Idris Sultani ndiye mshiriki wa BBA kutoka Tanzania

Idris Sultani ndiye mshiriki wa BBA kutoka Tanzania

Nshamuacha binamu yangu wa ukwee, twendelee na ubuyu wetu, leo mtaa wa pili naona kimya ila najua lazima tu watusome maana sisi ni kama maji humu, usipotuoga lazima utunywe

Na usipotuogaa lazima ututawazee tu kwiiiii kwiiiiii
 
Si uniquote mie na wengine unaniboaa bana nawee,tujadili petit na bibi yake

Poa, huyo pet ndo alikuwa anajishaua ana surprise anatakufanya ndo ya kuoa hilo jini mtu? Mfyuu si wangefanya harus babu kubwa hela yenyew hawana mbwa tu wale, watupishe, kwanza huyo pet anaoa ana kazi gan?
 
Na usipotuogaa lazima ututawazee tu kwiiiii kwiiiiii

Wananunaje sasa? Watuache miaka mie, mmh sasa huyo pet nae ana kazi gani jaman? Ndomo na yeye kakubal huyo poyoyo amuoe dada yake? Mama ubaya apo anaonaje wivu? Kwi kwi kwi kwi kazi anayo mwaka huu
 
Na usipotuogaa lazima ututawazee tu kwiiiii kwiiiiii

Kuna watu wanajua kujipendekeza humu, mmh yani anataka tu na yeye ajulikane kama warumi, mie nimeaga kwetu shaur zake we muache tu kama hajarud moshi na pedo yake ya blue
 

Attachments

  • 1411159105443.jpg
    1411159105443.jpg
    54.1 KB · Views: 347
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1411159785444.jpg
    1411159785444.jpg
    42.4 KB · Views: 325
Last edited by a moderator:
Anaitwa jully didas masaburi.mtoto wa meya wa jiji hili la dar,mtoto wa mbunge janeth masaburi,jiran yangu tabata segerea,baada ya baba yake kugombea umeya wakahamia sea view upanga,..namjua fika,sasa hivi kawa begi la unga.best yake mkubwa jack patrick kabla hajafungwa..huyu ndo julie au mtoto wa meya.
 
Dinazarde umeona?? Mama ubaya alie tu mwaka huu
 

Attachments

  • 1411160164355.jpg
    1411160164355.jpg
    35.9 KB · Views: 302
Last edited by a moderator:
Anaitwa jully didas masaburi.mtoto wa meya wa jiji hili la dar,mtoto wa mbunge janeth masaburi,jiran yangu tabata segerea,baada ya baba yake kugombea umeya wakahamia sea view upanga,..namjua fika,sasa hivi kawa begi la unga.best yake mkubwa jack patrick kabla hajafungwa..huyu ndo julie au mtoto wa meya.

Duh, sasa kama kwao zipo mbona anakiuza hivo? Dah maana mtoto kahaba kama kwao hawana pesa, ivi siku izi kapanga au bado anaishi kwao?
 
Dinazarde umemuona edzen nae kafunga ndoa? Wapi mama wa ikulu aka shangingi la jiji, Mrembo by Nature, Mamaafacebook, Heaven Sent, ram, amu, mamakibunju, geniveros, princess sayuni, Matola, BADILI TABIA, TATIANA, lolowapi kujeni uku mpate ubuyu mpyaa

Eeeeeeeee ni sheeeeedaaaaa shughuli imevamiwa bina nakuambia kesho kutwa au wiki ijayo utasikia Dida nae kafunga ndoa lazima atawajibu,na hivi ndoa za waislam hazinaga gharama basi ni kumuita th shehe,ila kaoa mzurii wallah ukisema cha nini wenzio wanasema watakipata liniiiiiiiiiiiii
Mbuta Nanga nae vipii? ?kaachwa kwenye mataaa
 
Last edited by a moderator:
Eeeeeeeee ni sheeeeedaaaaa shughuli imevamiwa bina nakuambia kesho kutwa au wiki ijayo utasikia Dida nae kafunga ndoa lazima atawajibu,na hivi ndoa za waislam hazinaga gharama basi ni kumuita th shehe,ila kaoa mzurii wallah ukisema cha nini wenzio wanasema watakipata liniiiiiiiiiiiii
Mbuta Nanga nae vipii? ?kaachwa kwenye mataaa

Chezeya edezen weye, wewe nawe ebu ntokee apa mbuta nanga ataolewa na nani mjini apa? Labda lemutuz ndo wataendana
 
Kuna watu wanajua kujipendekeza humu, mmh yani anataka tu na yeye ajulikane kama warumi, mie nimeaga kwetu shaur zake we muache tu kama hajarud moshi na pedo yake ya blue

Tena uliaga haswaaa ukanywea maji ya kunywa chooni wakuwaachee
 
Chezeya edezen weye, wewe nawe ebu ntokee apa mbuta nanga ataolewa na nani mjini apa? Labda lemutuz ndo wataendana

Hhhhhaaaaaa huko Uk hata mzungu hajampata loooo
 
ahahah, huyu jamaa nilikuwa namfuatilia sana kipindi yupo i view pale k nyama kwa raquey, alikuwa na vitu flani ivi unique na alikuwa anapenda sana umaarufu, anajua kujibeba halafu ana confidence, kwa kule mjengoni i hope atafanya poa kama mazingira yatakuwa rafiki naye, maana kule mtu lazima uwe na swaga za maana na confidence

Hivi kuna mtu ambae haumjui ww hapa TZ??? Ahahaha
 
Wananunaje sasa? Watuache miaka mie, mmh sasa huyo pet nae ana kazi gani jaman? Ndomo na yeye kakubal huyo poyoyo amuoe dada yake? Mama ubaya apo anaonaje wivu? Kwi kwi kwi kwi kazi anayo mwaka huu

Sijui ana kazi ganiii yaillah, na kale kenye sura ya kidemu Mirror kako wapiiiii teh teh.....
 
Anamtiaga baba yake aibu.mpk baasi yani.na hua hataki kujulikana kama mtoto wa masaburi!
 
Dinazarde umeona?? Mama ubaya alie tu mwaka huu

Nimeona binamu ni sheeedaa,bina..halaf yule Galis wa bongo movie vipii naona ni Hb haswaaa kina Hemmed wanajionaga wazuri sasa wazuri wameingiaaaa,bonge la mkaka huyo yumo kwenye Chausiku
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom