ID's kongwe JamiForums ndo habari ya mjini!!

ID's kongwe JamiForums ndo habari ya mjini!!

Hawa ndo watu ninaowapenda na kuwazimikia.

Eti mnakaa mnadanganyana kulike na kureply comment za wabebez ukienda PM watakuelewa ptuuuuu[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]mnajidanganyaaa mxeeew

Naona kuna wakaka wanahangaika kujipendekeza kwa threads kibao za kujibebisha kwa mabebezi [emoji57][emoji57][emoji57] ili mpendwe na mjibiwe PM zenuu mxeeew mnajidanganya.

Habari ya mujini ni I'd kongwee tena wala hazipo chitchat wala MMU wapo majukwaa ya biashara huko mtu anaulizia jinsi ya kuanzisha kampuni au mradi wa kufuga kuku eeeh utaachaje kujibu PM yakee [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]

Eeeh sasa Demiss nimeshasema habari ya mujini ni I'd kongwee za kuanzia 2000 mpaka 2015 hiyo ndo habari ya mujini weeeh


Ukija kwangu unalike na kujipendekeza usizan nitakufeeel walaa unajidanganya mabebez wanaopenda hivyooo nawaambia hivi mnaingizwaa chakaaaaaa.
Kwanza mkae mkijua mchawi pesaaaaaaaaaaaaa.


Acheni kupoteza muda kwa kujibebisha kwa wabebez I'd kongwe zinawacheka kihutuuuu maana wanafauduuu kimyakimyaaaa.

Mke wa kalumanzila hapaaaa Demiss.
Unanisema mimi ? Ujue uko na bro kwa sababu mimi ndio namshika masikio..? [emoji23][emoji23]
 
Jaribu uwe unatumia herufi au maneno,maana hizo alama huwa sielewi maana yake nini.

Na lengo la kuwasiliana ni kuelewana kila mmoja..

Niko chini ya miguu yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeona mtani nikatia dole gumba,mie humu mtani huwa nakuja kuzuga tu ,kufurahi furahi ,nyuzi km hz

Ila mtani nasikia kuna MTU anataka kubeba mabegi yake kwenye mambo yetu yal
Hahahaaa. Bora aiseee.

Hata na mie nimesikia ujue. Ila sasa ndio ukizipata za uhakika na mie uje kunipatia nisherehekee. 💃💃💃💃💃💃
 
Back
Top Bottom