Idugunde: Tusipotoshe umma wafuasi na wanachama wa CHADEMA hawatetei majambazi wala uhalifu. Criminal justice must prevail

Idugunde: Tusipotoshe umma wafuasi na wanachama wa CHADEMA hawatetei majambazi wala uhalifu. Criminal justice must prevail

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kwenye ukweli basi ukweli uwekwe wazi.

Hakuma mtanzania anyependa uhalifu. Kama jambazi ana silaha na anakiwa mkaidi kutii basi huyo ni halali ya polisi.

Lakini inasikitisha kusikia kuwa mtuhumiwa alikamatwa nyumbani kwake na mpaka binti yake na yeye wakavuliwa nguo ili wafanye mapenzi kisa tu waseme ilipo bunduki. Na baadae mtuhumiwa kuuuawa.

Vipi haya matukiao ya watuhumiwa kujinyonga vituo vya polisi. Ina maana kwa sababu mtu ukiwa mwanaCCm ndio uamini kuwa mtuhumia ataingia na nguo ya kujinyongea selo ya polisi?

Inapofikia suala la haki ya raia tuweke siasa kando.
 
Kwenye ukweli basi ukweli uwekwe wazi.

Hakuma mtanzania anyependa uhalifu. Kama jambazi ana silaha na anakiwa mkaidi kutii basi huyo ni halali ya polisi.

Lakini inasikitisha kusikia kuwa mtuhumiwa alikamatwa nyumbani kwake na mpaka binti yake na yeye wakavuliwa nguo ili wafanye mapenzi kisa tu waseme ilipo bunduki. Na baadae mtuhumiwa kuuuawa.

Vipi haya matukiao ya watuhumiwa kujinyonga vituo vya polisi. Ina maana kwa sababu mtu ukiwa mwanaCCm ndio uamini kuwa mtuhumia ataingia na nguo ya kujinyongea selo ya polisi?

Inapofikia suala la haki ya raia tuweke siasa kando.
Ngoja.. yuu viii sisiemu waje!!!
 
Umetonesha kidonda mkuu.hawa wahuaji hivi siku wakifa watamwambia nini MUNGU??mbaya zaidi wanaabudu siku za ibada.ila ikifika kusaka fedha wanaua.
tusiwakamate polisi na kuwaua
 
Viongozi wa dini nao wamezidi woga aisee wapo kimya kama vile hakuna kitu kinaendelea wakumbushe watawala na hawa policcm ile amri ya usiue hivi ni amri ya ngapi ?? inawezekana polisi hawaijuhi amri ya 5.na hawa jamaa wanajiona kama wao sio binadamu.na huyu anayejiita raisi wa watanzania akemee hii ishu.
 
Viongozi wa dini nao wamezidi woga aisee wapo kimya kama vile hakuna kitu kinaendelea wakumbushe watawala na hawa policcm ile amri ya usiue hivi ni amri ya ngapi ?? inawezekana polisi hawaijuhi amri ya 5.na hawa jamaa wanajiona kama wao sio binadamu.na huyu anayejiita raisi wa watanzania akemee hii ishu.
Good point
 
Kwenye ukweli basi ukweli uwekwe wazi.

Hakuma mtanzania anyependa uhalifu. Kama jambazi ana silaha na anakiwa mkaidi kutii basi huyo ni halali ya polisi.

Lakini inasikitisha kusikia kuwa mtuhumiwa alikamatwa nyumbani kwake na mpaka binti yake na yeye wakavuliwa nguo ili wafanye mapenzi kisa tu waseme ilipo bunduki. Na baadae mtuhumiwa kuuuawa.

Vipi haya matukiao ya watuhumiwa kujinyonga vituo vya polisi. Ina maana kwa sababu mtu ukiwa mwanaCCm ndio uamini kuwa mtuhumia ataingia na nguo ya kujinyongea selo ya polisi?

Inapofikia suala la haki ya raia tuweke siasa kando.
Polisi wanachukua watuhumiwa 4 lockup saa 8 usiku bila pingu ili wakaonyeshe silaha porini? Haya maigizo nayo yanaungwa mkono na wana CCM?
 
