IEBC wadai Wakenya 6,553,858 walipiga kura

IEBC wadai Wakenya 6,553,858 walipiga kura

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati amedai kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba Wakenya wapatao 6,553,858 wamejitokeza na kupiga kura. Hii idadi imejumuishwa kutoka kwa maeneo bunge 267 nchini.

Awali alitangaza kuahirisha uchaguzi kwenye gatuzi nne za mkoa wa Nyanza baada ya wafuasi wa Raila wamekinukisha kule na kuvuruga shughuli za upigaji wa kura kufanyika. Hivyo ameahirisha hadi Jumamosi.

------------------------------------------------

IEBC Chairman Wafula Chebukati has said in a tweet that the latest actual figures from 267 constituencies show 6,553,858 Kenyans turned out to vote in the repeat presidential poll.

Mr Chebukati also posted on his Twitter handle that a comprehensive update on the elections results would be given Friday morning as the commission continues to receive more data.

Earlier in a press briefing at the Bomas of Kenya, the IEBC national tallying centre, Mr Chebukati said that 35,564 polling stations opened for voting Thursday morning, representing 87 percent of all the 40,883 polling centres in the country.

OPENING MESSAGE

Mr Chebukati also said that 5,319 polling stations did not send an opening message, indicating that either no voting took place or they had no access to network.

At the same time, Mr Chebukati said that voter turnout was estimated at 48 percent by 5pm Thursday.

In the four counties of Kisumu, Migori, Homa Bay and Siaya where voting was put off until Saturday due to protests staged by Nasa supporters, Mr Chebukati said that the commission will make decision on what happens next should challenges experienced in those areas still persist.

There were concerns that a number of residents who are Seventh-day Adventists may not come out to vote as Saturday is their day of rest.

But Mr Chebukati said that IEBC cannot keep extending voting after Saturday for areas that did not vote.
Chebukati: Over 6 million voters turned out
 
Sawa. Huku bongo tunajenga chuki kwa kuteua wababe wa upinzani kuwa wakuu wa mikoa. Tunajenga chuki na uongozi wa kujikomba. Tunaandaa mazingira mabovu ya kutotawalika. Sipati picha, uchaguzi wa 2020 utakuwaje? Kenya bado haijatoa somo kwa viongozi wa Tanzania walipo madarakani sasa. Badala ya kujifunza, wao wanaandaa bomu! Mungu tunusuru na kiama kijacho.
 
MK254,
Kwa idadi hiyo ya wapiga kura 6,553,858 waliojitokeza leo 26.10.2017 , asilimia 98 wamepigia kina UhuruRuto na ni kama counties 20 hivi kufuatana na ripoti za tabia za wapiga kura Kenya mwaka 2013 iliyomo ndani ya www.kenopalo.com hapa chini:
in 2013 Odinga beat Kenyatta in 27 of the 47 counties. The counties that Odinga won had a total of 8,373,840 voters, compared to5,977,056 in the 20 counties won by Kenyatta. The difference was turnout. The counties won by Odinga averaged a turnout rate of 83.3%. The comparable figure for counties won by Kenyatta was 89.7%. At the same time, where Kenyatta won, he won big — averaging 86% of the vote share. Odinga’s average vote share in the 27 counties was a mere 70%.
Source: www.kenopalo.com
 
Sawa. Huku bongo tunajenga chuki kwa kuteua wababe wa upinzani kuwa wakuu wa mikoa. Tunajenga chuki na uongozi wa kujikomba. Tunaandaa mazingira mabovu ya kutotawalika. Sipati picha, uchaguzi wa 2020 utakuwaje? Kenya bado haijatoa somo kwa viongozi wa Tanzania walipo madarakani sasa. Badala ya kujifunza, wao wanaandaa bomu! Mungu tunusuru na kiama kijacho.
Kama una mawazo ya upinzani mwaka 2020 kushika dola unapoteza muda kifo chake kilichafika
 
Jiongeze kidogo kufikiri. Usiwe na pupa kujibu. Tambua kilichandikwa na toa maoni kiuweledi. Hakuna mahali panapoupamba upinzani! Hoja ni kuandaa mazingira mabovu ya kutotawalika.
Mzingira mabovu ya kutotawalika? Ndio yapoje hayo.
 
Jiongeze kidogo kufikiri. Usiwe na pupa kujibu. Tambua kilichandikwa na toa maoni kiuweledi. Hakuna mahali panapoupamba upinzani! Hoja ni kuandaa mazingira mabovu ya kutotawalika.
Ushawah anzsha mgomo kwel?
 
Sawa. Huku bongo tunajenga chuki kwa kuteua wababe wa upinzani kuwa wakuu wa mikoa. Tunajenga chuki na uongozi wa kujikomba. Tunaandaa mazingira mabovu ya kutotawalika. Sipati picha, uchaguzi wa 2020 utakuwaje? Kenya bado haijatoa somo kwa viongozi wa Tanzania walipo madarakani sasa. Badala ya kujifunza, wao wanaandaa bomu! Mungu tunusuru na kiama kijacho.
Forget that mkuu,

Guess what?
Sikumchagua jpm but2020 nitamchagua JPM apige kazi miaka mitano mingine .
Na Watanzania wengi watafanya hivyo.
 
