If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

Mimi sijakujibu, nimekuuliza swali, wewe hauwezi kunipotezea muda ndo maana sijishughurishi na wewe siku hizi, muda ulioishanipotezea unatosha.

Hujanijibu wakati umehit reply, complete with a quote?

Siwezi kukupotezea muda wakati umesema napotezea watu muda na wewe umetumia muda wako kunijibu?
 
Suala si kujibu maana ya upagani.

Suala ni objection yako ya kusema kujadili upagani ni kwenda nje ya mada.

Kati yangu ninayeongeza wigo wa mjadala kwa kukubali kujadili upagani ni nini na wewe unayesema kujadili upagani ni kutoka nje ya mada, hata baada ya wewe mwenyewe kuleta habari za upagani, na hivyo, kama kweli kujadili upagani ni kutoka nje ya mada aliyeanza kututoa kwenye mada ni wewe mwenyewe...

Sasa kati yangu ninayejadili kwa wigo mpana na wewe unayeleta habari za upagani, halafu ukiulizwa upagani ni nini unasema kujadili upagani ni kutoka nje ya mada, nani ana weka limit ya mjadala?

We nawee kwaio hujaelewa nini!
 
bwana yupi? huenda umechukia, si ndio? kwa hiyo kumbe umejua kabisa ilitokea kutokuelewana ndio maana jamaa akaona hatuna uwezo wa kuzipokea akaamua kutuacha sasa hapo amekimbia vipi? Hapana hizo siri sio za PM kama Sangarara akishaona tumekuwa na uwezo wa kuzipokea na wewe utazipata tu ondoa shaka...

OUR LORD AND SAVIOUR JESUS CHRIST

sasa mbona wakina free ideas na kiranga wakiondoka mnasema wamekimbia
 
Last edited by a moderator:
I have exhibited an exceedingly inquisitive thirst for a deep understanding.

The problem is, oftentimes my analysis is in the trenches of philosophy of religion and deep science. I would ping pong from Anselm, Augustine, Russell and Dawkins to Penrose, Hawking, Einstein and Bohr.

And frankly most of these cats and birds are left in the dark.

Some of the more philosophical questions are simply beyond the grasp of most of the members here.

And therein lies the problem.

Mtu unataka kuongelea the nature if the deity wakati hujasoma kitabu chochote zaidi ya bibkia au Kurani, na hata hivyo umesomea kanisani au msikitini.

SMH.

LOL. hopefully they missed the Avian and Mammalian part.

I do acknowledge kwamba wengi hatujasoma vitu vingi. so tunaishia kurely on mtu ambaye ana imani sawa na yetu kusongesha debate.....nimeshagundua packs humu and their leaders.

and yes, some concepts people have never heard of but wouldnt think twice about dismissing them just because its against their faith.

people make premises about their already made conclusions. its difficult to move from there.

na wewe hukunijibu why are you so convinced that there is no creator!!!!
 
LOL. hopefully they missed the Avian and Mammalian part.

I do acknowledge kwamba wengi hatujasoma vitu vingi. so tunaishia kurely on mtu ambaye ana imani sawa na yetu kusongesha debate.....nimeshagundua packs humu and their leaders.

and yes, some concepts people have never heard of but wouldnt think twice about dismissing them just because its against their faith.

people make premises about their already made conclusions. its difficult to move from there.

na wewe hukunijibu why are you so convinced that there is no creator!!!!

In the context of an omnipotent, omnipresent, omniscient and omni benevolent creator, mainly due to the inherent contradiction posed by the prospect of such a creator creating such a deficient world as this.

The argument that complexity must be created by intelligence only begs the question that that would need the creator to necessarily be created by an even higher intelligence, ad infinitum, ad absurdum.

I move from the less complex to the more complex.

I do not accept the existence of entities that cannot be proven.

I am ready to accept the existence of god should a convincing non contradictory and logical explanation be presented, followed by a conclusive proof.

For example, if one were to tell me that god exists, but he is a narcissist prick who made us just to watch us suffer in order to satisfy his sadistic needs, that explanation, although earthly, has no inherent contradiction when juxtaposed with the observable world, and can at least be entertained for further investigation. Eventually a stumbling block would still be a proof that such a being, far and above being logically conceivable, actually exists.

But this idea of an all loving, all powerful, all present god who creates a world with such evil as this is not only unfathomable, but also it insults the intelligence of any right thinking person.
 
