If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

Sehem ya 2 ya swali langu haijajibika. Umesema vizuri kua anatakiwa kuthibitisha kwa anaowambia,ili wafanyeje?

Kanuni huwezi kuithibitishia bali unaithibitisha.

Ili waweze kujua kama unalosema ni kweli au hekaya.

Katika habari nzima ya kuheshimu ukweli.

Hata kitabu kimesema ijueni kweli na kweli itawaweka huru.

Sasa kama huwezi kuthibitisha uwepo wa mungu, utajuaje kwamba habari ya kuwepo mungu ni kweli na si hadithi tu?
 
kaka km si unaona umeita wenzako mbwa. kwakuwa wakati unaumbwa wewe kulikuwa na extra special ingridients other than mud and God's breath

Sijatukana mkuu. Ni kweli kua mbwa wangu ni atheist. Prove me wrong kwamba mbwa anaamini Mungu yupo.
 
Last edited by a moderator:
Ili waweze kujua kama unalosema ni kweli au hekaya.

Katika habari nzima ya kuheshimu ukweli.

Hata kitabu kimesema ijueni kweli na kweli itawaweka huru.

Sasa kama huwezi kuthibitisha uwepo wa mungu, utajuaje kwamba habari ya kuwepo mungu ni kweli na si hadithi tu?

Sio kila mtu akiambiwa ukweli hukubali kua hii ni kweli,wengine huambiwa ukweli na bado wakaukataa wakasema ni hadith

sio sahihi kwamba watu wote wanataka waujue ukweli,watu wengine hukataa huo ukweli,inategemea na mtu anaetaka ajue huo ukweli ili afanye nini?
 
Sio kila mtu akiambiwa ukweli hukubali kua hii ni kweli,wengine huambiwa ukweli na bado wakaukataa wakasema ni hadith

sio sahihi kwamba watu wote wanataka waujue ukweli,watu wengine hukataa huo ukweli,inategemea na mtu anaetaka ajue huo ukweli ili afanye nini?

Ama mtu ataukubali au hataukubali ukweli, kwa wanaothamini ukweli, uthibitisho ni muhimu.

Ili kusudi, kama mtu atataka kuutumia uthibitisho ili kuhakiki ukweli aweze kufanya hivyo.

Asipotaka ni tatizo lake.

Kwa wanaothamini ukweli, kutoa uthibitisho ni muhimu hata kama kuna watu hawatathamini uthibitisho na ukweli, kwa sababu wengine watathamini.

Na kwenye ukweli, uongo hujitenga.

Just because kuna watu hawathamini ukweli -hawa wapi popote pale- hilo haliondoi umuhimu wa uthibitisho na uhakiki.

Chonde usije tega mtego wa panya uwanasao wakusudiwa na wasokusudiwa.
 
Kama hizi ni imani na mambo binafsi.mbona umekuja kutuhubiria hadharani hapa?

Mbona kaanisani wanapiga kengele na msikitini wanapiga adhana?

Ina maana hawajui kwamba ni imani binafsi? Mbona wanafanya mambo in the public sphere?


Kwani upagani unafanyika wapi?

Kufanya public hapakulazimishi ww ambae unaona ni private kuhusu iman yako.

We cha kufanya unakausha unaendelea na yako,umeasahausemo kwamba kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria ina apply na hapa pia.

But still ata wanapohubiri public bado maamuzi yanakaa kwako,so wao ni kama facilitator kufundisha walichoagizwa.

Ni kama mwalimu unafundisha sanaaa kuna watu watagonga zero tu. Sijua kelele unamaana gani hasa, nijuavyo mm ni all unwanted voices,amabzo somte. ata ukiwa ww unaona waongea point i can feel like noises.
 
Kwani upagani unafanyika wapi?

Kufanya public hapakulazimishi ww ambae unaona ni private kuhusu iman yako.

We cha kufanya unakausha unaendelea na yako,umeasahausemo kwamba kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria ina apply na hapa pia.

But still ata wanapohubiri public bado maamuzi yanakaa kwako,so wao ni kama facilitator kufundisha walichoagizwa.

Ni kama mwalimu unafundisha sanaaa kuna watu watagonga zero tu. Sijua kelele unamaana gani hasa, nijuavyo mm ni all unwanted voices,amabzo somte. ata ukiwa ww unaona waongea point i can feel like noises.

First thing first.

Upagani ni nini? Na kwa nini unaniuliza habari za upagani mimi?

Imani ikishakuwa practiced publicly itabaki vipi kuwa private?

Mwalimu unayemsema anafundish saana anawezaje kufundisha bila kuhusisha wengine?

Na kama ni lazima ahusishe wengine, how provate is that?
 
kusema group moja linajiona kuliko lingine.