Kwa sasa mtu yoyote anaweza kufanyiwa unyama wowote ndani ya nchi hii, na wapinzani wakihoji ndio hilo suala linatupiliwa mbali kabisa. Hii tabia ya kuhakikisha jambo lolote linalopigiwa kelele na wapinzani linafumbiwa macho na serikali,ilianza kidogo kidogo wakati wa JK, ilipofika wakati wa Magufuli ndio hii tabia ikahalalishwa rasmi. Sababu hasa ya kufumbia madhaifu yote yanayopigiwa kelele na wapinzani hasa CDM, ni kwenye kile kinachoonekana kama kuwapandisha CDM kisiasa kuwa ni watetezi wa wananchi.

Kama CCM itaendelea kukaa madarakani hivi hivi kwa shuruti huku wapinzani wakipigia kelele madhaifu ya serikali, mambo hayo tusitegemee kupatiwa ufumbuzi wowote, maana serikali ya CCM haitakuwa tayari kutekeleza lolote linalopigiwa kelele na wapinzani, kwani itaonekana ni kama sehemu ya kuwapandisha wapinzani, na kuipotezea mvuto CCM. Hivyo vyombo vya dola wakishafanya jambo lolote chafu, wanataka wapinzani walihoji ili lisipatiwe ufumbuzi. Na kwakuwa CCM inakaa madarakani kwa kutumia vyombo vya dola, na vyombo vya dola vinajua ukweli huu, basi wanajua hakuna kiongozi yoyote wa serikali ya CCM atakayethubutu kuwahoji, kwani wanajua pia hao viongozi hawako madarakani kihalali.
 
Kwenye ukweli basi ukweli uwekwe wazi.

Hakuma mtanzania anyependa uhalifu. Kama jambazi ana silaha na anakiwa mkaidi kutii basi huyo ni halali ya polisi.

Lakini inasikitisha kusikia kuwa mtuhumiwa alikamatwa nyumbani kwake na mpaka binti yake na yeye wakavuliwa nguo ili wafanye mapenzi kisa tu waseme ilipo bunduki. Na baadae mtuhumiwa kuuuawa.

Vipi haya matukiao ya watuhumiwa kujinyonga vituo vya polisi. Ina maana kwa sababu mtu ukiwa mwanaCCm ndio uamini kuwa mtuhumia ataingia na nguo ya kujinyongea selo ya polisi?

Inapofikia suala la haki ya raia tuweke siasa kando.
Is it criminal justice or natural justice?! Ki-inglish ya shule za Kata ni kichefuchefu mno.
 
Polisi wanachukua watuhumiwa 4 lockup saa 8 usiku bila pingu ili wakaonyeshe silaha porini? Haya maigizo nayo yanaungwa mkono na wana CCM?
CCM wanaunga mkono ukatali wowote unaofanywa na polisi, maana wanajua watu wakiwa na hofu na vyombo vya dola, ni uhakika wa wao kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Kwahiyo huwezi kuona CCM yoyote kuhoji ukatali wa polisi kwani wanajua ukaaji wao madarakani wa kutumia vyombo vya dola, ndio umepelekea vyombo vya dola kufanya ukatali bila kuhojiwa.

Iwapo CCM itaendelea kukaa madarakani kwa shuruti huku wananchi wakiogopa mafungamano ya CCM na vyombo vya dola, basi vyombo vya dola vitafanya ukatali wowote watakao bila kuhojiwa. Bila machafuko tusitegemee mifumo hii michafu kubadilika.
 
Kwenye ukweli basi ukweli uwekwe wazi.

Hakuma mtanzania anyependa uhalifu. Kama jambazi ana silaha na anakiwa mkaidi kutii basi huyo ni halali ya polisi.

Lakini inasikitisha kusikia kuwa mtuhumiwa alikamatwa nyumbani kwake na mpaka binti yake na yeye wakavuliwa nguo ili wafanye mapenzi kisa tu waseme ilipo bunduki. Na baadae mtuhumiwa kuuuawa.

Vipi haya matukiao ya watuhumiwa kujinyonga vituo vya polisi. Ina maana kwa sababu mtu ukiwa mwanaCCm ndio uamini kuwa mtuhumia ataingia na nguo ya kujinyongea selo ya polisi?

