Idris Sultani ndiye mshiriki wa BBA kutoka Tanzania

Idris Sultani ndiye mshiriki wa BBA kutoka Tanzania

Wee?? Ila jamaa atakuwa kawagonga bhana akina lulu, maana na yeye ni kiwembe balaa hafai, yani wanaambukizana ukimwi tu

Itakuwa kweli manake lulu mambo haya ya uchunaji kaanza kitambo. Uzuri lulu hanaga show off za kipumbavu. Lulu ndio akikohoa tu tigo inafanya pufuuu manake Dogo kitambo Sana tokea akishindani miss perfect.
 
Lakini si nasikia Rummy kagonga penny,halaf Penny na Shilole viganja vya mikono kama sio vyao jamani kama wamevaa gloves nyeusi kream mbaya sana

Penny alikuwa anauza mkorogo kwa madada wa mjini labda kama ameacha sasa. Hahaha umenikumbusha wadada nimewaona Leo wazurii ila sasa mkorogo ulivyowafanya ni km gloves
 
Itakuwa kweli manake lulu mambo haya ya uchunaji kaanza kitambo. Uzuri lulu hanaga show off za kipumbavu. Lulu ndio akikohoa tu tigo inafanya pufuuu manake Dogo kitambo Sana tokea akishindani miss perfect.

Hivi kweli bongo movie uwaonyeshe mumeo au mpenzi labda awe hana pesa ndio watampisha hataree
 
Huyo ndo rummy Dinazarde, kwa namna hii Mrembo by Nature, apa rummy kashapiga zamani wala halina mjadala

Nimekumbuka hii pichaa kumbe mjamaa huyu ni nouma halaf pesa za sembe eee,kamaliza bongo movie yotee pesa mwanaharam pesa za sembe hiziiii
 
Last edited by a moderator:
Hivi kweli bongo movie uwaonyeshe mumeo au mpenzi labda awe hana pesa ndio watampisha hataree

Hahahaha hebu Fanya experiment tuone Kama hujatoka kamasi LA chuma. Wakimkata wanamuachia akiwa mweuppeeeee Kama dalas na Mme wa aunt ezekiel
 
Nimekumbuka hii pichaa kumbe mjamaa huyu ni nouma halaf pesa za sembe eee,kamaliza bongo movie yotee pesa mwanaharam pesa za sembe hiziiii

Ndo huyo, nasikia hadi zamaradi mketema kachapwa , yani naanza kuamini maneni ya team ukweli maana alisemaga jamaa hana masihara na uchi wa binadamu yeyote hata mbuzi ye twende, uzuri wake ye aangalii sura, ye kama una k twende yani hana kusema sijui yule sio type yangu, ye twende
 
Ndo huyo, nasikia hadi zamaradi mketema kachapwa , yani naanza kuamini maneni ya team ukweli maana alisemaga jamaa hana masihara na uchi wa binadamu yeyote hata mbuzi ye twende, uzuri wake ye aangalii sura, ye kama una k twende yani hana kusema sijui yule sio type yangu, ye twende

Nilicheka sana et akikutaka usijione upo juu maana hata mbuzi anatongozaaa
 
Hahahaha hebu Fanya experiment tuone Kama hujatoka kamasi LA chuma. Wakimkata wanamuachia akiwa mweuppeeeee Kama dalas na Mme wa aunt ezekiel

Kwa kweli ni shedaaaaa sio wa kuwazoea hao dawa yao ni kuwatym tu
 
Nilicheka sana et akikutaka usijione upo juu maana hata mbuzi anatongozaaa

Na huyu ndo haider kavira, alikuwaga bwan wa penny, mama ubaya ndo akaja kumchukua, maana na yeye huyu jamaa ana mpunga wa maana na ni rafiki sana wa rummy, so demu atakayepiga rummy jamaa lazima amtonye mshkaji na yeye anapiga, yani wanawachafua sana mastaa wabongo, na hawapindui kwa kuwa jamaa pesa wanazo, huyy nae kashapiga sana julie, nasikia kamgonga hadi martin kadinda kule boko kwa gheto la mshkaji wa huyu jamaa
 

Attachments

  • 1411155506246.jpg
    1411155506246.jpg
    61.1 KB · Views: 425
Na huyu ndo haider kavira, alikuwaga bwan wa penny, mama ubaya ndo akaja kumchukua, maana na yeye huyu jamaa ana mpunga wa maana na ni rafiki sana wa rummy, so demu atakayepiga rummy jamaa lazima amtonye mshkaji na yeye anapiga, yani wanawachafua sana mastaa wabongo, na hawapindui kwa kuwa jamaa pesa wanazo, huyy nae kashapiga sana julie, nasikia kamgonga hadi martin kadinda kule boko kwa gheto la mshkaji wa huyu jamaa

Kijana mzuri, hivi binamu wanaume wenye pesa ndio wanaongoza kwa kua na mademu wengi na umalayaa au pesa zinawalevya,hivii hata Mengi yupo hiviii
 
Uzuri wa julie si anajijua ye anataka pesa tu
Lakini aliempa gari si ni huyo Julie au kuna mwingine tenaa

Julie ana drve gar flan ivi ndog ndog kali sana sijui inaitwaje sijawah kuziona sana apa town, hawa malaya mar nyingi wanapewa tu waendeshe, keshi utamuona na rav 4, mara brevis ilimrad fujo tu ila sidhan kama yanakuwa yakwao kweli
 
Kijana mzuri, hivi binamu wanaume wenye pesa ndio wanaongoza kwa kua na mademu wengi na umalayaa au pesa zinawalevya,hivii hata Mengi yupo hiviii

Jamaa kawa mzuri baada ya pesa kumtembelea, pesa haimkatai mtu binamu, nasikia kapiga had hamisa mobetto
 
Itakuwa kweli manake lulu mambo haya ya uchunaji kaanza kitambo. Uzuri lulu hanaga show off za kipumbavu. Lulu ndio akikohoa tu tigo inafanya pufuuu manake Dogo kitambo Sana tokea akishindani miss perfect.

Aisee!!!
 
Back
Top Bottom