Sawa. Huku bongo tunajenga chuki kwa kuteua wababe wa upinzani kuwa wakuu wa mikoa. Tunajenga chuki na uongozi wa kujikomba. Tunaandaa mazingira mabovu ya kutotawalika. Sipati picha, uchaguzi wa 2020 utakuwaje? Kenya bado haijatoa somo kwa viongozi wa Tanzania walipo madarakani sasa. Badala ya kujifunza, wao wanaandaa bomu! Mungu tunusuru na kiama kijacho.
I may agree with you to some extent,

But let me tell you something, kwa sasa ni Vema kuachana na ushabiki wa vyama, na kuangalia maendeleo, a thing that JPM is perfectly doing it for us all.
May be Kama unataka umpate malaika aje akuongoze!
 
Sawa. Huku bongo tunajenga chuki kwa kuteua wababe wa upinzani kuwa wakuu wa mikoa. Tunajenga chuki na uongozi wa kujikomba. Tunaandaa mazingira mabovu ya kutotawalika. Sipati picha, uchaguzi wa 2020 utakuwaje? Kenya bado haijatoa somo kwa viongozi wa Tanzania walipo madarakani sasa. Badala ya kujifunza, wao wanaandaa bomu! Mungu tunusuru na kiama kijacho.
2020 itakua kawaida tu kama 2015 tu.
 
MK254,
Kwa idadi hiyo ya wapiga kura 6,553,858 waliojitokeza leo 26.10.2017 , asilimia 98 wamepigia kina UhuruRuto na ni kama counties 20 hivi kufuatana na ripoti za tabia za wapiga kura Kenya mwaka 2013 iliyomo ndani ya www.kenopalo.com hapa chini:

Siku zote Kenya kwenye kura za marudio Wakenya huwa hawajitokezi sana, angalia historia ya kura za marudio kwenye maeneo bunge.
Kingine huu uchaguzi haukua na ushindani hivyo hata wengi wa wanaomuunga mkono Uhuru hawakua na hamasa ya kuacha biashara wakapange foleni kumpigia kura ilhali hakua na upinzani.

Kingine ambacho husababisha watu kutoka ni pale wakati pana ushindani baina ya wabunge.

Kuhitimisha kuna gatuzi ambazo zilifungwa kabisa baada ya wafuasi wa Raila kuziba maeneo yote na kufanya fujo.
 
BREAKING NEWS CNN puts TURN-OUT in Kenya's PREPOSTEROUSLY FLAWED repeat election at 27%.
CNN is fake news according to their own president (Trump)! Waende kuandika habari za uchaguzi Wa NK kwa dogo kama wana ubavu!
 
Hmmm, interesting, very interesting indeed.

So on August 8th Uhuru got 8.2m votes yet this voter turnout was just 6.5m, even less than Raila's 6.7m votes. And considering that in the areas where voting was disrupted, NASA has a solid majority, while Uhuru's strongholds had a very strong voter turnout. I'm really starting to put his last win in big capital DOUBTS.
 
Hmmm, interesting, very interesting indeed.

So on August 8th Uhuru got 8.2m votes yet this voter turnout was just 6.5m, even less than Raila's 6.7m votes. And considering that in the areas where voting was disrupted, NASA has a solid majority, while Uhuru's strongholds had a very strong voter turnout. I'm really starting to put his last win in big capital DOUBTS.
Mutahi Ngunyi Tyranny of numbers myth put to test.
 
Hmmm, interesting, very interesting indeed.

So on August 8th Uhuru got 8.2m votes yet this voter turnout was just 6.5m, even less than Raila's 6.7m votes. And considering that in the areas where voting was disrupted, NASA has a solid majority, while Uhuru's strongholds had a very strong voter turnout. I'm really starting to put his last win in big capital DOUBTS.

But you are aware most of Uhuru's supporters didn't bother to turn up as the election was more of a show than competition.
There was nothing compelling or inspiring to cause them to come out in their millions. Those who showed up are more of diehards than typical supporters or moderates.
 
But you are aware most of Uhuru's supporters didn't bother to turn up as the election was more of a show than competition.
There was nothing compelling or inspiring to cause them to come out in their millions. Those who showed up are more of diehards than typical supporters or moderates.
Voter turn outs in his strongholds beg to defer with your account.

And then as we know, our dear Kenya is a country of fanatical followers rather than moderates. They even had the more reason to vote given that it's someone from the other political divide who asked voters to abstain from voting. why would they choose not to vote and in the event appear to have followed their arch enemy's calling?
 
This vote wasn't really whether Uhuru would win or not. It was rather not only whether his voters would heed his call and defy Raila, but also whether Raila's followers would heed his call and defy Uhuru's request to vote. In that respect, both claimed victory

But they both are stupid and I wish that we as a country would move past they and their families' and inner circle's egocentric needs.
 
Back
Top Bottom