johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tangu zoezi la uhakiki lianze hadi leo pale Bomas tumeshuhudia Kwaya mbalimbali zikiinjilisha ikiwemo Kwaya ya Mtakatifu Kizito kutoka Tanzania.
Lakini hatukuwaona waimbaji wa Kaswida.
Nadhani next time IEBC waliangalie Hili ili kupata Baraka za kutosha kama taifa
cc: Msaga Sumu - Nairobi Kenya
Lakini hatukuwaona waimbaji wa Kaswida.
Nadhani next time IEBC waliangalie Hili ili kupata Baraka za kutosha kama taifa
cc: Msaga Sumu - Nairobi Kenya