu nimeona kifaa cha Edzen Dida akalale mbele alikua anamzeesha tu kijana wa watu

Mbutananga na zile chupi alizotengeneza za I love u Edzen mweeeeeee
 
Binamu nimeona kifaa cha Edzen Dida akalale mbele alikua anamzeesha tu kijana wa watu

Mbutananga na zile chupi alizotengeneza za I love u Edzen mweeeeeee

Alikuwa anazingua tu watu ile harusi alialikwa tu.. akasema alikuwa anataka aone watu watasemaje.
 
Binamu nimeona kifaa cha Edzen Dida akalale mbele alikua anamzeesha tu kijana wa watu

Mbutananga na zile chupi alizotengeneza za I love u Edzen mweeeeeee

Dida atakuwa hana hamu, halafu mtoto mkali sana yule, mbuta nanga sijui zile chupi zake itakuwaje, naona uko alipo atazimia, maana hii kwake itakuwa ni bonge la surprise
 
Hahaa binamu Cheusi dawa alikua ana haraka ya harusi hadi akasahau kuvaa vitu vya ukweee... lile sio gauni la harusi ni la kipaimara

Dah!! Uko insta anapata michambo ya haja, na yeye naona hayupo nyuma anajibu mapigo, dah, kweli hii ndoa ya mden mark imempa umaarufu wa ghafla
 
Dah!! Uko insta anapata michambo ya haja, na yeye naona hayupo nyuma anajibu mapigo, dah, kweli hii ndoa ya mden mark imempa umaarufu wa ghafla

Hahaaa nae anajibu mwee.. sa anataka asifiwe wakati kale kagauni jamani kanasikitisha mtu kuvaa in ur big day na yeye ni mtu alikua amepania saaaana
 
Lol lile gauni la Lucy na viatu wamemwambia kavaa kama anaenda kipaimara lol
 
Back
Top Bottom