ID's kongwe JamiForums ndo habari ya mjini!!

Nakuja pm tuzungumzie kuhusu kilimo cha chura wale wakubwa
 
Hahahaha yeye akishawaona uko kwenye jukwaa la ujasiriamali an a changing I kids kumbe hajui wengine wanatumwa na wazazi wao
ajui kuwa katumwa na baba atafute soko la kuku mtandaoni demiss akiona anachanganyikiwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka Dada.

Wakati hao hao wengine wana id mpya wanakuja kama watoto wadogo vile kumbe wana id zina miaka kibao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Wanajidogoshaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaaaaah...but mademu wa humu huwa hawashoboki na mtu aiseee mpaka wagundue unahela...hii ya I'd ya zamani ndo mpya meisikia leo...inabidi nikafufue ile I'd yangu ya zamani nisije poteza bahati bure
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kesho tutakuja na wenye I'd za kingereza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…