LOL, nafikiri ni thread hii hii, mtu kaja kashusha paragraph yake, akasema "everyobe receives the holy spirit". Ishmael akamjibu "no only those who receive christ get the holy spirit". nilicheka.

mtu anaweza akaja akasema Ishmael anajiona ye ndo kapendelewa saaana hes more closer to God than everyone else etc

Inshort hamna mtu mwenye Imani yake anayejiona sio bora kuliko wengine. atatumia hata maandiko....

Kwamaana iyo kila mwamba ngozi atavuta kwake?
 
Last edited by a moderator:
First thing first.

Upagani ni nini? Na kwa nini unaniuliza habari za upagani mimi?


Mada haikuwa upagan naona unapenda tu kwenda nje ya mada,labda kwenye eneo ambalo unapenda zaidi.

Kwaio sijaona umuhimu sana wa kukujibu unachotaka wewe ila napenda kujadili hasa kiini cha mimi ku quote post yako.

Kwasababu paganism kila moja anaweza iweka katika mwelekeo wake kutokana na hasa nn msingi wa iman yake.

Kuna mtu anaweza sema ni kuabudu vitu nje ya utaratibu aliyeweka Mungu muumba wa vitu vyote.

Kuna mtu anaweza akasema ni iman ambazo zimekwepo toka enzi za mababu, na zilitoweka kwasababu ya usasa ulipoletwa na ukoloni.

Na mwingine akasema kuwa mpagani n kumwabudu shetani, hii yote bases zake inakuwa ni misingi ya imani mtu aliyopitia.

So inshort usihisi unachoamini is the best ever! !
 
Mada haikuwa upagan naona unapenda tu kwenda nje ya mada,labda kwenye eneo ambalo unapenda zaidi.

Kwaio sijaona umuhimu sana wa kukujibu unachotaka wewe ila napenda kujadili hasa kiini cha mimi ku quote post yako.

Kwasababu paganism kila moja anaweza iweka katika mwelekeo wake kutokana na hasa nn msingi wa iman yake.

Kuna mtu anawwza sema ni kuabudu vitu nje ya utaratibu aliyeweka Mungu muba wa vitu vyote.

Kuna mtu anaweza akasema ni iman ambazo zimekwepo toka enzi za mababu, na zilitoweka kwasababu ya usasa ulipoletwa na ukoloni.

Na mwingine akasema kuwa mpagani n kumwabudu shetani, hii yote bases zake inakuwa ni miaingi ya imani mtu aliyopitia.

So inshort usihisi unachoamini is the best ever! !

First thing first.

Kama mada haikuwa ya upagani kwa nini umeleta habari za upagani?

Mimi naamini nini?
 
First thing first.

Kama mada haikuwa ya upagani kwa nini umeleta habari za upagani?

Mimi naamini nini?

Nilikuwa natoa mfano kama ww ulivosema wakristo sijui waislamu wanaabudu in public sphere!

Hivi mimi niko responsible kweli kujua we ni unaamini nini? alaf what nikishajua.


Kie kie kie kie kie
Back to home braza tusianze kuulizana me imani apa.
 
Nilikuwa natoa mfano kama ww ulivosema wakristo sijui waislamu wanaabudu in public sphere!

Hivi mimi niko responsible kweli kujua we ni unaamini nini? alaf what nikishajua.


Kie kie kie kie kie
Back to home braza tusianze kuulizana me imani apa.

Kwa hiyo wewe ndiye uliyeanza kutolea mfano kitu kilicho nje ya mada.

Kwa nini umetolea mfano kitu kilicho nje ya mada?

Na kama huko responsible kujua mimi naamini nini, unapata wapi ujasiri wa kuniambia nisihisi ninachoamini ndiyo kizuri kabisa?

Unajuaje kama ninaamini at all au nayapa mambo ya kuamini kipaumbele kama hata hujui naamini nini na hufikiri kwamba uko responsible kujua hilo?
 
Kwa hiyo wewe ndiye uliyeanza kutolea mfano kitu kilicho nje ya mada.

Kwa nini umetolea mfano kitu kilicho nje ya mada?

Na kama huko responsible kujua mimi naamini nini, unapata wapi ujasiri wa kuniambia nisihisi ninachoamini ndiyo kizuri kabisa?

Unajuaje kama ninaamini at all au nayapa mambo ya kuamini kipaumbele kama hata hujui naamini nini na hufikiri kwamba uko responsible kujua hilo?

Najua watu kama ww mnakazania ku discuss vitu vidogo vidogo nakuamua kuacha issue zipite pembeni.

Labda uliandika vile kuna mtu ulimlenga aje ajibu? kwasababu hauwezi kujipa ww uhalali wa kutoa mifano unayotka ww alaf sie utuwekee limit ili iwwje labda.

Alaf kuhusu kuona uaminicho ndicho bora n kwa wote wanaozani wapo rit place kuliko wenzao ata kama na ww u mmoja wao!

