Idris sultani si mtangazaji, bali ni mchekeshaji wa kuiga

Idris sultani si mtangazaji, bali ni mchekeshaji wa kuiga

Nilianza kumkubali idris kwa mara ya kwanza kule mjengoni, alikua na character ya aina yake, toka atoke kule naona akawa anatafuta njia ya kuendelea kubaki kileleni, bahati mbaya huko kwenye comedy ndo kapotea kabisa, anachekesha kwa kubahatisha sana sio kipaji chake, labda ajaribu kuigiza serious movies nadhan zitamfaa
 
Nilianza kumkubali idris kwa mara ya kwanza kule mjengoni, alikua na character ya aina yake, toka atoke kule naona akawa anatafuta njia ya kuendelea kubaki kileleni, bahati mbaya huko kwenye comedy ndo kapotea kabisa, anachekesha kwa kubahatisha sana sio kipaji chake, labda ajaribu kuigiza serious movies nadhan zitamfaa
Anakera wasikilizaji tu
 
Tuna haki ya kutoa maoni idris anatangaza vibaya jamani kiukweli anamuiga mchomvu halafu mbona hachekeshi hana comedy yeyote halafu hata hiyo comedy inamshushia hadhi anaonekana kama punguani aliyejitoa akili..uko smart idris kuanzia kuvaa hadi kuongea lakini ukianza hayo macomedy yako unakera watu wanaokukubali ni wa instagram tena team wema na wanajilazimisha kucheka
 
Idris hachekeshi,ukisikia mtu kavamia fani ambayo si yake ndo huyu jamaa
 
Nashangaa sana hawa clouds fm kumpa ajira huyu dogo asiye na kipaji.huyu dogo anatangaza choice fm kuanzia 12:00 -01:00 mchana,ila kutangaza hajui kabisa.kwanza anazingua sana na anaiga sana ,anaongea kama Adamu mchomvu na hata zile joks zake ni kama za Mchomvu tu.kiukweli hajui hata kutangaza kabisa,na ndio maana tunasema choice fm imepoteza mvuto,sio ile ya kina Tandy,Vannesa,Chriss,yaani redio imekuwa ya hovyo na hata watangazaji nao wamekuwa ni wa hovyo

Tatizo la Clouds ni kwamba management yake bado haijitambui...Idriss hana kigezo chochote cha utangazaji, anaongea kama ana chat fesibuku au mazungumzo ya kijiweni. Hizi redio za wauza unga kwa kweli ni sida.
 
Nilianza kumkubali idris kwa mara ya kwanza kule mjengoni, alikua na character ya aina yake, toka atoke kule naona akawa anatafuta njia ya kuendelea kubaki kileleni, bahati mbaya huko kwenye comedy ndo kapotea kabisa, anachekesha kwa kubahatisha sana sio kipaji chake, labda ajaribu kuigiza serious movies nadhan zitamfaa
Nasikia ana ndoto za kuenda Hollywood kupambana na akina Kevin Hart [emoji2]
 
Dogo analazimisha sana comedy, hata ile stage comedy aliyokuwepo na kina mc pilipilj aliboronga, kiufupi huwa hanivunji mbavu
 
Tuna haki ya kutoa maoni idris anatangaza vibaya jamani kiukweli anamuiga mchomvu halafu mbona hachekeshi hana comedy yeyote halafu hata hiyo comedy inamshushia hadhi anaonekana kama punguani aliyejitoa akili..uko smart idris kuanzia kuvaa hadi kuongea lakini ukianza hayo macomedy yako unakera watu wanaokukubali ni wa instagram tena team wema na wanajilazimisha kucheka
Yaani sijui wamemuokota wapi huyu dogo,sio wivu wala nini kiufupi hajui kujibrand
 
Nashangaa sana hawa clouds fm kumpa ajira huyu dogo asiye na kipaji.huyu dogo anatangaza choice fm kuanzia 12:00 -01:00 mchana,ila kutangaza hajui kabisa.kwanza anazingua sana na anaiga sana ,anaongea kama Adamu mchomvu na hata zile joks zake ni kama za Mchomvu tu.kiukweli hajui hata kutangaza kabisa,na ndio maana tunasema choice fm imepoteza mvuto,sio ile ya kina Tandy,Vannesa,Chriss,yaani redio imekuwa ya hovyo na hata watangazaji nao wamekuwa ni wa hovyo
Ahaaa kumbe wapemba wanaojua ngeli.....
 
Back
Top Bottom