Inapofikia suala la haki ya raia tuweke siasa kando.
Vipi haya matukiao ya watuhumiwa kujinyonga vituo vya polisi. Ina maana kwa sababu mtu ukiwa mwanaCCm ndio uamini kuwa mtuhumia ataingia na nguo ya kujinyongea selo ya polisi?

Inapofikia suala la haki ya raia tuweke siasa kando.[emoji1752][emoji1545]
 
Kwenye ukweli basi ukweli uwekwe wazi.

Hakuma mtanzania anyependa uhalifu. Kama jambazi ana silaha na anakiwa mkaidi kutii basi huyo ni halali ya polisi.

Lakini inasikitisha kusikia kuwa mtuhumiwa alikamatwa nyumbani kwake na mpaka binti yake na yeye wakavuliwa nguo ili wafanye mapenzi kisa tu waseme ilipo bunduki. Na baadae mtuhumiwa kuuuawa.

Vipi haya matukiao ya watuhumiwa kujinyonga vituo vya polisi. Ina maana kwa sababu mtu ukiwa mwanaCCm ndio uamini kuwa mtuhumia ataingia na nguo ya kujinyongea selo ya polisi?

Inapofikia suala la haki ya raia tuweke siasa kando.

Tuna jamii ya kijiñga sana. Haya ndiyo matokeo:

IMG_20220928_193111_561.jpg
 
Kwa sasa mtu yoyote anaweza kufanyiwa unyama wowote ndani ya nchi hii, na wapinzani wakihoji ndio hilo suala linatupiliwa mbali kabisa. Hii tabia ya kuhakikisha jambo lolote linalopigiwa kelele na wapinzani linafumbiwa macho na serikali,ilianza kidogo kidogo wakati wa JK, ilipofika wakati wa Magufuli ndio hii tabia ikahalalishwa rasmi. Sababu hasa ya kufumbia madhaifu yote yanayopigiwa kelele na wapinzani hasa CDM, ni kwenye kile kinachoonekana kama kuwapandisha CDM kisiasa kuwa ni watetezi wa wananchi.

Kama CCM itaendelea kukaa madarakani hivi hivi kwa shuruti huku wapinzani wakipigia kelele madhaifu ya serikali, mambo hayo tusitegemee kupatiwa ufumbuzi wowote, maana serikali ya CCM haitakuwa tayari kutekeleza lolote linalopigiwa kelele na wapinzani, kwani itaonekana ni kama sehemu ya kuwapandisha wapinzani, na kuipotezea mvuto CCM. Hivyo vyombo vya dola wakishafanya jambo lolote chafu, wanataka wapinzani walihoji ili lisipatiwe ufumbuzi. Na kwakuwa CCM inakaa madarakani kwa kutumia vyombo vya dola, na vyombo vya dola vinajua ukweli huu, basi wanajua hakuna kiongozi yoyote wa serikali ya CCM atakayethubutu kuwahoji, kwani wanajua pia hao viongozi hawako madarakani kihalali.
We jamaa unanikwaza sana kumhusisha hayati JPM na uonevu. Lini JPM alipuuza kero za wananchi walionewa? Acha zako.
 
Kwa sasa mtu yoyote anaweza kufanyiwa unyama wowote ndani ya nchi hii, na wapinzani wakihoji ndio hilo suala linatupiliwa mbali kabisa. Hii tabia ya kuhakikisha jambo lolote linalopigiwa kelele na wapinzani linafumbiwa macho na serikali,ilianza kidogo kidogo wakati wa JK, ilipofika wakati wa Magufuli ndio hii tabia ikahalalishwa rasmi. Sababu hasa ya kufumbia madhaifu yote yanayopigiwa kelele na wapinzani hasa CDM, ni kwenye kile kinachoonekana kama kuwapandisha CDM kisiasa kuwa ni watetezi wa wananchi.

