Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ewaaaaa insta babe kama unavyomjenga shunie wako
Nakuja pm kwenye wakongwe insta babe upo wewe usiniangushe sasa
Nakuja pm kwenye wakongwe insta babe upo wewe usiniangushe sasa
Wanaume wenzangu wa JF mlio na ID changa msivunjike moyo...
kwani Mwajuma wa Jf anayelilia ID kongwe ndio yuleee Mwantumu wa mtaani kwenu anayeshobokea kibaby walker chako
nasemajeeee msivunjike moyoo pambaneni tuu hakuna namna [emoji23]
cha msingi ukimpata demu mtaani wewe jenga taswira ndio huyu wa Jf anayetumia ID ya ____[emoji23][emoji23]