Kwan usipo amini unalazimishwa kuyapa mambo ya iman kipaumbele au hujawahi ona mtu ana amini Mungu au kitu chochote alaf asiyape sana kipaumbele?

Mfano hutolewa ili kumrahisishia anayesikliza au kufundishwa aelewe kwa urahisi zaidi.

Kwani umeuelewa mfano? kama bado sema nikupe mwingine lengo langu ni uelewe tu,sio kukulazimisha.

Alaf pia kama upo kiushindi zaid, sema nikutangaze kama mshindi ili tusitoke zaidi kweny mada husika.

Na kombe ntachonga ha ha ha ha
kie kie kie kei krheeeeeee kheeee! !!
 
Najua watu kama ww mnakazania ku discuss vitu vidogo vidogo nakuamua kuacha issue zipite pembeni.

Labda uliandika vile kuna mtu ulimlenga aje ajibu? kwasababu hauwezi kujipa ww uhalali wa kutoa mifano unayotka ww alaf sie utuwekee limit ili iwwje labda.

Alaf kuhusu kuona uaminicho ndicho bora n kwa wote wanaozani wapo rit place kuliko wenzao ata kama na ww u mmoja wao!

Kwan usipo amini unalazimishwa kuyapa mambo ya iman kipaumbele au hujawahi ona mtu ana amini Mungu au kitu chochote alaf asiyape sana kipaumbele?

Mfano hutolewa ili kumrahisishia anayesikliza au kufundishwa aelewe kwa urahisi zaidi.

Kwani umeuelewa mfano? kama bado sema nikupe mwingine lengo langu ni uelewe tu,sio kukulazimisha.

Alaf pia kama upo kiushindi zaid, sema nikutangaze kama mshindi ili tusitoke zaidi kweny mada husika.

Na kombe ntachonga ha ha ha ha
kie kie kie kei krheeeeeee kheeee! !!

First thing first.

Kati yangu mimi ninayepanua wigo wa mjadala kwa kukutaka ulielezee neno upagani maana yake nini, na wewe unayesema kujadili habari ya upagani ni kwenda nje ya mada, nani anaweka limit hapa?

Are you projecting your own limitations on me?
 
First thing first.

Kati yangu mimi ninayepanua wigo wa mjadala kwa kukutaka ulielezee neno upagani maana yake nini, na wewe unayesema kujadiki habari ya upagani ni kwenda nje ya mada, nani anaweka limit hapa?

Are you projecting your own limitations on me?

Kwani sijajibu maana ya upagani?
Au mpaka nitoe jibu unalolijua ww?
 
Kwani sijajibu maana ya upagani?

Suala si kujibu maana ya upagani.

Suala ni objection yako ya kusema kujadili upagani ni kwenda nje ya mada.

Kati yangu ninayeongeza wigo wa mjadala kwa kukubali kujadili upagani ni nini na wewe unayesema kujadili upagani ni kutoka nje ya mada, hata baada ya wewe mwenyewe kuleta habari za upagani, na hivyo, kama kweli kujadili upagani ni kutoka nje ya mada aliyeanza kututoa kwenye mada ni wewe mwenyewe...

Sasa kati yangu ninayejadili kwa wigo mpana na wewe unayeleta habari za upagani, halafu ukiulizwa upagani ni nini unasema kujadili upagani ni kutoka nje ya mada, nani ana weka limit ya mjadala?
 
Kabla hajaweza kuthibitisha uwepo wa mungu hizo nyingine zote naona hadithi tu.

Huwezi kuniambia kuhusu ufalme wa mungu nikakuelewa wakati hata kumuelezea vizuri huyo mungu na kunishawishibkwamba kweli yupo huwezi.

Naona unaendelea kuwapotezea watu Muda, au sio?
 
Naona unaendelea kuwapotezea watu Muda, au sio?

Hakuna mtu anayeweza kumpotezea muda mwingine hapa JF.

Mtu anaweza kuamua kupoteza muda mwenyewe.

Kwa hiyo kama habari zangu ni za kupoteza muda, na wewe unajua hilo, na unanijibu hapa, wewe ndiye unayejipotezea muda.

Mimi sikupotezei muda.
 
Hakuna mtu anayeweza kumpotezea muda mwingine hapa JF.

Mtu anaweza kuamua kupoteza muda mwenyewe.

Kwa hiyo kama habari zangu ni za kupoteza muda, na wewe unajua hilo, na unanijibu hapa, wewe ndiye unayejipotezea muda.

Mimi sikupotezei muda.

Mimi sijakujibu, nimekuuliza swali, wewe hauwezi kunipotezea muda ndo maana sijishughurishi na wewe siku hizi, muda ulioishanipotezea unatosha.
 
Back
Top Bottom