We ni kuku asiyekuwa na kichwa.

Ambaye hujaweza kuthibitisha kwamba kaumbwa na mungu, mpaka sasa.

Indeed kama mungu mwenye uwezo wote na upendo wote upo, ataruhusu vipi kuku asiye na kichwa awepo?

The very prospect points away from an intelligent godhead.
 
Mimi sijakujibu, nimekuuliza swali, wewe hauwezi kunipotezea muda ndo maana sijishughurishi na wewe siku hizi, muda ulioishanipotezea unatosha.
Alisha wai kujibu swali, huyo anaishi JF ndio kzi kwake. ANYWAYS,

The person will never answer you zaidi ya kupindisha swali lako na kuanzisha mabishano ya assumptions zake. Mwambie kwanini anamuogopa Ishmael mpaka kumweka kwenye ignore list yake?
 
Last edited by a moderator:
OUR LORD AND SAVIOUR JESUS CHRIST

sasa mbona wakina free ideas na kiranga wakiondoka mnasema wamekimbia
Hizo ni case mbili tofauti, wakati case ya kwanza alitaka kutupa siri za ufalme wa Mbinguni kwa hiyo kwa mtazamo wake akaona hatupo tayari ikabidi atuache tu hakutupa, Case hii ya pili kwa hao washikaji nadhani unafahamu...
 
its not about me (well it is considering its not my choice to exist). its about him. why mseme ni All-loving kisha atengeneze kifo/uwezekano wa kifo?

Hujajibu nilichokuuliza:

Kwanini unahoji ulimwengu kuwa na kifo?
 
Sniper wana uweo wa kujua 100% kwamba watapiga target kabla ya kupiga target?

Huyo aliyetabiri world cup alikuwa na ubakika 100% k2amba jua litachomoza siku ya fainali za World Cup?

Do you even understand what 100% is?

Unafahamu tofauti ya prediction na knowledge of the future?

Kama hujui binadamu mwenye uwezo wa kijua nitqchukua njia ya kukia au ya kushoto, kwa nini unasema "wako binadamu wenye uwezo huo, itakuwa mungu"?

Ina maana hapo ulikuwa unabwabwaja tu bila kujua unachoandika?

Kabla ya kusema mungu anajua nitachukua njia ya kulia au kushoto, unaweza kunithibitishia kwamba yupo at all?

Kujua ni nyumba ya ujinga,right?
 
Hakuna aliyethibitisha kuwapo kwa mungu bado.

Kama kuna uthibitisho huo hapa naomba uuweke.

Ndiyo maana habari nzima ya uwepo.wa mungu ni ua imani, si ya ujuzi.

Imani.hata Santa Claus watoto wanaamini.kwamba anakaa North Pole. That doesn't impress me.

Niambie unajua kwamba mungu yupo na unaweza kuthibitisha hilo.

Vipi tena unataka watu waingie kwenye nyumba ya ujinga?
 
Sio kila mtu akiambiwa ukweli hukubali kua hii ni kweli,wengine huambiwa ukweli na bado wakaukataa wakasema ni hadith

sio sahihi kwamba watu wote wanataka waujue ukweli,watu wengine hukataa huo ukweli,inategemea na mtu anaetaka ajue huo ukweli ili afanye nini?


Hili ndilo neno.
Kuna mtu humu hata aambiweje , apewe uthibitisho gani anarudia kusema "naomba uthibitisho , sijaona uthibitisho kuwa kweli Mungu yupo" Kisha anaona kuwa anaelewa hata vitu ambavyo wana sayansi makini wameacha kuamini .
Kuna vitabu vilifundisha Hygiene way back ! Kuna vitabu vilisema kuwa dunia ni tufe/duara wakati wanasayansi wakiamini kuwa ni horizontal ahahaaaa imeshikiliwa na tembo wa kubwa.Kuna vitabu vimetabiri matukio yaliyotokea kwa wakati.
Leo wanasayansi wakongwe wanatuambia there are new understanding regarding a lot of knowledge; Gravitational may not be as the way we know or they teach us.New understanding regarding what they call black hole.
Kuna watu hapa hatujawahi ona hata papers zao published ila ni mabingwa wakuona wao ndo founder of some theory wakati ni malimbukeni wa kujua vitu ukubwani kiasi cha kuona wengine hawajui vitu vya shule ya msingi ahahaaa
 
Back
Top Bottom