Kama CCM itaendelea kukaa madarakani hivi hivi kwa shuruti huku wapinzani wakipigia kelele madhaifu ya serikali, mambo hayo tusitegemee kupatiwa ufumbuzi wowote, maana serikali ya CCM haitakuwa tayari kutekeleza lolote linalopigiwa kelele na wapinzani, kwani itaonekana ni kama sehemu ya kuwapandisha wapinzani, na kuipotezea mvuto CCM. Hivyo vyombo vya dola wakishafanya jambo lolote chafu, wanataka wapinzani walihoji ili lisipatiwe ufumbuzi. Na kwakuwa CCM inakaa madarakani kwa kutumia vyombo vya dola, na vyombo vya dola vinajua ukweli huu, basi wanajua hakuna kiongozi yoyote wa serikali ya CCM atakayethubutu kuwahoji, kwani wanajua pia hao viongozi hawako madarakani kihalali.
Na huu ndiyo ukweli wenyewe
 
Jambazi hana haki yoyote tuache siasa za majitaka na binafsi ninaposikia jambazi kauawa bila kujalisha mazingira lilivyokufa moyoni napata amani kujua kwamba tatizo limeondolewa.

Hata Osama aliliwa na familia yake alivyouliwa hivyo hakuna kifo kisicho na maumivu kwa wafiwa lakini kifo cha jambazi ni furaha sana kwa wapenda amani.

Tusiwajengee utamaduni wahalifu waamini mahakamani, gerezani au polisi ni mahali salama kwako. Mhalifu akifikishwa polisi akitoka ajute na akatubu na akitoka gerezani vivyo hivyo
 
Jambazi hana haki yoyote tuache siasa za majitaka na binafsi ninaposikia jambazi kauawa bila kujalisha mazingira lilivyokufa moyoni napata amani kujua kwamba tatizo limeondolewa.

Hata Osama aliliwa na familia yake alivyouliwa hivyo hakuna kifo kisicho na maumivu kwa wafiwa lakini kifo cha jambazi ni furaha sana kwa wapenda amani.

Tusiwajengee utamaduni wahalifu waamini mahakamani, gerezani au polisi ni mahali salama kwako. Mhalifu akifikishwa polisi akitoka ajute na akatubu na akitoka gerezani vivyo hivyo
Wewe una ushahidi gani kuwa waliouwawa kule serengeti ni majambazi? Kama mlikuwa na uhakika ni majamnazi kwa nini hawakupelekwa mahakamani kwa mujibu wa sheria?
 
Kwenye ukweli basi ukweli uwekwe wazi.

Hakuma mtanzania anyependa uhalifu. Kama jambazi ana silaha na anakiwa mkaidi kutii basi huyo ni halali ya polisi.

Lakini inasikitisha kusikia kuwa mtuhumiwa alikamatwa nyumbani kwake na mpaka binti yake na yeye wakavuliwa nguo ili wafanye mapenzi kisa tu waseme ilipo bunduki. Na baadae mtuhumiwa kuuuawa.

Vipi haya matukiao ya watuhumiwa kujinyonga vituo vya polisi. Ina maana kwa sababu mtu ukiwa mwanaCCm ndio uamini kuwa mtuhumia ataingia na nguo ya kujinyongea selo ya polisi?

Inapofikia suala la haki ya raia tuweke siasa kando.
Hakika leo umeongea bonge la point
 
Kwenye ukweli basi ukweli uwekwe wazi.

Hakuma mtanzania anyependa uhalifu. Kama jambazi ana silaha na anakiwa mkaidi kutii basi huyo ni halali ya polisi.

Lakini inasikitisha kusikia kuwa mtuhumiwa alikamatwa nyumbani kwake na mpaka binti yake na yeye wakavuliwa nguo ili wafanye mapenzi kisa tu waseme ilipo bunduki. Na baadae mtuhumiwa kuuuawa.

Vipi haya matukiao ya watuhumiwa kujinyonga vituo vya polisi. Ina maana kwa sababu mtu ukiwa mwanaCCm ndio uamini kuwa mtuhumia ataingia na nguo ya kujinyongea selo ya polisi?

Inapofikia suala la haki ya raia tuweke siasa kando.
Msimamo wangu uko thabiti, acheni kuuwa vijana kwa kisingizio Cha Panyaroad. Mbwa nyie mtakuja kufa midomo wazi
 
Back
Top Bottom