Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama amenunua nyumba amefanya vema. Akiishiwa anaipangisha nae apanga uswahilini na faida atapata
Mi nilijua atanunua walau range evoque kama ya jide?? Sasa nyumba yote hyo anapak gari amabyo warumi anatumia kwenda nayo kupiga umbea? Hapana kwa kweli sio gari hlo
Angekuwa na washauri wazuri hiyo mil 500 ingezaaa mara mbili.
Mkuu si unajua hela za ngekewa...
Mi nilijua atanunua walau range evoque kama ya jide?? Sasa nyumba yote hyo anapak gari amabyo warumi anatumia kwenda nayo kupiga umbea? Hapana kwa kweli sio gari hlo
Mbona anasema na watu wansema hiyo nyumba kahongwa na mwanaume...
Mi nilijua atanunua walau range evoque kama ya jide?? Sasa nyumba yote hyo anapak gari amabyo warumi anatumia kwenda nayo kupiga umbea? Hapana kwa kweli sio gari hlo
Angekuwa na washauri wazuri hiyo mil 500 ingezaaa mara mbili.
We si hulipendi hili jukwaa la kipashikuna mbona nawe umo tu teh teh
yani mtu akitaja RANGE mwili wote unasisimka na vinyolea vinasimama......naipenda RANGE jamani.....
Pole mamii.Mimi napenda BMW kama lile la diamond.Yaani nikiliona nasimama kabisa!