Idris sultani si mtangazaji, bali ni mchekeshaji wa kuiga

Alikuwa mpiga picha mzuri tu na nina uhakika kama angekiendeleza kipaji chake kwa mtaji alioupata bhasi angekuwa mbalii sana...

Tatizo inaonekana anapenda kazi za kujulikana sana (ndo kazi wazipendazo vijana wengi wa dar )....
Anapata spotlight kupitia madam wa wasiojielewa....atakuja kushtuka huku kumeshakucha..

May God rescue him
 
Timu wema wanacheka mpaka basi,ila siku wakisikia wema na idilisa wamegombana basi jamaa hata akiwachekesha vipi hawacheki.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Una miaka mingapi wewe?
 

Mkuu naskia siku moja alienda nairob kuchekesha mwenye hiyo clip yake ya uchekeshaji atuwekeee hapa.
 
serious guys, mimi nimfatiliaji nzuri sana was comedy za kila aina, Stand up comedies, action comedies, word/verbal comedies, any every type of comedies... At the moment namuangalia sana TREVOH NOAH na KEVIN HART ( sorry kama nime kosea uandishi wa majina yao). But this guy Idris hana comedy yoyote, Ana copy sana...
 
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji12] [emoji12]
 
Huyu ni kichaa sio mchekeshaji!
 
Usiombe siku moja uwe millionaire and the next kapuku, kila fani utaiona yako. Muacheni atange tange. The guy gotta eat and feed 'madam' pia ambae mlo wake mmoja alisema unagharimu 30000 ni haki yake ajitoe fahamu. Nahisi muda si mrefu atakuwa mwanasiasa na yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…