mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,390
Kwanini asiachane na utangazaji asimamie miradi yake tu
Kwa hiyo Mimi msikilizaji wao nikiona wanakosea nisikosoe!?kwa ninavojua TZ ina redio stations nyingi tu, kama choice ni mizinguo......sio mbaya ukiacha kuwasikiliza
Mkuu kama lengo ni kuchekesha wangekupa tu#ok back in topic huyo chalii alivyoshinda na "kuitangaza nchi" mi nikajua kijana mwenzetu katoka sasa kusikia anatafuta ajira nikajua basi zile hela huwarudia wenyewe!!!!Ipi,
Unajua matumizi ya madam kwa siku ?
Anakera wasikilizaji tuNilianza kumkubali idris kwa mara ya kwanza kule mjengoni, alikua na character ya aina yake, toka atoke kule naona akawa anatafuta njia ya kuendelea kubaki kileleni, bahati mbaya huko kwenye comedy ndo kapotea kabisa, anachekesha kwa kubahatisha sana sio kipaji chake, labda ajaribu kuigiza serious movies nadhan zitamfaa
hahaaaaaaa umewagusa penyeweTimu wema wanacheka mpaka basi,ila siku wakisikia wema na idilisa wamegombana basi jamaa hata akiwachekesha hawacheki.
Nashangaa sana hawa clouds fm kumpa ajira huyu dogo asiye na kipaji.huyu dogo anatangaza choice fm kuanzia 12:00 -01:00 mchana,ila kutangaza hajui kabisa.kwanza anazingua sana na anaiga sana ,anaongea kama Adamu mchomvu na hata zile joks zake ni kama za Mchomvu tu.kiukweli hajui hata kutangaza kabisa,na ndio maana tunasema choice fm imepoteza mvuto,sio ile ya kina Tandy,Vannesa,Chriss,yaani redio imekuwa ya hovyo na hata watangazaji nao wamekuwa ni wa hovyo
wanaosema huyo jamaa anachekesha wana matatizo
Ana mradi gani?[emoji15]Kwanini asiachane na utangazaji asimamie miradi yake tu
Nasikia ana ndoto za kuenda Hollywood kupambana na akina Kevin Hart [emoji2]Nilianza kumkubali idris kwa mara ya kwanza kule mjengoni, alikua na character ya aina yake, toka atoke kule naona akawa anatafuta njia ya kuendelea kubaki kileleni, bahati mbaya huko kwenye comedy ndo kapotea kabisa, anachekesha kwa kubahatisha sana sio kipaji chake, labda ajaribu kuigiza serious movies nadhan zitamfaa
PROJECT YA KUMMIMBA SEPETUNGA[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ana mradi gani?[emoji15]
kipind cha malavidav kuanzia sa nne hiiGigy money naye mtangazaji[emoji15] [emoji15] [emoji15] wa kipindi gani mkuu
Yaani sijui wamemuokota wapi huyu dogo,sio wivu wala nini kiufupi hajui kujibrandTuna haki ya kutoa maoni idris anatangaza vibaya jamani kiukweli anamuiga mchomvu halafu mbona hachekeshi hana comedy yeyote halafu hata hiyo comedy inamshushia hadhi anaonekana kama punguani aliyejitoa akili..uko smart idris kuanzia kuvaa hadi kuongea lakini ukianza hayo macomedy yako unakera watu wanaokukubali ni wa instagram tena team wema na wanajilazimisha kucheka
Ahaaa kumbe wapemba wanaojua ngeli.....Nashangaa sana hawa clouds fm kumpa ajira huyu dogo asiye na kipaji.huyu dogo anatangaza choice fm kuanzia 12:00 -01:00 mchana,ila kutangaza hajui kabisa.kwanza anazingua sana na anaiga sana ,anaongea kama Adamu mchomvu na hata zile joks zake ni kama za Mchomvu tu.kiukweli hajui hata kutangaza kabisa,na ndio maana tunasema choice fm imepoteza mvuto,sio ile ya kina Tandy,Vannesa,Chriss,yaani redio imekuwa ya hovyo na hata watangazaji nao wamekuwa ni wa hovyo