Wanaume wenzangu wa JF mlio na ID changa msivunjike moyo...
kwani Mwajuma wa Jf anayelilia ID kongwe ndio yuleee Mwantumu wa mtaani kwenu anayeshobokea kibaby walker chako
nasemajeeee msivunjike moyoo pambaneni tuu hakuna namna [emoji23]
cha msingi ukimpata demu mtaani wewe jenga taswira ndio huyu wa Jf anayetumia ID ya ____[emoji23][emoji23]
eheheh ID kongwe sio
Uzury wa rizki kila mtu na fungu lake,Aisee ukikosa wa kale wa sasa yupo wacha nijiopolee na mpya mwenzangu.
Ahsantee..itabidi uanzishe basi thread ya kutusifia na sisi wabeba zege tusisahaulikePolee
kabisaaaa insta babe....nawapa mbinu kidogo πππ siwezi kukuangusha hata kidogo πππEwaaaaa insta babe kama unavyomjenga shunie wako
Nakuja pm kwenye wakongwe insta babe upo wewe usiniangushe sasa
Na hasa kwa fake id hizi ni ngumu sana kujiaminisha maneno ya demiss.Yaani unachowaza dada akee na mm hiko yaani mambo ni kinyume kabisa
Mtu ana I'd kongwe kwa mawazo ya demiss atajua mtu mzima kumbe mtu yupo sawa na mdogo wake wa mwisho
Wapo wakongwe wa I'd kongwe lakini sio wote ni watu wazima wengine watoto
Naanzaje mkuu mm we subili wenye kuandika hizo thread za kusifiwa huwezi juwa siku moja utakuwepo tuAhsantee..itabidi uanzishe basi thread ya kutusifia na sisi wabeba zege tusisahaulike
habari mrembo!1 yanini kucheka hivoππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahah.. pamoja sana mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hivi ndo wanaume huokolea Mkuu [emoji120] [emoji120]
kabisaaaa insta babe....nawapa mbinu kidogo [emoji23][emoji23][emoji23] siwezi kukuangusha hata kidogo [emoji23][emoji23][emoji23]
Safi za wewe nimefurahi ulivyoshangaahabari mrembo!1 yanini kucheka hivoππ
Mkuu hapa Furaha tu,naenjoy kua hapa.Mkuu usiwe mnyonge kabisa uwe na amani tu ndio mambo ya jf haya
Kweli ngoja nisubiri...subira yavuta heriNaanzaje mkuu mm we subili wenye kuandika hizo thread za kusifiwa huwezi juwa siku moja utakuwepo tu
πππππ siwajazi bwana...Hahaha
Unawajaza na i'd zao mpya
kwa macho tumekula wengi aiseeπHata ukinibania ila nishaonja japo kwa macho[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu hapa Furaha tu,naenjoy kua hapa.